ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Jamaa arikurenga kijambioKamfufue Meku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa arikurenga kijambioKamfufue Meku
1.Basi la Majinjah Mbeya - Dar.Vipi kwa upande wa barabara, ajali zipi zitaendelea kukumbukwa?
Kama una kumbuka idadi ya waliopoteza maisha kwa ajali hiyo...1.Basi la Majinjah Mbeya - Dar.
32Kama una kumbuka idadi ya waliopoteza maisha kwa ajali hiyo...
2010:Kila nikiangalia yanayoendelea Uturuki naogofywa na hii dunia japo yenyewe ni majanga ya asili, watu 16,000 mpaka sasa wamefariki. Nimejifunza pia duniani janga lililoondoka na watu wengi kwa muda mfupi ni mafuriko ya mto Yangtze yaliyoondoka na maisha ya watu milioni 3.7 huku tetemeko lililoondoka na watu wengi zaidi ni lile lililotokea Haiti mwaka 2010 likiondoka na watu 200,000-300,000.
Tukirudi kwenye mada, Tanzania kikubwa kinachoondoka na watu ni ajali kuliko majanga ya asili na hii ni orodha ya ajali zilizoondoka na watu wengi zaidi mpaka sasa.
5: MV Skagit - 2012
Ajali hii ilitokea miezi 10 tu baada ya kutokea kwa ajali ya MV Spice Islander. Ilikuwa Julai 18, 2012 majira ya alasiri meli hii ya MV SKAGIT ilipozama katika eneo la Chumbe, Zanzibar. Meli hiyo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kueleka Zanzibar ilikuwa imebeba watu 290. Kati yao watu wazima 250, watoto 31 na wafanyakazi wa meli 9.
Wananchi walikumbushwa machungu ya ajali ya MV Spice Islander kwa ajali ya meli ya Skagit iliyoua watu 81, wakiwemo Watanzania 75, Wakenya 3, Waholanzi 2 na Mrundi 1. Aidha, watu 212 walipotea na 154 walinusurika wakiwemo Waholanzi 5, Wajerumani 4, Wabelgiji 2, Wamarekani 2 na Waisraili 2. Kwa mujibu wa ripoti tumwe iliyoundwa kuchunguza ajali hiyo
Chanzo cha Meli hii iliyoundwa nchini Marekani mwaka 1989 na kampuni ya HALTER MARINE kuzama inaelezwa ilikuwa ni kutokana na hali mbaya ya hewa.
4: Ajali ya Treni -Msagali - 2002
Dodoma
Ajali ya treni iliyotkea Msagali Dodoma ni moja ya ajali kubwa za treni Tanzania
Kwenye upande wa ajali mbaya za treni kuwahi kutokea Tanzania hii ni miongoni mwao. Ajali ya treni ya abiria Namba A.12 ilitokea kilomita 388 kati ya stesheni za Igandu na Msagali Juni 24, 2002 saa 2.30 asubuhi.
‘Taifa limekumbwa na msiba mkubwa’ hii ilikuwa sehemu ya taarifa fupi kuhusu ajhali hiyo aliyowasilisha waziri wa uchukuzi wakati huo Profesa Mark Mwandosya, bungeni Dodoma.
Watu 281 walipoteza maisha, maiti 193 zilitambuliwa na kuchukuliwa huku maiti 88 zilizikwa na mamlaka za serikali kwenye mazishi ya halaiki katika makaburi ya Maili Mbili Kata ya Miyuji mjini Dodoma 27 Juni 2002 kutokana na kutotambuliwa.
Inaelezwa treni hi ilikosa nguvu ya kupandisha muinuko na breki kushindwa kufanya kazi kabla ya kuanza kurudi kwa kasi kinyumenyume na kwenda kuvaana na treni nyingine ya mizigo.
3: MV Nyerere - 2018
Kivuko cha MV Nyerere kilikuwa na uwezo wa kubeba watu 101 lakini siku ya ajali ilielezwa kujaza watu karibu mara mbili ya uwezo wake
Septemba 2018 jumla ya watu 224 walifariki na watu wengine 41 wakiokolewa wakiwa hai katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere.
Ilikuwa moja ya ajali iliyoleta kumbukumbu ya ajali kubwa zaidi ya MV Bukoba. Iliyotokea katika ziwa hilo hilo.
Mhandisi wa kivuko hicho Alphonce Charahani alikuwa wa mwisho kuokolewa akiwa akiwa hai baada ya kukaa majini kwa saa 48.
Rais wa wakati huo hayati John Magufuli alipozungumza alieleza kuwa kivuko hicho cha MV Nyerere kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 101, lakini kwa takwimu za miili iliyopatikana na pamoja na manusura, ni wazi kwamba chombo hicho kilikuwa kimebeba abiria wengi kuliko uwezo wake.
2: MV Bukoba - 1996
Hii ni ajali ya kihistoria, pengine ni moja ya ajali iliyoua watu wengi zaidi kwa wakati mmoja kuwahi kutokea Tanzania katika miongo ya hivi karibuni. Ilitokea Mei 21, 1996, na hata Serikali iliwahi kukiri kwamba ajali hiyo itaendelea kuwa miongoni mwa kumbukumbu mbaya kutokana na kuangamiza maisha ya mamia ya Watanzania wengi kwa wakati mmoja.
Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu 800 walifariki katika ajali hiyo iliyotokea kilomita chache kutoka bandari ya Mwanza.
Ingawa ni miaka 26 sasa tangu kuzama kwa meli ya MV Bukoba, Bukoba ilipokuwa inakaribia bandari ya Mwanza umbali wa kilometa 56, aliyekuwepo na asiyekuwepo historia yake imeendelea kukaa vichwnai mwa wengi.
Meli hiyo iliyoundwa mwaka 1979 ikiwa na uwezo wa kubeba mizigo tani 850 na abiria 430 iliyokuwa tegemeo kubwa la kutoa huduma ya kubeba mizigo na abiria ndani ya Ziwa Victoria kati ya Bandari za Bukoba na Mwanza. Siku ya ajali inaelezwa kupakia zaidi ya abiria 2,000.
1: MV Spice Islander - 2011
Pengine kumbukumbu ya muda mrefu ya ajali ya MV Bukoba inapunguza machungu ya ajali ya MV Spice Islanders. Kuzama kwa meli ya MV Spice Islander hapo Septemba 10, 2011 katika eneo la Nungwi, Kaskazini mwa kisiwa cha Unguja, kulileta huzuni kubwa hasa visiwani humo kutokana na idadi kubwa ya watu kufariki.
Kwa mujibu wa ripoti rasmi ya jopo lililoundwa kuchunguza ajali hiyo chini ya Jaji Abdulhakim Ameir aliyeongoza jopo la watu 10, watu 1370 walipoteza Maisha.
Uchunguzi unaeleza ilibeba abiria karibu mara nne Zaidi ya uwezo wake. Ilikuwa na abiria 2,470 wakati uwezo wake ilikuwa watu 620.
Tume iliyoundwa inasema meli hiyo ilibainika kuwa na hitilafu iliyojulikana miezi miwili kabla ya kuzama kwake kutokana na ukaguzi uliofanywa na taasisi ya usalama wa bahari Sumatra, lakini bado meli hiyo ilipewa leseni.
Puuh tema mate chini Mungu aepushilie mbali ajali hizi..Jana nilikiwa naangalia taarifa ghafla hisia zikanipeleka kkoo,ikitokea hapa kwetu hali itakuwaje.
Mungu atuepushe,aisee wamepata pigo kubwa sana.
Mwenyewe hadi sasa najiuliza kaliwezaje ishi masaa yote ndani ya kifusi, kaliwezaje ishi kwa kulia kwa muda wote huo.Kwenye tetemeko la uturuki nimeguswa na kuokolewa na kichanga ambacho familia yake yote imeangamia, lakini ni yeye tu yani yeye tu aliyezaliwa katika mazingira ya mama kushtushwa na tetemeko, akapona,, ukuu wa Mungu hausemeki kabisa[emoji22]
Inastaajabisha yani katika hilo tetemeko habari kuu ya kusisimua ni hiyo,, eneo hilo hilo alipozaliwa ndipo baba, mama na ndugu zake 4 wamepoteza maisha ila yeye tu kichanga cha masaa machache tu akapona, inawezekanaje!!! Acheni aitwe Mungu matendo yake hayachunguzikiMwenyewe hadi sasa najiuliza kaliwezaje ishi masaa yote ndani ya kifusi, kaliwezaje ishi kwa kulia kwa muda wote huo.
Kuna mwingine nimeona waokozi walitaka shusha sululu, ila mmoja akavuta, kuvuta ni mtoto yuko hai...
Mungu wetu ni mkubwa sana
Hii ilitaka kusahaulikaAjali ya moto wa mafuta Morogoro watu karibu 100 na ushee
Hii ilitaka kusahaulika
Fikiria Kam Ni baba ako jiwe kijan acha Kaz za munguAjali nyingine japo nzuri ni kufa kwa JIWE
Walipona hawazidi 5 kati ya 60,ila inasemekana walipona 2Kama una kumbuka idadi ya waliopoteza maisha kwa ajali hiyo...
Ajali mbaya ya mabasi ya abiriaKila nikiangalia yanayoendelea Uturuki naogofywa na hii dunia japo yenyewe ni majanga ya asili, watu 16,000 mpaka sasa wamefariki. Nimejifunza pia duniani janga lililoondoka na watu wengi kwa muda mfupi ni mafuriko ya mto Yangtze yaliyoondoka na maisha ya watu milioni 3.7 huku tetemeko lililoondoka na watu wengi zaidi ni lile lililotokea Haiti mwaka 2010 likiondoka na watu 200,000-300,000.
Tukirudi kwenye mada, Tanzania kikubwa kinachoondoka na watu ni ajali kuliko majanga ya asili na hii ni orodha ya ajali zilizoondoka na watu wengi zaidi mpaka sasa.
5: MV Skagit - 2012
Ajali hii ilitokea miezi 10 tu baada ya kutokea kwa ajali ya MV Spice Islander. Ilikuwa Julai 18, 2012 majira ya alasiri meli hii ya MV SKAGIT ilipozama katika eneo la Chumbe, Zanzibar. Meli hiyo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kueleka Zanzibar ilikuwa imebeba watu 290. Kati yao watu wazima 250, watoto 31 na wafanyakazi wa meli 9.
Wananchi walikumbushwa machungu ya ajali ya MV Spice Islander kwa ajali ya meli ya Skagit iliyoua watu 81, wakiwemo Watanzania 75, Wakenya 3, Waholanzi 2 na Mrundi 1. Aidha, watu 212 walipotea na 154 walinusurika wakiwemo Waholanzi 5, Wajerumani 4, Wabelgiji 2, Wamarekani 2 na Waisraili 2. Kwa mujibu wa ripoti tumwe iliyoundwa kuchunguza ajali hiyo
Chanzo cha Meli hii iliyoundwa nchini Marekani mwaka 1989 na kampuni ya HALTER MARINE kuzama inaelezwa ilikuwa ni kutokana na hali mbaya ya hewa.
4: Ajali ya Treni -Msagali - 2002
Dodoma
Ajali ya treni iliyotkea Msagali Dodoma ni moja ya ajali kubwa za treni Tanzania
Kwenye upande wa ajali mbaya za treni kuwahi kutokea Tanzania hii ni miongoni mwao. Ajali ya treni ya abiria Namba A.12 ilitokea kilomita 388 kati ya stesheni za Igandu na Msagali Juni 24, 2002 saa 2.30 asubuhi.
‘Taifa limekumbwa na msiba mkubwa’ hii ilikuwa sehemu ya taarifa fupi kuhusu ajhali hiyo aliyowasilisha waziri wa uchukuzi wakati huo Profesa Mark Mwandosya, bungeni Dodoma.
Watu 281 walipoteza maisha, maiti 193 zilitambuliwa na kuchukuliwa huku maiti 88 zilizikwa na mamlaka za serikali kwenye mazishi ya halaiki katika makaburi ya Maili Mbili Kata ya Miyuji mjini Dodoma 27 Juni 2002 kutokana na kutotambuliwa.
Inaelezwa treni hi ilikosa nguvu ya kupandisha muinuko na breki kushindwa kufanya kazi kabla ya kuanza kurudi kwa kasi kinyumenyume na kwenda kuvaana na treni nyingine ya mizigo.
3: MV Nyerere - 2018
Kivuko cha MV Nyerere kilikuwa na uwezo wa kubeba watu 101 lakini siku ya ajali ilielezwa kujaza watu karibu mara mbili ya uwezo wake
Septemba 2018 jumla ya watu 224 walifariki na watu wengine 41 wakiokolewa wakiwa hai katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere.
Ilikuwa moja ya ajali iliyoleta kumbukumbu ya ajali kubwa zaidi ya MV Bukoba. Iliyotokea katika ziwa hilo hilo.
Mhandisi wa kivuko hicho Alphonce Charahani alikuwa wa mwisho kuokolewa akiwa akiwa hai baada ya kukaa majini kwa saa 48.
Rais wa wakati huo hayati John Magufuli alipozungumza alieleza kuwa kivuko hicho cha MV Nyerere kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 101, lakini kwa takwimu za miili iliyopatikana na pamoja na manusura, ni wazi kwamba chombo hicho kilikuwa kimebeba abiria wengi kuliko uwezo wake.
2: MV Bukoba - 1996
Hii ni ajali ya kihistoria, pengine ni moja ya ajali iliyoua watu wengi zaidi kwa wakati mmoja kuwahi kutokea Tanzania katika miongo ya hivi karibuni. Ilitokea Mei 21, 1996, na hata Serikali iliwahi kukiri kwamba ajali hiyo itaendelea kuwa miongoni mwa kumbukumbu mbaya kutokana na kuangamiza maisha ya mamia ya Watanzania wengi kwa wakati mmoja.
Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu 800 walifariki katika ajali hiyo iliyotokea kilomita chache kutoka bandari ya Mwanza.
Ingawa ni miaka 26 sasa tangu kuzama kwa meli ya MV Bukoba, Bukoba ilipokuwa inakaribia bandari ya Mwanza umbali wa kilometa 56, aliyekuwepo na asiyekuwepo historia yake imeendelea kukaa vichwnai mwa wengi.
Meli hiyo iliyoundwa mwaka 1979 ikiwa na uwezo wa kubeba mizigo tani 850 na abiria 430 iliyokuwa tegemeo kubwa la kutoa huduma ya kubeba mizigo na abiria ndani ya Ziwa Victoria kati ya Bandari za Bukoba na Mwanza. Siku ya ajali inaelezwa kupakia zaidi ya abiria 2,000.
1: MV Spice Islander - 2011
Pengine kumbukumbu ya muda mrefu ya ajali ya MV Bukoba inapunguza machungu ya ajali ya MV Spice Islanders. Kuzama kwa meli ya MV Spice Islander hapo Septemba 10, 2011 katika eneo la Nungwi, Kaskazini mwa kisiwa cha Unguja, kulileta huzuni kubwa hasa visiwani humo kutokana na idadi kubwa ya watu kufariki.
Kwa mujibu wa ripoti rasmi ya jopo lililoundwa kuchunguza ajali hiyo chini ya Jaji Abdulhakim Ameir aliyeongoza jopo la watu 10, watu 1370 walipoteza Maisha.
Uchunguzi unaeleza ilibeba abiria karibu mara nne Zaidi ya uwezo wake. Ilikuwa na abiria 2,470 wakati uwezo wake ilikuwa watu 620.
Tume iliyoundwa inasema meli hiyo ilibainika kuwa na hitilafu iliyojulikana miezi miwili kabla ya kuzama kwake kutokana na ukaguzi uliofanywa na taasisi ya usalama wa bahari Sumatra, lakini bado meli hiyo ilipewa leseni.
Watu wazima wawili na mtoto mmojaWalipona hawazidi 5 kati ya 60,ila inasemekana walipona 2