Ajali tano kubwa zaidi zilizowahi kutokea Tanzania

2010:
Babu wa Loliondo kuwanywesha chai feki viongozi wote wakubwa wa nji ensi hiso.
 
Kwenye tetemeko la uturuki nimeguswa na kuokolewa na kichanga ambacho familia yake yote imeangamia, lakini ni yeye tu yani yeye tu aliyezaliwa katika mazingira ya mama kushtushwa na tetemeko, akapona,, ukuu wa Mungu hausemeki kabisa[emoji22]
Mwenyewe hadi sasa najiuliza kaliwezaje ishi masaa yote ndani ya kifusi, kaliwezaje ishi kwa kulia kwa muda wote huo.

Kuna mwingine nimeona waokozi walitaka shusha sululu, ila mmoja akavuta, kuvuta ni mtoto yuko hai...

Mungu wetu ni mkubwa sana
 
Mwenyewe hadi sasa najiuliza kaliwezaje ishi masaa yote ndani ya kifusi, kaliwezaje ishi kwa kulia kwa muda wote huo.

Kuna mwingine nimeona waokozi walitaka shusha sululu, ila mmoja akavuta, kuvuta ni mtoto yuko hai...

Mungu wetu ni mkubwa sana
Inastaajabisha yani katika hilo tetemeko habari kuu ya kusisimua ni hiyo,, eneo hilo hilo alipozaliwa ndipo baba, mama na ndugu zake 4 wamepoteza maisha ila yeye tu kichanga cha masaa machache tu akapona, inawezekanaje!!! Acheni aitwe Mungu matendo yake hayachunguziki
 
Yeah mkuu hizi ajali zimetuachia simanzi kubwa sana hapa nchini hasa ukiwa sehemu ya ajali ,umeshuhudia wakati zinatokea au umeingia kwenye ajali muda mfupi baada ya kutokea, binafsi ajali ya wale wanataarabu waliokuwa wanatoka ziarani mbeya na kufika mikumi national park wakapata ajali ile na coaster yao kuungua moto, ilinisikitisha sana maana Nami niliingia eneo la tukio within mins
 
Hizi ajali za majini zina uzembe mkubwa, hebu fikiria chombo kina beba mara nne ya uwezo wake. Na huu ujinga bado unaendelea
 
Ajali mbaya ya mabasi ya abiria

Majinjah

11/03/2015

Hii iliwaacha watu chini ya watano tu kati ya 60+

Zaid ya 50 walifariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…