RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
sijakuelewa mkuu.Usipende sana dunia mkuu.
Inaonyesha wapenda sana dunia, mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijakuelewa mkuu.Usipende sana dunia mkuu.
Inaonyesha wapenda sana dunia, mimi
ila mkuu mshana picha zako ni very graphic, hakuna namna nyingine ya kufikisha point yako bila kuweka graphic pictures?
sijakuelewa mkuu.
Inaonyesha wapenda sana dunia.
Umetuacha njiapandaMtaweza jeshi nyie.
Umetuacha njiapanda
Kuhusu hizo picha. Huo ni ukumbusho kuwaipo siku hay a yaweza to kea kwetu.
Usimamizi wa wanadamu ni serikali, Serikali ikiyumba na raia huyumba.
Ulitumia fasihi kali ambayo ni vigumu kuitafsiri kwa harakaHuyo jamaa kasema picha Kali sana ulizotumia, sasa ndo namwambia inaonyesha ni mwoga sana wa hizo picha.
means ajali zipo direct proportion na mshaharaBreakdowns wanakwambia ndio siku za kazi na hata watu wa bima na magereji pamoja na traffic na vehicle inspectors ndio kipindi cha 'ulaji'
Ajali pia huongezeka kila wiki ya mwisho wa mwezi na kupungua sana katikati ya mwezi
wewe vp? hapa nilikua sijizungumzii mimi, nilikua nazungumzia courtesy ya kawaida ya uwasilishaji wa habari kwa umma ambayo media zote hutumia, na mtoa post kanielewa.Huyo jamaa kasema picha Kali sana ulizotumia, sasa ndo namwambia inaonyesha ni mwoga sana wa hizo picha.
Kuna ukweli kwenye hilo kwakuwa hata biashara ya pombe huchanganya kipindi hichomeans ajali zipo direct proportion na mshahara
wewe vp? hapa nilikua sijizungumzii mimi, nilikua nazungumzia courtesy ya kawaida ya uwasilishaji wa habari kwa umma ambayo media zote hutumia, na mtoa post kanielewa.
picha za hazitakiwi kuonyeshwa hivyo au kama zinatisha wanatoa tahadhari kwanza, hata movie za kutisha huwa wamezi rate kuwa zinatisha ili mtazamaji ajue na achague kwanza kabla ya kutazama
goodNimekuelewa.
mimi naona zile namba za itv wanazotangaza kwenye runinga Sumatra wangafanya zikabandikwa kwenye kila basi sehemu ambayo abiria wataona
maana watu huwa hawazikariri wala kusave ila zitasaidia kumuogopesha dereva apunguze mwendo
mimi naona zile namba za itv wanazotangaza kwenye runinga Sumatra wangafanya zikabandikwa kwenye kila basi sehemu ambayo abiria wataona
maana watu huwa hawazikariri wala kusave ila zitasaidia kumuogopesha dereva apunguze mwendo
Inahitajika mikakati ya dharura na mpango kazi wa muda mfupi wa kati na mrefu kwa kuwashirikisha wataalam na wadau wa sector tofauti bila kuwasahau wananchiMadereva wengi hawapo makini!!!!!
Bingwa hapo umeweka POINTS khaswa !!!Inahitajika mikakati ya dharura na mpango kazi wa muda mfupi wa kati na mrefu kwa kuwashirikisha wataalam na wadau wa sector tofauti bila kuwasahau wananchi
Uzembe wa madereva una vyanzo vingi sana vikiwemo
-stress za kimaisha na kifamilia
-magonjwa wakati mwingine ya akili
-starehe hasa ulevi na ngono
-ulemavu uliofichika hasa wa macho miguu na mikono
-Ubabe ubishi na mashindano
-dharau kiburi na majigambo
-umri na kukosa majukumu
-papara na vurugu za ki maono
-elimu