Ukweli ni mchungu lakini tufike mahali tuuseme hata kama unauma.
Mengi yamesemwa kuhusu ajali miaka nenda rudi, lakini ajali ziko pale pale.
Bahati mbaya mzizi wa tatizo umekuwa hausemwi kwa kujua au kutokujua.
"Tatizo letu kuu kimsingi ni ujinga ndugu zangu."
1. Kulikoni dereva kuendesha gari akiwa haoni waziwazi anakokwenda?
2. Kulikoni dereva kuendesha gari bila kujali hali ya miundo mbinu alipo?
Pana haja ya kurekebisha viwango vya elimu angalau kwa kuanzia, madereva wa mabasi na malori.
Kwanini kutokuwatumia wahitimu wa vyuo vikuu kuendesha mabasi?
Kwanini kama ilivyo kwingine kama kiwango cha juu cha mwendo ni 80km/h, isiiwe hivyo kwa vyombo vyote vya moto barabarani?
Kwa kuzingatia haya tu, ajali zitapungua mno kama si kwisha kabisa.
Serikali inao wajibu.
Mengi yamesemwa kuhusu ajali miaka nenda rudi, lakini ajali ziko pale pale.
Bahati mbaya mzizi wa tatizo umekuwa hausemwi kwa kujua au kutokujua.
"Tatizo letu kuu kimsingi ni ujinga ndugu zangu."
1. Kulikoni dereva kuendesha gari akiwa haoni waziwazi anakokwenda?
2. Kulikoni dereva kuendesha gari bila kujali hali ya miundo mbinu alipo?
Pana haja ya kurekebisha viwango vya elimu angalau kwa kuanzia, madereva wa mabasi na malori.
Kwanini kutokuwatumia wahitimu wa vyuo vikuu kuendesha mabasi?
Kwanini kama ilivyo kwingine kama kiwango cha juu cha mwendo ni 80km/h, isiiwe hivyo kwa vyombo vyote vya moto barabarani?
Kwa kuzingatia haya tu, ajali zitapungua mno kama si kwisha kabisa.
Serikali inao wajibu.