Ajali: Tuambiane ukweli dhahama hili lituepuke

Ajali: Tuambiane ukweli dhahama hili lituepuke

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ukweli ni mchungu lakini tufike mahali tuuseme hata kama unauma.

Mengi yamesemwa kuhusu ajali miaka nenda rudi, lakini ajali ziko pale pale.

Bahati mbaya mzizi wa tatizo umekuwa hausemwi kwa kujua au kutokujua.

"Tatizo letu kuu kimsingi ni ujinga ndugu zangu."

1. Kulikoni dereva kuendesha gari akiwa haoni waziwazi anakokwenda?

2. Kulikoni dereva kuendesha gari bila kujali hali ya miundo mbinu alipo?

Pana haja ya kurekebisha viwango vya elimu angalau kwa kuanzia, madereva wa mabasi na malori.

Kwanini kutokuwatumia wahitimu wa vyuo vikuu kuendesha mabasi?

Kwanini kama ilivyo kwingine kama kiwango cha juu cha mwendo ni 80km/h, isiiwe hivyo kwa vyombo vyote vya moto barabarani?

Kwa kuzingatia haya tu, ajali zitapungua mno kama si kwisha kabisa.

Serikali inao wajibu.
 
Ukweli n mchungu lakini tufike mahali tuuseme hata kama unauma.

Mengi yamesemwa kuhusu ajali miaka nenda miaka rudi, lakini ajali ziko pale pale.

Bahati mbaya mzizi wa tatizo umekuwa hausemwi kwa kujua au kutokujua.

"Tatizo letu kuu kimsingi ni ujinga ndugu zangu."

1. Kulikoni dereva kuendesha gari akiwa haoni waziwazi anakokwenda?

2. Kulikoni dereva kuendesha gari bila kujali hali ya miundo mbinu alipo?

Pana haja ya kurekebisha viwango vya elimu angalau kwa madereva wa mabasi na malori.

Kwanini kutokuwatumia wahitimu wa vyuo vikuu kuendesha mabasi?

Kwanini kama ilivyo kwingine kama kiwango cha juu cha mwendo ni 80km/h na iwe hivyo kwa vyombo vyote vya moto barabarani?

Kwa kuzingatia haya tu ajali zitakwisha.

Serikali inao wajibu.

Upropesa nao ni ujinga tu. Haiwezi kusaidia. Upropesa = Ngumbaru au saba.
 
Ukweli n mchungu lakini tufike mahali tuuseme hata kama unauma.

Mengi yamesemwa kuhusu ajali miaka nenda miaka rudi, lakini ajali ziko pale pale.

Bahati mbaya mzizi wa tatizo umekuwa hausemwi kwa kujua au kutokujua.

"Tatizo letu kuu kimsingi ni ujinga ndugu zangu."

1. Kulikoni dereva kuendesha gari akiwa haoni waziwazi anakokwenda?

2. Kulikoni dereva kuendesha gari bila kujali hali ya miundo mbinu alipo?

Pana haja ya kurekebisha viwango vya elimu angalau kwa madereva wa mabasi na malori.

Kwanini kutokuwatumia wahitimu wa vyuo vikuu kuendesha mabasi?

Kwanini kama ilivyo kwingine kama kiwango cha juu cha mwendo ni 80km/h na iwe hivyo kwa vyombo vyote vya moto barabarani?

Kwa kuzingatia haya tu ajali zitakwisha.

Serikali inao wajibu.
Umenena vyema lakini umetoa majawabu mengine yasiyo sahihi!

Halafu,haiwezekani ajali kwisha. Lengo la kifanyia kazi ni kuzipunguza kabisa.

Siku za nyuma ajali zilikuwa zinaonekana chache kwa kuwa magari yalikuwa machache na movement ya watu ilikuwa ndogo kutokana na vipato duni na kukosekana shughuli nyingi za kiuchumi. Siku hizi magari na vyombo vingine vya moto vimeongezeka mno barabani!
 
Upropesa nao ni ujinga tu. Haiwezi kusaidia. Upropesa = Ngumbaru au saba.

Elimu ni ufunguo wa maisha. Wasomi wajinga wapo lakini ni wachahe Kwa asilimia ukilinganisha na mburula wajinga.

Fikiria:

1. Kulikoni dereva kuendesha gari akiwa haoni waziwazi anakokwenda?

2. Kulikoni dereva kuendesha gari bila kujali hali ya miundo mbinu alipo?


Inawezekana je? Tena Labda dereva huyo kabeba watu 50?
 
Ukweli n mchungu lakini tufike mahali tuuseme hata kama unauma.

Mengi yamesemwa kuhusu ajali miaka nenda miaka rudi, lakini ajali ziko pale pale.

Bahati mbaya mzizi wa tatizo umekuwa hausemwi kwa kujua au kutokujua.

"Tatizo letu kuu kimsingi ni ujinga ndugu zangu."

1. Kulikoni dereva kuendesha gari akiwa haoni waziwazi anakokwenda?

2. Kulikoni dereva kuendesha gari bila kujali hali ya miundo mbinu alipo?

Pana haja ya kurekebisha viwango vya elimu angalau kwa kuanzia, madereva wa mabasi na malori.

Kwanini kutokuwatumia wahitimu wa vyuo vikuu kuendesha mabasi?

Kwanini kama ilivyo kwingine kama kiwango cha juu cha mwendo ni 80km/h, isiiwe hivyo kwa vyombo vyote vya moto barabarani?

Kwa kuzingatia haya tu, ajali zitakwisha.

Serikali inao wajibu.
Hii nchi wenye elimu wanabezwa Sana , Ila ujinga ndo tatizo kubwa , umaskini pia , huwez kusafr more than 800 km Kwa basi , dunia za wenzetu hapo ni tren za umeme au aircraft , miundo mbinu mibovu na isiyokidhi , two lanes Kwa highway ni graveyard
 
Umenena vyema lakini umetoa majawabu mengine yasiyo sahihi!

Halafu,haiwezekani ajali kwisha. Lengo la kifanyia kazi ni kuzipunguza kabisa.

Siku za nyuma ajali zilikuwa zinaonekana chache kwa kuwa magari yalikuwa machache na movement ya watu ilikuwa ndogo kutokana na vipato duni na kukosekana shughuli nyingi za kiuchumi. Siku hizi magari na vyombo vingine vya moto vimeongezeka mno barabani!

Mkuu ninamfikiria dereva wa bus na lorry kuwa graduate. Ninafikiria mwendo wa juu kuwa 80km/h, hadi kwa gari la polisi.

Kwa kweli ajali zitakwisha na kama ni kupungua, basi itakuwa ni nadra mno na madhara hayawezi kuwa ya watu 12 kirahisi rahisi hivi.
 
Kama tatizo ni ujinga unaosababishwa na madereva wetu kutojua hata kutumia common sense, sioni ni kwa namna gani tunaweza kuepuka hizo ajali, labda serikali ipige marufuku matumizi ya magari barabarani, ndio itakuwa salama yetu.
 
Hii nchi wenye elimu wanabezwa Sana , Ila ujinga ndo tatizo kubwa , umaskini pia , huwez kusafr more than 800 km Kwa basi , dunia za wenzetu hapo ni tren za umeme au aircraft , miundo mbinu mibovu na isiyokidhi , two lanes Kwa highway ni graveyard

Hili la kubeza usomi ndiyo ulipo ujinga zaidi ya ujinga wenyewe.

Tunapokuwa hatuna mtandao wa reli kukidhi mahitaji kote nchini wala uwezo wa madege, kuwa na watu responsible kwenye usukani ni jibu.

Tuwe:

1. Watu responsible kwenye usukani.
2. Speed limit 80km/h kwa wote.

Hapo tutavuka.
 
Kama tatizo ni ujinga unaosababishwa na madereva wetu kutojua hata kutumia common sense, sioni ni kwa namna gani tunaweza kuepuka hizo ajali, labda serikali ipige marufuku matumizi ya magari barabarani, ndio itakuwa salama yetu.

Kutokutumia common sense ni mwendelezo wa ujinga kutokea na kuwa na elimu kidogo. Haiwezi kuwa tofauti.

Kumbuka ajali husababishwa. Dereva mmoja anaweza sababishiwa ajali na mwingine.

80km/h kwa magari yote itakuwa mwarobaini mwema tu kwenye hili la kusababishiana ajali.
 
Ukweli n mchungu lakini tufike mahali tuuseme hata kama unauma.

Mengi yamesemwa kuhusu ajali miaka nenda rudi, lakini ajali ziko pale pale.

Bahati mbaya mzizi wa tatizo umekuwa hausemwi kwa kujua au kutokujua.

"Tatizo letu kuu kimsingi ni ujinga ndugu zangu."

1. Kulikoni dereva kuendesha gari akiwa haoni waziwazi anakokwenda?

2. Kulikoni dereva kuendesha gari bila kujali hali ya miundo mbinu alipo?

Pana haja ya kurekebisha viwango vya elimu angalau kwa kuanzia, madereva wa mabasi na malori.

Kwanini kutokuwatumia wahitimu wa vyuo vikuu kuendesha mabasi?

Kwanini kama ilivyo kwingine kama kiwango cha juu cha mwendo ni 80km/h, isiiwe hivyo kwa vyombo vyote vya moto barabarani?

Kwa kuzingatia haya tu, ajali zitakwisha.

Serikali inao wajibu.
Tatizo la ajali za Tanzania ni barabara kuwa ndogo,halafu magari ni mengi.Kinachotakiwa kifanyike ni kupanua barabara zote kuu,Dar to Tunduma, Dar to Mwanza, Dar to Arusha, Dar to Mtwara.Hizo njia kuu zikishatanuliwa, tutakuwa tumeokoa vifo vya ajali kwa asilimia 90
 
Tatizo la ajali za Tanzania ni barabara kuwa ndogo,halafu magari ni mengi.Kinachotakiwa kifanyike ni kupanua barabara zote kuu,Dar to Tunduma, Dar to Mwanza, Dar to Arusha, Dar to Mtwara.Hizo njia kuu zikishatanuliwa, tutakuwa tumeokoa vifo vya ajali kwa asilimia 90
Barabara finyu lakini magari yote isipokuwa mabasi na malori yanaruhusiwa kwenda spidi yoyote. Unapaona je hapo?

Barabara finyu halafu madereva hawana common sense ya kuwa hapa sioni mbele. Unapaona je hapo?

Kwamba kuna changamoto za miundo mbinu dereva huyu tuliye naye anajua hilo? Tahadhali gani anachukua?
 
Ukweli n mchungu lakini tufike mahali tuuseme hata kama unauma.

Mengi yamesemwa kuhusu ajali miaka nenda rudi, lakini ajali ziko pale pale.

Bahati mbaya mzizi wa tatizo umekuwa hausemwi kwa kujua au kutokujua.

"Tatizo letu kuu kimsingi ni ujinga ndugu zangu."

1. Kulikoni dereva kuendesha gari akiwa haoni waziwazi anakokwenda?

2. Kulikoni dereva kuendesha gari bila kujali hali ya miundo mbinu alipo?

Pana haja ya kurekebisha viwango vya elimu angalau kwa kuanzia, madereva wa mabasi na malori.

Kwanini kutokuwatumia wahitimu wa vyuo vikuu kuendesha mabasi?

Kwanini kama ilivyo kwingine kama kiwango cha juu cha mwendo ni 80km/h, isiiwe hivyo kwa vyombo vyote vya moto barabarani?

Kwa kuzingatia haya tu, ajali zitakwisha.

Serikali inao wajibu.
Kwamba nchi gani hapa Duniani hakuna ajali? Kiukweli kwa miundo mbinu ya barabara za Tanzania ilivyo mibovu na duni, tuwapongeze madreve wa Tanzania kwamba ajali sio nyingi sana!
 
Hizo Ni course mbili tofauti ,

Afu hakuna uhusiano Kati ya elimu ya darasan huko , umri na kuwa mtiifu barabarani

Huwa napanda ma bus Sana lkn Kuna saa unasema pamoja na umri wangu kuwa mdogo kwa dereva lkn pale kafanya kitendo ambacho nisingeweza fanya
Kwanini kutokuwatumia wahitimu wa vyuo vikuu kuendesha mabasi?
 
Barabara finyu lakini magari yote isipokuwa mabasi na malori yanaruhusiwa kwenda spidi yoyote. Unapaona je hapo?

Barabara finyu halafu madereva hawana common sense ya kuwa hapa sioni mbele. Unapaona je hapo?

Kwamba kuna changamoto za miundo mbinu dereva huyu tuliye naye anajua hilo? Tahadhali gani anachukua?
Hivi chukulia kipande cha kutoka Morogoro kwenda Dar, Selikali imeshindwa kupasua barabara nyingine mbadala,au ingalau pawepo na njia nne?hii ichi tunaongozwaga na wasiokuwa na uwezo wa kufikiri
 
Kwann umesema 80 na sio 70 ama 90 ama 100


Aliekwambia 80 hupati ajali nani
Kutokutumia common sense ni mwendelezo wa ujinga kutokea na kuwa na elimu kidogo. Haiwezi kuwa tofauti.

Kumbuka ajali husababishwa. Dereva mmoja anaweza sababishiwa ajali na mwingine.

80km/h kwa magari yote itakuwa mwarobaini mwema tu kwenye hili la kusababishiana ajali.
 
Vyombo ambavyo havilingani size heavy na light havipaswi tembea speed sawa

Kuweka 80kph kwa Lori,bus gari ndogo mtazika Sana

Gari dogo ukikuta Lori linatembea 80kph lipite kaa nalo mbali kabisa ukishindwa lipita acha iende mbali na wewe
 
Back
Top Bottom