Huwa nawaza kila siku tena wangeongeza mpaka DodomaHivi chukulia kipande cha kutoka Morogoro kwenda Dar, Selikali imeshindwa kupasua barabara nyingine mbadala,au ingalau pawepo na njia nne?hii ichi tunaongozwaga na wasiokuwa na uwezo wa kufikiri
Sent from my CLT-L29 using JamiiForums mobile app