- Thread starter
- #61
Ni kweli magari yamekuwa mengi lakini sio kwamba ndio sababu ya ajali kuwa nyingi !! Swali langu ni moja tu-: Je madereva kugongana uso kwa uso huwa inasababishwa na magari kuwa mengi barabarani au ni uzembe tu wa madereva husika ?! Dereva wa gari A ana macho na anakutana na dereva wa gari B naye pia ana macho ni kitu gani kinachosababisha gari wanazoziendesha zigongane uso kwa uso ??!! Jibu nililonalo mimi ni kwamba mmoja wao au wote Wawili huwa hawazitumii akili zao inavyotakiwa wanapoendesha magari yao !! Na hiyo mara nyingi husababishwa na kuamini ulevi fulani fulani unampa ujasiri na nguvu awapo barabarani huyo dereva !!
Kuendeshwa kwenye magari ya wawili hao ni suala la muda tu.