Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ngoja tuoneYule wamemdedisha wakubwa.
Notable reason? Kwani alikuwa timu mwendazake?Yule wamemdedisha wakubwa.
Mkishajua mtuambie na sisi ndugu zenu bangoshaMa mangi tunaumoja itajulikana tu
KawafanyajeYule wamemdedisha wakubwa.
CCM wamekithiri kwa maovu. Wanabaka hadi nje ya nchi?Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji ,
Mpaka katimuliwa kuna hatua tena hapo ? maana yake imethibitishwa .Hizo tuhuma ziko ktk hatua gani ya kiuchunguzi huko Austria? Chanzo cha tuhuma ni kipi?
Mambo ya duniaLabda kwa kifupi, mtu akifa na kesi inakufa.
Mpaka katimuliwa kuna hatua tena hapo ? maana yake imethibitishwa .
Ongezea nyama mkuu.Kama hiyo ajali ni ile nliyoshuhudia na kama ni yeye alifariki katika hiyo ajali, hakuna ambaye angeweza kumtambua mda ule hata baada ya 24 hours.
Ajali ilikuwa ni mbaya sana tulishindwa kulitambua gari lenyewe .!