inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mara nyingi mabalozi no majasusi, ujasusi na kifo ni ulimi na mateKawafanyaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi mabalozi no majasusi, ujasusi na kifo ni ulimi na mateKawafanyaje
Nata nikuunge mkono always Balozi Mushi alikuwa mtu wakujichanganya some time unamkuta na jinsi mpauko anatembea barabarani au ana tumia gari umechoka ya serikali... Ndio style yake ya MaishaUna hoja, ila mbona ajali nyingi nchini huwa polisi wanazichunguza. Tunasikia mara kwa mara ajali za mabasi, malori au gari ndogo; polisi wanaweza establish taarifa za awali lakini wanasema," Uchunguzi zaidi unaendelea." Muhimu tu tusiwe na hisia nyingii kabla ya uchunguzi.
Kwa mfano, kuna watu wanahoji Mhe. Balozi alitumiaje Crown au kwa nini alikuwa pekeake? Katika maisha kuna watu hawapendi ufahari. Kwa mfano, mimi hata niwe na milioni mfukoni napenda kunywa juice ya Kibugumo, Kigamboni kuliko kempenski. Sipendi kabisa maisha ya kifahari.🙏🙏🙏
Ooh asante sana! Yes watu wa aina hiyo wapo . Tatizo ni haya maisha ya ufahari tuliyozea kuyaona kwa baadhi ya watu. Lakini kuna watu wanapenda maisha ya kawaida na wanayafurahia mno na hawaigizi 'kubeba zege au kusaidia wakulima shamba' ni uhalisia.Nata nikuunge mkono always Balozi Mushi alikuwa mtu wakujichanganya some time unamkuta na jinsi mpauko anatembea barabarani au ana tumia gari umechoka ya serikali... Ndio style yake ya Maisha
Nimefanya kazi na Balozi Mushi, ni msela flan hivi na mtu anayejiamini sana, kuendesha gari mwenyewe ni kitu anachoweza kufanya, lakini kwanini Usiku? Kwanini Crown?Balozi kafa kwenye crown inashangaza kweli. Kweli balozi asafiri mwenyewe ata machawa chawa wa bongo akose. Sijui ila inaleta ukakasi
Siyo gratia ni grata, bossIko hv nchi za watu kwa mujibu wa sheria huwezi kumshtaki balozi kwa makosa ya jinai (sheria za kimataifa ambazo sisi wtz tume ratify) na wao pia.
The only available remedy ambayo ipo kisheria ni ku- declare kwa barozi husika persona non Gratia. Asante kwa marekebisho nipo bar nimelewa tayari
Wanabaka ki-internationally!!!CCM wamekithiri kwa maovu. Wanabaka hadi nje ya nchi?
Umeambiwa Austria we unakuja na Australia yako hapa, Wabongo kazi kweli kweli🤣So huenda jamaa alifia huko Aurtralia kwa kipigo.......
Najaribu kuwaza
Naibu RAS Mtwara, Magu alimpa adhabu ya kusimamia zoezi la kunyang'anya Wakulima korosho na kisha kuzimwaga baharini, ni kitu Balozi Mushi alikuwa akiumizwa nacho moyoni nadhani hadi mauti yake yanamfika, nimesikitika sana....highly intelligent, humble & outgoing personality😭😭😭Utawala uliopita kama sikosei alikuwa RAS ....
Anadai kalewa🤣Siyo gratia ni grata, boss
Na Balozi Mushy alikuwa ni jasusi la kufa mtu, nilikaa naye siku 10 ilikuwa kama nimekaa University miaka 7Mara nyingi mabalozi no majasusi,ujasusi na kifo ni ulimi na mate
Yale yale ya Imrani Kombe, unakwenda kumaliziwa njia ya kwenda kwenu, nimeumia sana!Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.
Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.
Naomba kuwasilisha.
Hata mimi hili limenishangaza. Ilikuwaje balozi ajiendeshe mwenyewe kutoka Dar hadi Moshi? Bila hata msaidizi? Hapa kuna walakini!Balozi kafa kwenye crown inashangaza kweli. Kweli balozi asafiri mwenyewe ata machawa chawa wa bongo akose. Sijui ila inaleta ukakasi
You are so stupidUmeambiwa Austria we unakuja na Australia yako hapa, Wabongo kazi kweli kweli🤣
Ww ni pumbav. Nishasema nipo bar nimelewa. Someni neno kwa neno kumamakeSiyo gratia ni grata, boss
AttNatoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.
Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.
Naomba kuwasilisha.
Mimi tena ndo niwe stupid, na wewe usiyeelewa Vienna iko wapi na kuna nini huko utakuwa kitu ganii? Idiot au siyoYou are so stupid
Duh alibaka!!!?Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.
Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.
Naomba kuwasilisha.