Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Kama hiyo ajali ni ile nliyoshuhudia na kama ni yeye alifariki katika hiyo ajali, hakuna ambaye angeweza kumtambua mda ule hata baada ya 24 hours.

Ajali ilikuwa ni mbaya sana tulishindwa kulitambua gari lenyewe .!
Alikuwa anawahi kwenda motoni!!!!
 
Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
Wataanza kutuletea Yale yale ya majaliwa na ile ndege. Hapa mtu amekufa amekufa apumzike kwa amani
 
Ongezea nyama mkuu.
Ajali ilikuwaje? Gari ilipinduka? Iligongana?
Gari yake iligongana uso kwa uso na Lory kutoka kampuni ya Mahit sijui ( sikumbuki jina vizuri ) ilikua inatokea Tanga, ile impact ilifanya gari yake ilipuke hapo hapo, Lory ilidondoka na cabin yote iliungua Moto

Aliyekua kwa gari ndogo ndio aliingia upande wa Lory, kuna uwezekano dereva alisinzia au labda alikua kalewa, kwa ile impact yaan hata kama isingeungua bado asingepona
 
Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
Duh.

Kwani alikuwa nchini tangu lini!!?
 
Gari yake iligongana uso kwa uso na Lory kutoka kampuni ya Mahit sijui ( sikumbuki jina vizuri ) ilikua inatokea Tanga, ile impact ilifanya gari yake ilipuke hapo hapo, Lory ilidondoka na cabin yote iliungua Moto

Aliyekua kwa gari ndogo ndio aliingia upande wa Lory, kuna uwezekano dereva alisinzia au labda alikua kalewa, kwa ile impact yaan hata kama isingeungua bado asingepona
Au ilikuwa suicide.... Just thinking kama mada ina ukweli.
 
Nimefanya kazi na Balozi Mushi, ni msela flan hivi na mtu anayejiamini sana, kuendesha gari mwenyewe ni kitu anachoweza kufanya, lakini kwanini Usiku? Kwanini Crown?

Something fishy!
Kuendesha gari long trip inaitaji uzowefu jamani, usione unajua kuendesha gari Mjini ukajiona pia unaweza kuendesha Long trip!!
 
Gari yake iligongana uso kwa uso na Lory kutoka kampuni ya Mahit sijui ( sikumbuki jina vizuri ) ilikua inatokea Tanga, ile impact ilifanya gari yake ilipuke hapo hapo, Lory ilidondoka na cabin yote iliungua Moto

Aliyekua kwa gari ndogo ndio aliingia upande wa Lory, kuna uwezekano dereva alisinzia au labda alikua kalewa, kwa ile impact yaan hata kama isingeungua bado asingepona
Hii ndiyo JF, data lazima zimwagike

Kumbe aligongana na lorry la wese

Ova
 
Back
Top Bottom