Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 806
- 2,049
Duh, poleni na msiba mkuu.Ndio lazima tumfwate ndugu yetu serikali inahusikaje? acha ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, poleni na msiba mkuu.Ndio lazima tumfwate ndugu yetu serikali inahusikaje? acha ujinga
Alikuwa anawahi kwenda motoni!!!!Kama hiyo ajali ni ile nliyoshuhudia na kama ni yeye alifariki katika hiyo ajali, hakuna ambaye angeweza kumtambua mda ule hata baada ya 24 hours.
Ajali ilikuwa ni mbaya sana tulishindwa kulitambua gari lenyewe .!
Wataanza kutuletea Yale yale ya majaliwa na ile ndege. Hapa mtu amekufa amekufa apumzike kwa amaniNatoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.
Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.
Naomba kuwasilisha.
Gari yake iligongana uso kwa uso na Lory kutoka kampuni ya Mahit sijui ( sikumbuki jina vizuri ) ilikua inatokea Tanga, ile impact ilifanya gari yake ilipuke hapo hapo, Lory ilidondoka na cabin yote iliungua MotoOngezea nyama mkuu.
Ajali ilikuwaje? Gari ilipinduka? Iligongana?
Duh.Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.
Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.
Naomba kuwasilisha.
Au ilikuwa suicide.... Just thinking kama mada ina ukweli.Gari yake iligongana uso kwa uso na Lory kutoka kampuni ya Mahit sijui ( sikumbuki jina vizuri ) ilikua inatokea Tanga, ile impact ilifanya gari yake ilipuke hapo hapo, Lory ilidondoka na cabin yote iliungua Moto
Aliyekua kwa gari ndogo ndio aliingia upande wa Lory, kuna uwezekano dereva alisinzia au labda alikua kalewa, kwa ile impact yaan hata kama isingeungua bado asingepona
Kuendesha gari long trip inaitaji uzowefu jamani, usione unajua kuendesha gari Mjini ukajiona pia unaweza kuendesha Long trip!!Nimefanya kazi na Balozi Mushi, ni msela flan hivi na mtu anayejiamini sana, kuendesha gari mwenyewe ni kitu anachoweza kufanya, lakini kwanini Usiku? Kwanini Crown?
Something fishy!
Boss sema neno basi mtalamu wetu😭😭😭😭😭🤭🤐🤐🤐
Kuendesha gari long trip inaitaji uzowefu jamani, usione unajua kuendesha gari Mjini ukajiona pia unaweza kuendesha Long trip!!
Ni Austria siyo Australia.Kwani alikuwa declared persona nan Gratia!?
huko Australia!?
HahahahahaNishasema nipo bar nimelewa. Someni neno kwa neno kumamake
Hii ndiyo JF, data lazima zimwagikeGari yake iligongana uso kwa uso na Lory kutoka kampuni ya Mahit sijui ( sikumbuki jina vizuri ) ilikua inatokea Tanga, ile impact ilifanya gari yake ilipuke hapo hapo, Lory ilidondoka na cabin yote iliungua Moto
Aliyekua kwa gari ndogo ndio aliingia upande wa Lory, kuna uwezekano dereva alisinzia au labda alikua kalewa, kwa ile impact yaan hata kama isingeungua bado asingepona
CCM wa kimataifaCCM wamekithiri kwa maovu. Wanabaka hadi nje ya nchi?
Yule alikatwa na wahuni hiyo iko wazi, mmoja hapa karibuni ameelekea kutoa siri ya uremboMkishajua mtuambie na sisi ndugu zenu bangosha
Aisee! Sababu yawezekana zikawa ni zipi?Yule alikatwa na wahuni hiyo iko wazi,mmoja hapa karibuni ameelekea kutoa siri ya urembo
Att
AJALI YA TOYOTA CROWN T.175DMF IMETOKEA MKATA DEREVA NI MWANAMKE AMEFARIKI PAPO HAPO, UMILIKI WA GARI NI CELESTINE JOSEPH MUSHY
SAMBAZA KWENYE MAGROUP KADRI UWEZAVYO ILI NDUGU WAPATE TAARIFA
TOKA 0652003003