Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Mbali na masikitiko ya kifo cha Balozi, inasikitisha zaidi sana kuona mwandishi anadanganya/anachanganya hadharani kuwa Bolozi Mushi alikuwa Balozi wa Tanzania "Australia" na siyo "Austria"
Hapo msomaji inabidi ujiongeze sasa
 
Una hoja, ila mbona ajali nyingi nchini huwa polisi wanazichunguza. Tunasikia mara kwa mara ajali za mabasi, malori au gari ndogo; polisi wanaweza establish taarifa za awali lakini wanasema," Uchunguzi zaidi unaendelea." Muhimu tu tusiwe na hisia nyingii kabla ya uchunguzi.

Kwa mfano, kuna watu wanahoji Mhe. Balozi alitumiaje Crown au kwa nini alikuwa pekeake? Katika maisha kuna watu hawapendi ufahari. Kwa mfano, mimi hata niwe na milioni mfukoni napenda kunywa juice ya Kibugumo, Kigamboni kuliko kempenski. Sipendi kabisa maisha ya kifahari.[emoji120][emoji120][emoji120]
Kuna balozi yupo Bunju anauza Bata na mchicha.
Na Wala hata hajali
 
Naibu RAS Mtwara, Magu alimpa adhabu ya kusimamia zoezi la kunyang'anya Wakulima korosho na kisha kuzimwaga baharini, ni kitu Balozi Mushi alikuwa akiumizwa nacho moyoni nadhani hadi mauti yake yanamfika, nimesikitika sana....highly intelligent, humble & outgoing personality😭😭😭
Waafrika wote mnafanana akili hamna intelligent.
 
Kipande kile mkata kuendelea kuna umafia mwingi sana.....
Ukipata ajali ukipona kachinje ngombe au mbuzi

Ova
Fafanua huo umafia mkuu, hilo eneo 2021 March, nilipoteza uncle aliyekuwa safarini kuelekea Tanga mjini.Alikuwa dereva mzoefu sana, gari ilipinduka na kubondeka upande wa dereva na kuaga dunia pale pale.
 
Gari yake iligongana uso kwa uso na Lory kutoka kampuni ya Mahit sijui ( sikumbuki jina vizuri ) ilikua inatokea Tanga, ile impact ilifanya gari yake ilipuke hapo hapo, Lory ilidondoka na cabin yote iliungua Moto

Aliyekua kwa gari ndogo ndio aliingia upande wa Lory, kuna uwezekano dereva alisinzia au labda alikua kalewa, kwa ile impact yaan hata kama isingeungua bado asingepona
Picha za tukio zipo wapi ili sisi wataalamu tuzitazame na kuzitathimini tuweze kutoa hitimisho letu.
 
Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
Kwa upumbavu wake, aliingizwa king,
"Honey trap"unarekodiwa ukiwa na Dem, then blackmailing inafata.

Either utalazimishwa utoe Siri, ukikataa, utachafuliwa, na video zitavujishwa, then utafukuzwa kwenye host country, waliotaka kuku recruit, watakasirika, na idara yenu isipokuwa makini, lazima wakudedishe.
Ile sio ajari, kwa sie wenye macho ya mwewe, tunajua imetengenezwa,.

Nakumbuka, General mmoja wa US, iligundulika ana kadem pembeni, habari hizo zilipofika state department, alirudishwa fasta hm, akavuliwa madaraka, FBI wakamuhoji kuona kama huo uhusiano na mchepuko wake, haujafanya awe blackmailed na maadui wa US Ili kutoa nyaraka za Siri.

Huku kwetu, tumejaza vilaza watupu kwenye balozi zetu,vitengo vya kijasusi vya counterintelligence, vimejazwa ndugu kibao, wanaojari mishahara, na kuja kupata uteuzi tu,wanashinda mitandaoni, wakisifia ccm, kazi za ulinzi hakuna kitu.

Nchi yetu inamatobo kibao kwenye ujasusi, watu wengi kwenye vitengo nyeti wapo "compromised"we have no idea, how foreign intelligence have penetrated our systems,mi nafikiri Kuna watu ni wachafu, kiasi kwamba kwa kuogopa uchafu wao kuwekwa wazi wanauza Siri kibao za nchi

Huyu Balozi, inaonekana aligoma kutoa Siri, wanaume wakamtuliza,
TISS ipo bize kuwinda wapinzani wa ccm, huku nchi inazidi kuoza.
 
Hii inanikumbusha Hotuba ya Mwalimu Juu ya kifo Cha sokoine.

"Watanzania wenzangu nawaombeni sana mkubali kwamba Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine amefariki kwa ajali ya gari.”

JULIUS KAMBARAGE NYERERE
Nyerere alikuwa mafia sana
 
Back
Top Bottom