Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
CCM wamekithiri kwa maovu. Wanabaka hadi nje ya nchi?
🤣🤣, unataka wabake ndani ya nchi tu ??!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wamekithiri kwa maovu. Wanabaka hadi nje ya nchi?
Hapo msomaji inabidi ujiongeze sasaMbali na masikitiko ya kifo cha Balozi, inasikitisha zaidi sana kuona mwandishi anadanganya/anachanganya hadharani kuwa Bolozi Mushi alikuwa Balozi wa Tanzania "Australia" na siyo "Austria"
Probably alikuwa jasusi.Nata nikuunge mkono always Balozi Mushi alikuwa mtu wakujichanganya some time unamkuta na jinsi mpauko anatembea barabarani au ana tumia gari umechoka ya serikali... Ndio style yake ya Maisha
Kuna balozi yupo Bunju anauza Bata na mchicha.Una hoja, ila mbona ajali nyingi nchini huwa polisi wanazichunguza. Tunasikia mara kwa mara ajali za mabasi, malori au gari ndogo; polisi wanaweza establish taarifa za awali lakini wanasema," Uchunguzi zaidi unaendelea." Muhimu tu tusiwe na hisia nyingii kabla ya uchunguzi.
Kwa mfano, kuna watu wanahoji Mhe. Balozi alitumiaje Crown au kwa nini alikuwa pekeake? Katika maisha kuna watu hawapendi ufahari. Kwa mfano, mimi hata niwe na milioni mfukoni napenda kunywa juice ya Kibugumo, Kigamboni kuliko kempenski. Sipendi kabisa maisha ya kifahari.[emoji120][emoji120][emoji120]
Hakuna waandishi siku hiziMbali na masikitiko ya kifo cha Balozi, inasikitisha zaidi sana kuona mwandishi anadanganya/anachanganya hadharani kuwa Bolozi Mushi alikuwa Balozi wa Tanzania "Australia" na siyo "Austria"
Fresh tu,tena huyo atakuwa anaenjoy maishaKuna balozi yupo Bunju anauza Bata na mchicha.
Na Wala hata hajali
Mentality za kimasikini Zina amini Ukiwa na cheo au wadhifa unatakiwa uishi maisha flani hivi.Fresh tu,tena huyo atakuwa anaenjoy maisha
Ova
Sio suicide, ile ni ajali mkuu nimeshuhudiaAu ilikuwa suicide.... Just thinking kama mada ina ukweli.
Waafrika wote mnafanana akili hamna intelligent.Naibu RAS Mtwara, Magu alimpa adhabu ya kusimamia zoezi la kunyang'anya Wakulima korosho na kisha kuzimwaga baharini, ni kitu Balozi Mushi alikuwa akiumizwa nacho moyoni nadhani hadi mauti yake yanamfika, nimesikitika sana....highly intelligent, humble & outgoing personality😭😭😭
Fafanua huo umafia mkuu, hilo eneo 2021 March, nilipoteza uncle aliyekuwa safarini kuelekea Tanga mjini.Alikuwa dereva mzoefu sana, gari ilipinduka na kubondeka upande wa dereva na kuaga dunia pale pale.Kipande kile mkata kuendelea kuna umafia mwingi sana.....
Ukipata ajali ukipona kachinje ngombe au mbuzi
Ova
Picha za tukio zipo wapi ili sisi wataalamu tuzitazame na kuzitathimini tuweze kutoa hitimisho letu.Gari yake iligongana uso kwa uso na Lory kutoka kampuni ya Mahit sijui ( sikumbuki jina vizuri ) ilikua inatokea Tanga, ile impact ilifanya gari yake ilipuke hapo hapo, Lory ilidondoka na cabin yote iliungua Moto
Aliyekua kwa gari ndogo ndio aliingia upande wa Lory, kuna uwezekano dereva alisinzia au labda alikua kalewa, kwa ile impact yaan hata kama isingeungua bado asingepona
Ma mangi tuna umoja itajulikana tu
Yule wamemdedisha wakubwa.
Ngoja tuone
Kwa upumbavu wake, aliingizwa king,Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.
Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.
Naomba kuwasilisha.
Wana jf bana 😄😄😄Na Balozi Mushy alikuwa ni jasusi la kufa mtu, nilikaa naye siku 10 ilikuwa kama nimekaa University miaka 7
Poa kabisa. Ni maisha mazuri mno ni basi tu wengi hawajui.😃😃😃🙏🙏🙏Kuna balozi yupo Bunju anauza Bata na mchicha.
Na Wala hata hajali
Nyerere alikuwa mafia sanaHii inanikumbusha Hotuba ya Mwalimu Juu ya kifo Cha sokoine.
"Watanzania wenzangu nawaombeni sana mkubali kwamba Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine amefariki kwa ajali ya gari.”
JULIUS KAMBARAGE NYERERE