Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
Tangu lini mfumo ukajichunguza mkurugenzi!! Hata mimi nilishangaa! How come Balozi asafiri peke yake usiku, halafu kwenye gari ya kawaida kabisa; Toyota Crown athlete!!!

Yaani Balozi mzima akose dereva wa kumuendesha!! Asafiri usiku kwenda Moshi na gari ndogo, na wakati angeweza kupanda ndege alfajiri na kuingia huko Moshi mapema kabisa!!! 🤔
 
Hii ajali ina kila dalili za “assasins job” ; …..

1. Kwanini alisafiri usiku?
2. Kwanini alisafiri peke yake?
3.Mawasiliano yake?
4. Gari ilipata ajali?
5. Wanasema gari iliungua ... huwa kama sio bomu gari huwa haingui ghafla … huanza short , lazima itasimama ghafla …na baada ya muda ndio italipuka . Muda huo wote yeye hakutoka nje?

Hatutaki kuhukumu lakini hichi kifo kinahitaji kuchunguzwa na sio kuzika haraka… lakini mara nyingi vifo kama hivi huwa mtu anaulizwa mahali tofauti alafu wanaenda sehemu wanamueka kwenye gari alafu wanalichoma ….

Au wengine wanauwa halafu wanatumbukiza korongoni …ni style za kizamani ambazo zimetumia sana na NRB [ national research bureau] ile ya Iddi Amin …style zake zote ziilikuwa set up accident , kupinduka , au moto ….uzuri wa style ya moto huwa inauwa ushahidi lakini pia ni rahisi zaidi kustukiwa …

Sasa tunahitaji kufanya background check ya huyu bwana …. Kuna jambo gani ambalo analijua ..ambalo pengine likitoka ni hatari …kwa ufupi inajulikana ni kati ya wateule ambao utawala uliopita uliwatupa mbali sana ….ndio kwanza kakumbukwa kutoka mavumbini ndio anapata hii kadhia ….so sad .
Gari ilipata ajali
Aligongana na Lory gari yake ikawaka moto
Lory iliungua yote cabin
 
Kwa upumbavu wake, aliingizwa king,
"Honey trap"unarekodiwa ukiwa na Dem, then blackmailing inafata.

Either utalazimishwa utoe Siri, ukikataa, utachafuliwa, na video zitavujishwa, then utafukuzwa kwenye host country, waliotaka kuku recruit, watakasirika, na idara yenu isipokuwa makini, lazima wakudedishe.
Ile sio ajari, kwa sie wenye macho ya mwewe, tunajua imetengenezwa,.

Nakumbuka, General mmoja wa US, iligundulika ana kadem pembeni, habari hizo zilipofika state department, alirudishwa fasta hm, akavuliwa madaraka, FBI wakamuhoji kuona kama huo uhusiano na mchepuko wake, haujafanya awe blackmailed na maadui wa US Ili kutoa nyaraka za Siri.

Huku kwetu, tumejaza vilaza watupu kwenye balozi zetu,vitengo vya kijasusi vya counterintelligence, vimejazwa ndugu kibao, wanaojari mishahara, na kuja kupata uteuzi tu,wanashinda mitandaoni, wakisifia ccm, kazi za ulinzi hakuna kitu.

Nchi yetu inamatobo kibao kwenye ujasusi, watu wengi kwenye vitengo nyeti wapo "compromised"we have no idea, how foreign intelligence have penetrated our systems,mi nafikiri Kuna watu ni wachafu, kiasi kwamba kwa kuogopa uchafu wao kuwekwa wazi wanauza Siri kibao za nchi

Huyu Balozi, inaonekana aligoma kutoa Siri, wanaume wakamtuliza,
TISS ipo bize kuwinda wapinzani wa ccm, huku nchi inazidi kuoza.

Yaani Mzungu leo hii atake siri za Tanzania azifwate kwa mtu mdogo kama Balozi wakati wakubwa wote wanawatumikia ? Mzungu anaamua nani awe Kiongozi wa Tanzania, Mzungu anaijua TZ klk hao viongozi au unafikiri kwa nini Ndege yetu ilikamatwa Uholanzi nani aliipeleka? Nani alisaidia Mzungu kuikamata? Nani alitoa infos kwa Mzungu?

Amka uko uchi kuliko unavyodhania, …
 
Inzi walidhani ukweli hautajulikana, balozi unabaka? Ni aibu isiyoelezeka. Sijawahi sikia, nimeisikia kwa balozi wa samia
 
Pole balozi Celestine Mushi! Tulifurahia utendaji wako pale Vienna mara baada ya kuingia ofisin. Umekufa kifo kibaya kwa taarifa zinazosomeka humu. Kifo kibaya sana. Lakin kama kuna mkono wa mtu nyuma ya kifo chako, basi damu yako isinyamaze mpaka ijitwalie kisasi. RIP😭😭😭😪
 
Pole balozi Celestine Mushi! Tulifurahia utendaji wako pale Vienna mara baada ya kuingia ofisin. Umekufa kifo kibaya kwa taarifa zinazosomeka humu. Kifo kibaya sana. Lakin kama kuna mkono wa mtu nyuma ya kifo chako, basi damu yako isinyamaze mpaka ijitwalie kisasi. RIP😭😭😭😪
Kuna wanaosema eti alibaka nyie mliofanya nae kazi hizi tuhuma je ni kweli
 
Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
Dah! umeibua hoja fulani.

Hii habari niliisoma Mwananchi lakini haikubainisha sababu ya yeye kuwepo nchini wakati kituo chake cha kazi ni Austria. Ripota angesema labda, Balozi alikuwa amerudi Tanzania kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Fafanua huo umafia mkuu, hilo eneo 2021 March, nilipoteza uncle aliyekuwa safarini kuelekea Tanga mjini.Alikuwa dereva mzoefu sana, gari ilipinduka na kubondeka upande wa dereva na kuaga dunia pale pale.
Kuna wezi wa mafuta,waporaji wa mizigo kwenye magari,

Ova
 
Kwanini watu wanahoji eti kwanini aendeshe Crown?
Ingekuwa mkokoteni sawa sasa walitegemea aendeshe nini sielewi kabisa

Watu mnapangia maisha ya mtu mbona Rais masikini duniani alikuwa na vw iliyochoka?
Maisha ya mtu ni yake na mpaka wengine huwa wana double life so what
 
Hii ajali ina kila dalili za “assasins job” ; …..

1. Kwanini alisafiri usiku?
2. Kwanini alisafiri peke yake?
3.Mawasiliano yake?
4. Gari ilipata ajali?
5. Wanasema gari iliungua ... huwa kama sio bomu gari huwa haingui ghafla … huanza short , lazima itasimama ghafla …na baada ya muda ndio italipuka . Muda huo wote yeye hakutoka nje?

Hatutaki kuhukumu lakini hichi kifo kinahitaji kuchunguzwa na sio kuzika haraka… lakini mara nyingi vifo kama hivi huwa mtu anaulizwa mahali tofauti alafu wanaenda sehemu wanamueka kwenye gari alafu wanalichoma ….

Au wengine wanauwa halafu wanatumbukiza korongoni …ni style za kizamani ambazo zimetumia sana na NRB [ national research bureau] ile ya Iddi Amin …style zake zote ziilikuwa set up accident , kupinduka , au moto ….uzuri wa style ya moto huwa inauwa ushahidi lakini pia ni rahisi zaidi kustukiwa …

Sasa tunahitaji kufanya background check ya huyu bwana …. Kuna jambo gani ambalo analijua ..ambalo pengine likitoka ni hatari …kwa ufupi inajulikana ni kati ya wateule ambao utawala uliopita uliwatupa mbali sana ….ndio kwanza kakumbukwa kutoka mavumbini ndio anapata hii kadhia ….so sad .
una kitu
thanks
 
Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
huo ni unafiki sasa kufukuzwa kazi kwa ubakaaji kuna uhusiano gani na ajali? mbona hata GODBLESS LEMA ana tuhuma za ubakaji na hazihusiani na kukimbia nchi na kujifanya mimbizi? hiyo ni ajali kama ajali zingine gari imepata ajali imewaka basi uchunguze nini? sema tu kuwa ulitaka watu wajuwe kuwa anashutuma za ubakaji
 
Back
Top Bottom