Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Kama hiyo ajali ni ile nliyoshuhudia na kama ni yeye alifariki katika hiyo ajali, hakuna ambaye angeweza kumtambua mda ule hata baada ya 24 hours.

Ajali ilikuwa ni mbaya sana tulishindwa kulitambua gari lenyewe .!
halafu mtu anakuja kusema ajali ichunguzwe kwanini kaungua watu wana matatizo ya akili halafu wanakuja kuandika ujinga humu
 
Gari ilipata ajali
Aligongana na Lory gari yake ikawaka moto
Lory iliungua yote cabin
Hivyo vyote unaweza ukaset kama kwenye movie tu.

Watu wanahoji inakuwaje balozi asafari peke yake tena usiku wa "Maanani"? Inakuwaje Balozi anafariki J4 taarifa zinatoka alhamis? Kwanini serikali haipaerticipate kabisa wameaachia ndugu? Taarifa za gari kuunguza zilitoka J4 zikisema ni mwanammke ila umiliki ni wa Mushi(Balozi) lakini hakuna hata polisi aliyetolea ufafanuzi wala Gerson Msigwa.

Taarifa za kifo chake hazijatoka ila wametoa tetesi tu za ubakaji then baadae tunasikia amefariki? Why zianeze tetesi au ni settings?
 
Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
Ichunguzwe na nani sasa, Interpol?

Ni sawa na kuiambia serikali wakati wa Magufuli kupotea kwa Bensaanane kuchunguzwe, sijui nani angekusikiliza
 
Mission accomplished.
Hivyo vyote unaweza ukaset kama kwenye movie tu.

Watu wanahoji inakuwaje balozi asafari peke yake tena usiku wa "Maanani"? Inakuwaje Balozi anafariki J4 taarifa zinatoka alhamis? Kwanini serikali haipaerticipate kabisa wameaachia ndugu? Taarifa za gari kuunguza zilitoka J4 zikisema ni mwanammke ila umiliki ni wa Mushi(Balozi) lakini hakuna hata polisi aliyetolea ufafanuzi wala Gerson Msigwa.

Taarifa za kifo chake hazijatoka ila wametoa tetesi tu za ubakaji then baadae tunasikia amefariki? Why zianeze tetesi au ni settings?
 
Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
Umechomwa na nani
 
Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
Nani unataka achunguze Sasa. Mfano kama TISS ndo wamemuua unataka wao ndo wajichunguze halafu waseme kwamba walimuua au? Ni sawa na pale mlipokuwa mnasema eti ile assassination attempt kwa lisu eti serikali ichunguze. Hivi polisi wafanye tukio halafu wajichunguze wenyewe! This is very contradictory.
 
Kwanini watu wanahoji eti kwanini aendeshe Crown?
Ingekuwa mkokoteni sawa sasa walitegemea aendeshe nini sielewi kabisa

Watu mnapangia maisha ya mtu mbona Rais masikini duniani alikuwa na vw iliyochoka?
Maisha ya mtu ni yake na mpaka wengine huwa wana double life so what
Tehteh,wakati hizo crown zinatoka dar to Zambia mpaka Congo
Na zinafika

Ova
 
Hivyo vyote unaweza ukaset kama kwenye movie tu.

Watu wanahoji inakuwaje balozi asafari peke yake tena usiku wa "Maanani"? Inakuwaje Balozi anafariki J4 taarifa zinatoka alhamis? Kwanini serikali haipaerticipate kabisa wameaachia ndugu? Taarifa za gari kuunguza zilitoka J4 zikisema ni mwanammke ila umiliki ni wa Mushi(Balozi) lakini hakuna hata polisi aliyetolea ufafanuzi wala Gerson Msigwa.

Taarifa za kifo chake hazijatoka ila wametoa tetesi tu za ubakaji then baadae tunasikia amefariki? Why zianeze tetesi au ni settings?

Mkuu gari ile ilivyopata ajali hatukuweza kujua bu gari gani, kwa moto ule na usiku ule

Hata ndani hatukuweza kujua kulikua na watu wangapi, kwa kifupi nin kuwa ajali ilikua mbaya, ule mwili kama sio ndugu kumtafuta hakuna mtu angejua ni nani
 
Serikali haiwezi kumuua mtu mdogo kama huyu kwa staili hiyo. Kama kauliwa basi obviously lazima itakuwa ni personal issue
 
Mbali na masikitiko ya kifo cha Balozi, inasikitisha zaidi sana kuona mwandishi anadanganya/anachanganya hadharani kuwa Bolozi Mushi alikuwa Balozi wa Tanzania "Australia" na siyo "Austria"
Tatizo Tanzania wengi ni waandika habari na si Wandishi wa Habari.
 
Back
Top Bottom