min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Wazipanue barabara za kuingilia manispaa mbalimbali , kutenga sehemu maalum kwa watembea kwa miguu hasa kwenye free way, alama za barabarani ziboreshwe .Malizia au andika ushauri kwa serikali yetu,,,
Kuwe na Traffic lights kwenye kila makutano ya barabara.
Elimu za sheria za barabarani zitolewe kwa raia na madereva .
Vyombo vibovu vipingwe marufuku hata kunusa pua zao barabarani .
Madereva walevi watengenezewe sheria kali na faini za kutisha.
Boda boda wote wapate mafunzo maalumu ikibidi wapate na vyeti na watumia mihadarati wazibitiwe.
Rushwa zizibitiwe vikali kabisa na abiria watoe ushirikiano kuhusu kuzizibiti ...
Mwisho kabisa abiria wafundishe haki zao wanaponda usafiri wa umma , pia wawe macho kuzibiti uzembe na mwendo kasi wa madereva.