Hawa vijana ni wajinga sana, ni wapambanaji ila uhuni unawaponza.Kweli barabara pana kama ile boda wanagongana!!
Huo ni uzembe uliopitiliza
Inasikitisha, ila bado wanapuuzqa sana sababu ya tabia zao, si ajabu hata defenda ingewapita tu.Hivi kweli hizo gari zinazopita hakuna yenye fire extinguisher au ndo kila mru ajanali mambo yake?
Hiyo ndio dawa yaoHawa vijana ni wajinga sana, ni wapambanaji ila uhuni unawaponza.
Ina huzunisha na kusikitisha yaan mabasi na MAGARI yanapita...Kuzaliwa tz ni michosho sana
Watu hawajui hata kukabiliana na emergency,mwanzo nilidhani ni vijijini huko, sasa hapo misungwi ajali imetokea barabarani magari yamejaa wanazima moto na mchanga na maji kweli? Fire extinguisher kwenye magari ni kuajili ya kuonyesha traffic officers? Mbona magari yapo nilitegemea Kuona mtu anakuja na fire extinguisher
SahihiAjali huwezi kujua itakupata lini au wapi mkuu?
Boda boda anaungua Moto jamaa anarekod duu😡Sema nini kicha wangu umekosea sana huwezi kusema hamna msaada ikiwa uwezekano upo alafu bado tuko nyuma sana watu wapo taabani wanaitaji huduma ya kwanza wewe kukazana kurecord akili huna bado zipo za shamba
Amepona.Dah pole yake, vipi alipona?
Acha uongo.Sasa ona wanaacha familia wake na watoto wadogo katika maisha magumu.
Mwenyezi Mungu tupunguzie Vifo utuongezee Vipato.
lakini inaonekana anayelia ni mwanamke who is likely alikuwa abria masikiniHawa jamaa acha wafe tu michosho sana
Hivi mtembea kwa miguu barabarani anatumia upande wake wa kulia au kushoto?? Upande upi ni wa hatari kwake kulingana na sheria za barabarani?Watanzania wengi hupuuza "Left keeping rule" siyo tu wenye vyombo hata watembea kwa mguu, mimi huwa napiga makofi ninao wamudu.
Matokeo ya haraka, mazoea na kupuuza sheria ndo haya. Barabara nyeupe kabisa watu wanagonganaje uso kwa uso wakati ilipaswa wawe side tofauti kabisa.
Shida ya bodaboda akiwa mzima wanafujo sana wenye haraka muda wote dharau na ujuaji ila wakipata ajari sisi waungwana huruma inatuingia na tunaumia vile vile.
Sasa ona wanaacha familia wake na watoto wadogo katika maisha magumu.
Mwenyezi Mungu tupunguzie Vifo utuongezee Vipato.
Tembea kulia kwako ili uone kinachokuja. Ajabu inaweza kuja bodaboda nyuma yako service road,wrong side akakugonga na akakimbia. Nchi ngumu sana hii.Hivi mtembea kwa miguu barabarani anatumia upande wake wa kulia au kushoto?? Upande upi ni wa hatari kwake kulingana na sheria za barabarani?