AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Watanzania wengi hupuuza "Left keeping rule" siyo tu wenye vyombo hata watembea kwa mguu, mimi huwa napiga makofi ninao wamudu.
Matokeo ya haraka, mazoea na kupuuza sheria ndo haya. Barabara nyeupe kabisa watu wanagonganaje uso kwa uso wakati ilipaswa wawe side tofauti kabisa.
Shida ya bodaboda akiwa mzima wanafujo sana wenye haraka muda wote dharau na ujuaji ila wakipata ajari sisi waungwana huruma inatuingia na tunaumia vile vile.
Sasa ona wanaacha familia wake na watoto wadogo katika maisha magumu.
Mwenyezi Mungu tupunguzie Vifo utuongezee Vipato.
Matokeo ya haraka, mazoea na kupuuza sheria ndo haya. Barabara nyeupe kabisa watu wanagonganaje uso kwa uso wakati ilipaswa wawe side tofauti kabisa.
Shida ya bodaboda akiwa mzima wanafujo sana wenye haraka muda wote dharau na ujuaji ila wakipata ajari sisi waungwana huruma inatuingia na tunaumia vile vile.
Sasa ona wanaacha familia wake na watoto wadogo katika maisha magumu.
Mwenyezi Mungu tupunguzie Vifo utuongezee Vipato.