Ajali ya bodaboda jijini Mwanza

Ni mgawanyo wa kazi....isikuume sana.
Kuna wa kuokoa na kuna waandishi wa habari wa kijitegemea.
Kama asingerekodi tusingepata taarifa.
Linapotokea issue kama hiyo hata kama ni professional reporter unatupa camera unaokoa uhai wa mtu kwanza kisha taarifa utajua jinsi ya kuifikisha.
 
Vijana wengi wa kitz ni wazembe kiakili na kimwili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…