Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa sana piaKuzaliwa tz ni michosho sana
Watu hawajui hata kukabiliana na emergency,mwanzo nilidhani ni vijijini huko, sasa hapo misungwi ajali imetokea barabarani magari yamejaa wanazima moto na mchanga na maji kweli?
Fire extinguisher kwenye magari ni kuajili ya kuonyesha traffic officers? Mbona magari yapo nilitegemea Kuona mtu anakuja na fire extinguisher
Zile huwa,zisha expire mda sana,na ajabu zaidi dereva wengi hawajui kuzitumiaKuzaliwa tz ni michosho sana
Watu hawajui hata kukabiliana na emergency,mwanzo nilidhani ni vijijini huko, sasa hapo misungwi ajali imetokea barabarani magari yamejaa wanazima moto na mchanga na maji kweli?
Fire extinguisher kwenye magari ni kuajili ya kuonyesha traffic officers? Mbona magari yapo nilitegemea Kuona mtu anakuja na fire extinguisher
Una akili finyu sanaHawa jamaa acha wafe tu michosho sana
Ni huzuni ila aliyerekodi kama ni mmoja asamehewe na tujikite kwenye tulichokiona watu wote wale wanaishia kulia lia na kushangaa?Hivi watz sisi aliyeturoga nani? Unapata wapi ujasiri wa kumrecord mwenzio akiwa katika hali hiyo pasina kutoa msaada wowote? Qqqwqmae zenu wote mliorekodi hiyo video.
Hawa jamaa hawana side.Kweli barabara pana kama ile boda wanagongana!!
Huo ni uzembe uliopitiliza
Kuna mwamba hapo anakatiza mbele ya camera anasema"hawezi kupona". Na ndo ukweli, hawezi kutoboa kakaa sana kwenye moto, hapo umepenya hadi ndani (deep burn) na kuharibu kila kitu huko.I mean baada ya kupelekwa hospitali, huoni amekaa muda mrefu na moto mwilini (Deep burn) achilia mbali majeraha aliyopata baada ya kudondoka na hiyo pikipiki? Ndiomana nimeuliza huko hospitali amepona?
Nimesikitika sana!!! Yaani mtu anaungua ana-struggle kutoka kwenye moto mijitu inaongea tu na kurecord badala ya kumtoa kwenye moto!!!!Ila watanzania ni watu wa hovyo sana. Yani limtu limekomaa ku record tu badala ya kutoa msaada linaropoka ropoka tu.
Boss mbona unawaita waTz wenzako watu wa hovyo ilhali na ww ni mTz? halafu pia mtu unamwita limtu kana kwamba hafai au hatoshelezi viwango vya kuwa ni mtu kamili?Ila watanzania ni watu wa hovyo sana. Yani limtu limekomaa ku record tu badala ya kutoa msaada linaropoka ropoka tu.
Shuhuda huyo si unajua wanawake hisia zao ziko karibulakini inaonekana anayelia ni mwanamke who is likely alikuwa abria masikini
Hao jamaa tumeshaongea sana sasa wajifunze kwa majuto kama hayoHii si kauli nzuri wala ya kiungwana usemayo,watanzania wote hatujafikia hatua hii ya kusemana ivyo,Palipo na kosa tunasemezana kiungwana kwa kuelimishana
Mzee barabara pana kama hiyo boda 2 zinagongana sio kichochoro hichoU
Uache ujinga, hayamkuti mamba haya, yanatusubiri watu wa barabarani mimi na wewe.. ajali nyingine unasababishiwa, nyingine hitilafu ya chombo, nyingine uzembe wako dereva, hujui kilichotokea unaropoka tu.