Hayo yote ndio tunaita uzembe wa matumizi ya barabara kwa kifupi hapo Kuna mtu anapaswa kuwajibishwa ingawa najua hatakuwa dreva wa lorry maana sioni kosa lake
Hapo ni hao barrier na coaster
Coaster labda Ina abiria 29, kuilazimisha kusimama bila warning tena na polisi wa serikali inayopaswa kujua "inertia" ina maana gani, ni ujingani tu.