Ndiyo, najua tahadhari ni muhimu mnoo maana gari ikiwa mbele yako ukiikaribia si lazima utakuwa unapunguza speed ili muendane huku ukitafuta chance ya kuovertake au? Unataka kuniambia ukiwa safari ndefu hutakiwi kuwa na tahadhari ya speed kisa gari haijaonesha indicators zozote?