slidewalker
New Member
- May 21, 2009
- 2
- 0
ni kweli lakini tusubiri taarifa zaidi kutoka serikalini kuhusiana na majaaliwa yake,kwani anahamishiwa kwa wataalamu zaidi wa tiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gurudumu likachomoka? really? isijekuwa kuna mtu alilegeza nati za gurudumu kabla ya safari!!!!!
Inasemekana kuwa dereva wake alikuwa akiovateki (akilipita) lori, lakini kwa bahati mbaya akagonga kwenye shimo lililoko barabarani na kulifanya gari lipinduke mara kadhaa!
Naamini Mungu atamponya! AMEEEEEEEEEN!!!!!
Inasemekana kuwa dereva wake alikuwa akiovateki (akilipita) lori, lakini kwa bahati mbaya akagonga kwenye shimo lililoko barabarani na kulifanya gari lipinduke mara kadhaa!
Naamini Mungu atamponya! AMEEEEEEEEEN!!!!!
Pole sana Mpiganaji wetu Mungu anakupenda tunakuombea upone mapema.Mafisadi washindwe na walegee kwa jina la Yesu.Tukigundua sababu ni wao tutajua la kufanya.
...Barabara ile unaijua au unaisikia? kwanza nyembamba...pili kuna mashimo makubwa na madogo ya kushtukiza, tatu sehemu nyingi zimetitia hivyo ni kunesa utadhani uko kwenye bembea.
Miezi michache iliyopita nilipita barabara hiyo. Kwa kweli kipande cha Mafinga-Iringa kilikuwa kibaya na matengenezo yalikuwa yanafanyika sehemu kadhaa.
Pole Dr. Mwakyembe.
Driver wa lorry aliwaruhusu ku overtake akini walipofika katikati akwabana walibidi waingie kwenye shimo na ku overturn. Was it intentional au bahati mbaya???????????????????
Duuhh hii kali.....hawa ma-Guest vipi jamani...hebu wachekini
Currently Active Users Viewing This Thread: 254 (66 members and 188 guests)
mkuu invisible,wengine tu computer twetu ni twa internrt za uchochoroni kariakoo hazina uwezo wa kufungua hizo picha.zitundike moja kwa moja mkuu!ndo wamevuka mataa ya chang'ombe wanaelekea muhimbili.
Picha ni hizi
![]()
dr mwakyembe akifikishwa hospitali ya mkoa wa iringa leo baada ya ajali
![]()
gari la dr mwakyembe likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali
![]()
shimo lililosababisha ajari ya dr mwakyembe