Mwakyembe leo alalamikia ``natural justice``? Mwakyembe? Huyu mwalimu wa wanafiki alimhoji Lowassa?
Hata kama kosa lilifanyika na kamati ya Bunge, Kosa Moja hali halalishi kosa jingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakyembe leo alalamikia ``natural justice``? Mwakyembe? Huyu mwalimu wa wanafiki alimhoji Lowassa?
Kazi kweli kweli, sasa mambo kama haya yanafanya watu wafikirie mbali bila sababu, huyu Kombe anatakiwa ajiuzuru kulinusuru jeshi la Polisi na kurudisha heshima na imani kwa serikali. Kama hajiuzuru basi astaafishwe kwa manufaa ya uma. Vinginevyo makubwa na maajabu yatatokea mwakani, na mauaji ya ajabu yatatokea pasipo sababu muhimu.
Hata kama kosa lilifanyika na kamati ya Bunge, Kosa Moja hali halalishi kosa jingine
Dilunga,Mwakyembe leo alalamikia ``natural justice``? Mwakyembe? Huyu mwalimu wa wanafiki alimhoji Lowassa?
"Polisi si wamesema wanamshitaki dereva? Basi huko ndiko Dr. atakuwa na nafasi kubwa ya kuthibitisha haya aliyoyatoa leo. Kama polisi wamemtungia jambo basi huko pia ataweza kuwabana vizuri."
________________________
Tatu, kama suala hapa ni uelewa wa sheria husika, mwenendo wa upelelezi na wa mashitaka, ni nani katika Kamati hiyo ya Kombe anayeweza akadai kuwa na uelewa mpana na wa kina kunipita?
Inanikumbusha mambo ya waziri mkuu majivuno wa KusadikikaTatu, kama suala hapa ni uelewa wa sheria husika, mwenendo wa upelelezi na wa mashitaka, ni nani katika Kamati hiyo ya Kombe anayeweza akadai kuwa na uelewa mpana na wa kina kunipita?
Dilunga,
Achana na Lowassa. He conveniently disappeared alipopewa taarifa ya kuhojiwa ...
Inanikumbusha mambo ya waziri mkuu majivuno wa Kusadikika "Weusi wa nyweli za mshitakiwa waonyesha kwa kiasi gani hana busara"
Inanikumbusha mambo ya waziri mkuu majivuno wa Kusadikika "Weusi wa nyweli za mshitakiwa waonyesha kwa kiasi gani hana busara"
Tatu, kama suala hapa ni uelewa wa sheria husika, mwenendo wa upelelezi na wa mashitaka, ni nani katika Kamati hiyo ya Kombe anayeweza akadai kuwa na uelewa mpana na wa kina kunipita?
Hivi Mwakyembea mbona muongo hivi huyu Mbunge? Leo anadai alisema toka awali hii ni ajali, na hiki nini:
Hilo tu ndilo uliloliona? Nani amekukataza kujiamini? Sisi wanyaki ndivyo tulivyo kama umepona mshukuru Mungu
Dilunga; Jasusi said:Dilunga,
Hata kama hakuitwa kwenye kamati (for whatever reasons) lakini alikuwa na muda tosha kujitetea bungeni. Ila kilichotokea ni kwamba zile karatasi watu wake wa UWT walizoiba ofisini kwa Spika zilikuwa fake na kwa hiyo hakupata muda wa kujitetea wakati Mwakyembe aliposoma ripoti halisi. Hakuweza kujitetea kwa sababu alijua alichokifanya. Akajiuzulu na rafiki yake akamridhia.
- Shujaa wangu Mwakyembe, achana na haya malumbano lumbano yasiyo na faida,rudi kwenye ku-focus na ishu muhimu za taifa kama zamani ulivyokuwa,
- Hivi nyinyi mlio karibu naye mmegundua kuwa ni muda mrefu sana sasa mafisadi wamemuondoa kwenye focus ya taifa na kumuweka kwenye ulingo wa kuji-defend defend tu all the time kwa muda mrefu sasa, please Mwakyembe next press release au Conf. iwe ya kumkoma nyani waambie likizo imeisha,
- Ninakuombea kwa Mungu upone haraka, lakini please usijibishane tena na mafisadi maana katika miezi sita iliyopita umeruhusu mafisadi kukupangia agenda za kujitetea tetea bila ya ishu muhimu kwa taifa, please wake up DK yanayokutoea sio bahati mbaya wala amri ya Mungu, ni amri ya mafisadi huwa hatupendi ksuema sana, sasa it is about time ukawatandika where it hurts the most kama ulivyofanya bungeni siku ile na kuwakimbiza mafisadi watatu kwa mpigo, that was wasup! Sio hizi blah! blah! na yada! yada!
- Hit them back na ufisadi wao, si kuna mengine hukusema bungeni yamwage sasa unaona faida ya kuwaonea huruma wao hawana huruma hao mafisadi! na sasa hivi you are where they want you to be! yaani on defensive! Wangu ni ushauri wa bure tu!
Mungu Aibariki Tanzania na Akubariki Upone Sasa.
FMES!