Ajali ya Gari kwenye Service Bay

Huwa hakuna kuji-race. Huwa kuna uzembe wa aina fulani. Wakati najifunza kuendesha, nilikosakosa ajali ya aina hiyo. Nilikosea. Badala ya kukanyaga brake, nikakanyaga kwenye moto. Karibu ningonge geti la TCU.
Ni kweli wakati wakujifunza gari..wengi badala ya kukanya breki wanakanyaga mafuta..
Hii niliona live ndugu yangu mmoja alijichanganya akakanyaga mafuta badala ya breki..gari lilipanda matuta kadhaa ya viazi..
 
Gari gani ilikuwa hio
 
Baro baro,
Poleni kwa majanga.

Je ni airbag zote zimefumuka?

Kama ndio nimechungulia ebay kila moja ina bei yake na ukijumlisha unaweza pata kama dola 1200 kwa zote hapo bado transport na kodi....

Kama ina bima kubwa suit claim tu.
 
Ndio shida ya automatic gearbox
 
ndomaana mm huwa nagombana sana na wanaopenda kusimama mbele ya gari kumwelekeza mtu apaki gari kwa mbele. haya mambo mm mwenyew nilishatakaga kuuwa mlinzi wa gereji. nilijichanganya badala ya kuweka breki nikaongeza wese weee! uzuri yule masai aligundua mapema aliskia ule mvumo akala kona fasta ndo ikawa pona yake ila nilifumua ule ukuta wa mbele yangu wote.
 
Hapana ndo nipo comfortable maana toka najifunza automatically ilitokea nikawa natumia miguu miwili, mmoja siwezi kutumia kabisa

Kwenye mazingira ambayo unahitajika kufanya maamuzi ya haraka sana, inaweza kukusababishia ajali.
 
It means gari ilijiresi sana na breki zikagoma?

Au ndo jamaa alipaniki akakosa cha kufanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…