baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,129
- 4,028
Habari zenu wakuu
Jana jioni katika viunga vya Jiji la Arusha , Nilikuwa na jamaa yangu ametoka Dar , sasa kafanya mizunguko yake ya shughuli za kiserikali zilizomleta Arusha , kamaliza jioni nikaamua Nimepeleke pale kituo cha mafuta PANONE -NGARENARO ili amwage oil
Sasa jamaa wa pale Panone akawa anaumelekeza jamaa kuingia sehemu ya Service , ghafla tukasikia puuuuh
1. Gari ilipiga resi ya ajabu na ikagonga ukuta wa service bay
2. Airbag zikafumuka
3. Rejeta ikaaanza kuvuja
4. Bampa la mbele likapasuka
5. Kioo cha Mbele kikapata mpasuko (alama)
7. Engine, Gear box , Taa, Sight mirror hajizulika
Msaada na Maoni
1. Je airbag zinaweza kurudishiwa ?
2. Tatizo ni nini Gari kujipiga resi vile kama amekanyaga mafuta kwa nguvu
Maoni yenu wakuu
Jana jioni katika viunga vya Jiji la Arusha , Nilikuwa na jamaa yangu ametoka Dar , sasa kafanya mizunguko yake ya shughuli za kiserikali zilizomleta Arusha , kamaliza jioni nikaamua Nimepeleke pale kituo cha mafuta PANONE -NGARENARO ili amwage oil
Sasa jamaa wa pale Panone akawa anaumelekeza jamaa kuingia sehemu ya Service , ghafla tukasikia puuuuh
1. Gari ilipiga resi ya ajabu na ikagonga ukuta wa service bay
2. Airbag zikafumuka
3. Rejeta ikaaanza kuvuja
4. Bampa la mbele likapasuka
5. Kioo cha Mbele kikapata mpasuko (alama)
7. Engine, Gear box , Taa, Sight mirror hajizulika
Msaada na Maoni
1. Je airbag zinaweza kurudishiwa ?
2. Tatizo ni nini Gari kujipiga resi vile kama amekanyaga mafuta kwa nguvu
Maoni yenu wakuu