Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hawezi akawapa eneo watu ili wafirane na kusagana dogo acha ujinga na utoto“Lile ni eneo la wayahudi, wamepewa na Mungu wapalestina wamevamia”
Wanashangaza sanaNi mateso makubwa.na Kuna mijitu inashabikia vita.
Hata mtu mmoja kufa sio kweli wengine watakufa kwa presha tu yalile tukio nkHatari sana.lakini sisi ni uzembe wa serikali katika uokoaji.Kamati ya maafa Huwa inatafuna pesa tu Kila mwaka lakini uharaka wa kutekeleza majukumu katika uokoaji ni zero. Hii ajari ya kariakoo hakustahili hata mtu mmoja kufariki.
Angekuwa nao wasinge uawa. Kwa ugaidi wao acha Israeli iwaadabishe.Ghaza kuna hali ngumu sanaaa ila Allah yupo pamoja nao
Ofcourse kuna wale white caps ni waokoaji, but wanazidiwa sababu gaza ni kubwa na uharibifu ni dailyHalafu huko Gaza wanavyoangukiwa na hayo majumba na mabomu wanaokoana wenyewe, hakuna kikosi kazi wala jeshi.
Inaumiza mno!
Ndio uwezo wako wa kufikiria kuwaza na kuhoji umeishia hapa kuna watu inatakiwa kwa comment tu mufutiwe I'd zenu na moderate mnashusha hadhi ya jfKwahiyo tusihoji ya Kariakoo kwa kuwa kule Gaza maghorofa yanadondoshwa mkuu?
Israhell ndio mama baba dada Kaka mfadhili na mlezi mkuu wa magaidi duniani koteAngekuwa nao wasinge uawa. Kwa ugaidi wao acha Israeli iwaadabishe.
MAGAIDI ni waarabu.Israhell ndio mama baba dada Kaka mfadhili na mlezi mkuu wa magaidi duniani kote