Sam Gidori
Senior Member
- Sep 7, 2020
- 165
- 417
... hilo lori/semi urefu wake wote ni fupi kuliko kichwa/engine ya hilo train. Hata liwe fully loaded (50 tons) bado ni jepesi kuliko just single engine ya train. Kila mbabe ana mbabe wake.Lori linaonekanaga kama toy kwenye battle na tren wakat ndio mtemi wa road
... sehemu za makazi lita-fly over.Subiri tuje tujionee hii ya 160Km/h watakuja na mkakati gani wa kuzuia hizi ajali kwenye hayo makutano.
Barriers au flyovers!!!
Kila mtabe ana mtabe wake, hiyo treni yenyewe mtabe wake leli ikatike inamwagika kama mchanga 😀😀Lori linaonekanaga kama toy kwenye battle na tren wakat ndio mtemi wa road
Hapo itakuwa balaa, itasomba mtaa mzima.Subiri tuje tujionee hii ya 160Km/h watakuja na mkakati gani wa kuzuia hizi ajali kwenye hayo makutano.
Barriers au flyovers!!!
50 tons! hiyo lori itatembea ktk barabara gani?... hilo lori/semi urefu wake wote ni fupi kuliko kichwa/engine ya hilo train. Hata liwe fully loaded (50 tons) bado ni jepesi kuliko just single engine ya train. Kila mbabe ana mbabe wake.
Ajali ya Treni imetokea Vingunguti ikihusisha lori lililokuwa limebeba sukari lenye namba za usajili T 278 DQS na treni ya abiria.
- Treni haikuwa na abiria.
Chanzo: Azam TV
View attachment 1691511
... mbona kawaida sana. Unafikiri yale malori ya Dongote yanabeba saruji mifuko mingapi? Yanabeba 1000 bags * 50 kg = 50 tons.50 tons! hiyo lori itatembea ktk barabara gani?
Hapana ila UVCCM walibeba kwa kutumia gari zenye usajili wa STKBavicha hawajaondoka na sukari hapo?
Nadhani barabara zetu mwisho Tani 30... mbona kawaida sana. Unafikiri yale malori ya Dongote yanabeba saruji mifuko mingapi? Yanabeba 1000 bags * 50 kg = 50 tons.