Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
.... Huku wakisindikizwa na Defender zenye usajili wa PT.Hapana ila UVCCM walibeba kwa kutumia gari zenye usajili wa STK
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.... Huku wakisindikizwa na Defender zenye usajili wa PT.Hapana ila UVCCM walibeba kwa kutumia gari zenye usajili wa STK
Tumia akili yako vizuri, hiyo reli inapita juu kutoka City center mpaka Morogoro/ Makutupola? Huko mbele hakuna road crossing the railway?Reli inapita juu kuanzia City Centre hadi Pugu, hakuna kukutana tena
Mkuu bara bara za bongo mwisho 35 tons... mbona kawaida sana. Unafikiri yale malori ya Dongote yanabeba saruji mifuko mingapi? Yanabeba 1000 bags * 50 kg = 50 tons.
Kwan si zitakuwa na fensi, hakunaga njia ya kukatisha kwenye treni ya umeme,ndio maana barabara ya MoRo - Dom ipo juu,na barabara za mitaani zimepita chini ya reli.Subiri tuje tujionee hii ya 160Km/h watakuja na mkakati gani wa kuzuia hizi ajali kwenye hayo makutano.
Barriers au flyovers!
Kwenye mizani wanapopima magari,mwisho huwa tani ngapi ? Kuwa umetenda kosa la kuzidisha uzito?... mbona kawaida sana. Unafikiri yale malori ya Dongote yanabeba saruji mifuko mingapi? Yanabeba 1000 bags * 50 kg = 50 tons.
Shukrani Mkuu japo nimebebewa sana saruji toka Tanga Cement na kampuni ya MASCO - Scania 113E semi zile zikibeba mifuko 1000 (tani 50); hili nina uhakika nalo unless walikuwa wanavunja sheria/kanuni au sheria/kanuni zimebadilishwa hivi karibuni.Mkuu bara bara za bongo mwisho 35 tons
Nimebebewa sana saruji toka Tanga Cement na kampuni ya MASCO - Scania 113E semi zile zikibeba mifuko 1000 (tani 50); hili nina uhakika nalo unless walikuwa wanavunja sheria/kanuni au sheria/kanuni zimebadilishwa hivi karibuni.Kwenye mizani wanapopima magari,mwisho huwa tani ngapi ? Kuwa umetenda kosa la kuzidisha uzito?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tani 50 mara nyingi ni kwenda kwa position mkuu nadhani umeelewaShukrani Mkuu japo nimebebewa sana saruji toka Tanga Cement na kampuni ya MASCO - Scania 113E semi zile zikibeba mifuko 1000 (tani 50); hili nina uhakika nalo unless walikuwa wanavunja sheria/kanuni au sheria/kanuni zimebadilishwa hivi karibuni.
... sijaelewa! Kwenda kwa position ndio nini Chief?Tani 50 mara nyingi ni kwenda kwa position mkuu nadhani umeelewa
Hapo sijui,lakini hakuna barabara ya TZ utapita na tani 50 ukaachwa salama. Lazima upaki pembeni.Nimebebewa sana saruji toka Tanga Cement na kampuni ya MASCO - Scania 113E semi zile zikibeba mifuko 1000 (tani 50); hili nina uhakika nalo unless walikuwa wanavunja sheria/kanuni au sheria/kanuni zimebadilishwa hivi karibuni.
Hakuna hata sehemu moja barabara itakutana na reli. Sehemu zote mojawapo itapita juu au chini.Subiri tuje tujionee hii ya 160Km/h watakuja na mkakati gani wa kuzuia hizi ajali kwenye hayo makutano.
Barriers au flyovers!
Kwa kuwa mamlaka zinahitaji maximum 35 tons zaidi ya hapo pindi unapopima mizani kuna namna inafanyika ndio "position " hiyoo... sijaelewa! Kwenda kwa position ndio nini Chief?
Kila kitu kina mbabe wake!!Lori linaonekanaga kama toy kwenye battle na tren wakat ndio mtemi wa road.
...hadi barabara za vumbi vijini huko zita-flyover?Hakuna hata sehemu moja barabara itakutana na reli. Sehemu zote mojawapo itapita juu au chini.
Hawa madereva wa train Hana uzalendo kabisa. Yaani kaharibu gari la watu kaharibu kichwa cha train. Huyu anatakiwa awekwe ndani.Ajali ya Treni imetokea Vingunguti ikihusisha lori lililokuwa limebeba sukari lenye namba za usajili T 278 DQS na treni ya abiria.
- Treni haikuwa na
Chanzo: Azam TV
sawa sawa... ni net weight ... of course lori zinatofautiana capacity. Zile Fiat za zamani 682 (almaarufu "mbaula") capacity zao ni 600 bags (30 tons); Sacania 113E capacity ni 1000 bags (50 tons). Hizi za wachina akina Howo sina hakika nazo sana. Nimepiga kazi zaidi na hizo mbili nilizo-mention mwanzo.
Hoja ya msingi, 50 tons zitapita barabara gani? JIBU: Zipo gari za capacity hiyo na zinapita barabarani.
Yeah...hadi sehemu ambazo mifugo inapita kuna overpass or underpass...hadi barabara za vumbi vijini huko zita-flyover?
No naona shem yuko hapa anagombania sukari ila dah mbn yuko na khanga moja...Bavicha hawajaondoka na sukari hapo?
Sehemu zenye misongamano kama Buguruni, Vingunguti, n.k. ambapo reli ina-cross panakuwa na washika vibendera kusimamisha magari kama kuna treni inakaribia. Itakuwa huyu wa lori alileta ujuaji. By the way, treni huwa haligongi, always lenyewe ndio huwa linagongwa.Hawa madereva wa train Hana uzalendo kabisa. Yaani kaharibu gari la watu kaharibu kichwa cha train. Huyu anatakiwa awekwe ndani.