Ajali ya lori na treni ya abiria Buguruni

Ajali ya lori na treni ya abiria Buguruni

... mbona kawaida sana. Unafikiri yale malori ya Dongote yanabeba saruji mifuko mingapi? Yanabeba 1000 bags * 50 kg = 50 tons.
Hiyo 50 tons ni gross weight au net weight? maana ninavyojua lori la saruji linapakia 600 bags sawa na 30 tons na hiyo nimeambiwa na dereva kabisa wa lori la saruji hapa wazo twiga cement hata Yale ya mafuta yanapakia 30 to 32 tons.
 
Hiyo 50 tons ni gross weight au net weight? maana ninavyojua lori la saruji linapakia 600 bags sawa na 30 tons na hiyo nimeambiwa na dereva kabisa wa lori la saruji hapa wazo twiga cement hata Yale ya mafuta yanapakia 30 to 32 tons.
... ni net weight ... of course lori zinatofautiana capacity. Zile Fiat za zamani 682 (almaarufu "mbaula") capacity zao ni 600 bags (30 tons); Sacania 113E capacity ni 1000 bags (50 tons). Hizi za wachina akina Howo sina hakika nazo sana. Nimepiga kazi zaidi na hizo mbili nilizo-mention mwanzo.

Hoja ya msingi, 50 tons zitapita barabara gani? JIBU: Zipo gari za capacity hiyo na zinapita barabarani.
 
Nadhani barabara zetu mwisho Tani 30
... labda kama kuna mabadiliko miaka ya hivi karibuni sana. Nimefanya kazi na Fiat 682 saruji mifuko 600 (30 tons) na Scania 113E mifuko 1000 (50 tons). Kama kuna mabadiliko ya kanuni za usafirishaji sawa; I am not aware of that.
 
Yanabeba 600 kiongozi.
Shukrani Mkuu; ila nimepiga sana kazi na Fiat 682 (mifuko 600 - 30 tons) na Scania 113E (mifuko 1000 - 50 tons). Kama kuna mabadiliko ya kanuni za usafirishaji niko tayari kusahihishwa. Ila for real, Scania 113E ndio ilikuwa capacity yake barabarani.
 
Mbona umekuja mbio mbio? Chanzo cha ajali ni kipi?
Na wewe umehoji mbio mbio kama unayemkosoa. Treni imegongana na lori. Halafu unauliza chanzo cha ajali. Unataka kusikia kama treni ilizidisha mwendo au chanzo gani hasa unataka kukijua?
 
Kwenye kivuko cha reli wanapita vipi bila tahadhali au ndiyo viroba vina kuwa vimekolea kichwani!
 
Na wewe umehoji mbio mbio kama unayemkosoa. Treni imegongana na lori. Halafu unauliza chanzo cha ajali. Unataka kusikia kama treni ilizidisha mwendo au chanzo gani hasa unataka kukijua?
Wewe naye umekuja mbio mbio kunihoji bila kutafakari. Treni ina njia yake na lori lina njia yake, vipi vigongane ikiwa kila chombo kina njia yake?.chanzo kilichopelekea patokee huo mgongano ni kipi? Ndicho nataka kujua
 
ndio we unazani linakataje kona
... nachojua linafuata tu reli na penye junction ya reli sio kazi ya dereva kuamua afuate ya upande upi kama ilivyo kwa magari, bali shunting (kubadili njia ya reli) inakuwa imefanywa na ground operators treni "linatiririka" tu kufuata available path.
 
Na wewe umehoji mbio mbio kama unayemkosoa. Treni imegongana na lori. Halafu unauliza chanzo cha ajali. Unataka kusikia kama treni ilizidisha mwendo au chanzo gani hasa unataka kukijua?
Wewe huna hulijuwalo, hapo ni treni ndio imegongwa.

Hakuna sheria yoyote ya treni kugonga gari kwenye njia yake.

Huwezi kuliona treni linakatiza Samora avenue hata siku moja, au ulione treni limepita Mwenge linaelekea Tegeta liende kusababisha ajali, hakuna kitu kama hicho.

Ukiingia kwenye njia ya treni na ukakumbana nalo ni wewe mwenye gari ndio umeligonga treni.
 
Back
Top Bottom