Ajali ya MV Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe bado Mawaziri?

Sijui kwa nini mkuu wa nchi ameamua kutoa political stunts?

Kama angepeleka vifaa vya uokozi mapema kusingekuwa na 'KIKI ZA KISIASA'

Kama angetoa amri kwa waliosema wanasitisha tukio la uokoaji kutokana na GIZA kusingekuwa na 'KIKI ZA KISIASA'
Kupanua mdomo kusema ni rahisi, kwa akili kilema za aina hii, nadhani adhabu ya viboko ingerudishwa kwa mtu mvivu wa kufikiri kama huyu, dakika 20 kwenye maji hata 10 tu kwa asiyefahamu kuogelea ni vigumu awe mzima akiwa ndani ya maji, jinsi kivuko kilivyo hakina vyumba vya kukaa abiria useme maji hayawezi kuingia..kazi waliyokuwa nayo baada ya nusu saa tangu kivuko kipinduke ilikuwa ni kuopoa maiti, kwa nini uhatarishe usalama wa waopozi kufanya kazi usiku ilihali uwezekano wa kupata watu wazima haupo?
 
Sijakuelewa mazuzu kwa namna ipi,kama mtu unashindwa kuongea vizuri basi bora kuwa Mtulivu tu yani bora kunyamaza tu maana sipendagi Matusi hayo ni mawazo yangu nayaheshimu Mwenyewe kadri ya mtazamo Wangu
Yaani umeongea ujinga uliokithiri karne hii na kumbe wajinga hawataisha duniani na hasa Tanzania,acha tuendelee na ujinga.
 
watu hai wangeweza kuokoka usiku ule kama uokozi madhubuti ungeendelea kwa kutumia jeshi na makampuni binafs,nadhani hapa ilitakiwa busara tu ya serikali kuamrisha uokozi uendelee kwa kuweka mazingira wezeshi
Unafikiri sawa sawa kweli?? kama wananchi waliowahi eneo la tukio walianza kuopoa maiti za watu ndani ya dk 20 tangu kivuko kizame, unadhani kulikuwa na watu wa kuokoa hapo...zaidi ya wale 40 waliookolewa na watu dk 10 baada ya kivuko kupinduka hakuna tena aliyeokolewa isipokuwa yule mhandisi alikuwa kwny chemba ya injini ambako maji hayakuweza kufika, busara gani na mazingira wezeshi yapi unayoongelea???
 
Asili ya mwanadamu yeyote ni kwamba anapoongea Pumba na akapokea feedback nzuri kutoka kwa wanao msikiliza kinachofuata hapo ni story za mbwa kala mkate wenye blue band.

Na sijui kwanini janga hili watu wengi wanaliweka kisiasa wakati halina usiasa wowote ule. Serikali aikusababisha kivuko kile kipinduke lakini naona watu mmeona serikali ni ya kutupiwa uchafu wote wa wananchi hata kama serikali haihusiki...!!

Kwanini watanzania tatizo likitokea tuna majumba ya tafuta kwanza wa kumlaumu?
 
Sijui kwanini umeona wanasiasa tu wakati Wataalamu wamefeli sana nashangaa hujawagusa TEMESA,SUMATRA, TPA , ZIMAMOTO NA UKOAJI hizo taasisi zimeonesha udhaifu wa hali ya juu hata aje waziri gani kama hawa technical people ni wabovu hivi hapatakuwa na mabadiliko yoyote. Nenda leo ukalale ukijua hata baada ya maafa huko Ukerewe kuna meli leo Ziwa Tanganyika ime overload na hizo taasisi nilizozitaja hapo juu wana waajiriwa wao huko Kigoma.
 
Yaani umeongea ujinga uliokithiri karne hii na kumbe wajinga hawataisha duniani na hasa Tanzania,acha tuendelee na ujinga.
Hii ni jamii forum,sipo humu kushinda na na mtu Bali kuchangia mawazo yangu na mtu akibisha Basi arumie hoja sio kutoa matusi wanajamii wengine waone haya mdomo ni Mali yako tukana uwezavyo

Marusi yako hayo hayanipunguzii kitu wala huniongezei kitu sana sana nikupe pole sana huenda kwenu ndo huwa wanakutegemea kutoa ushauri,wape pole ndugu zako, kizazi cha ajabu hiki
 
Lakini unajua kuwa anaishia kugain hiyo political stunt kwenye mtandao huku yeye ni looser in total maana vijana wamejikita kwenye siasa wasizofaidika nazo
 
akili yako ipo sawa na huyo aliyepo kwenye picha yako.

Katika yote aliyoeleza zito hapo kuna jambo lolote la uongo? Kuna la kutunga?
Pathetic Tanzanian
 
mkuu huenda serikali ilishaweka kwenye mpango lakini ilivyoenda kwenye kikao cha wabunge wa ccm wakaondoa kwa vile ni jimbo la upinzani kama anavyosema lusinde kila siku . ccm mungu anawaona. yaani kodi mkusanye kote bila kujali vyama halafu kutumia msipeleke kote.
 

Utetezi wa kijinga sana, serekali inakusanya nauli ya abiria zaidi ya 101 wanaopaswa kuwepo chomboni, ww unasema Zitto anapigania tumbo lake!?
 
Nashukuru wananchi tumeanza kulitambua hili. Jamaa anafanya kila awezalo akamatwe.
Alafu pia inafurahisha anadai uhuru wa kujieleza umebanwa.
serikali ikimkamata nitashangaa sana. hoja za wanasiasa hazijibiwi kwa kukamatwa zinajibiwa kwa hoja. polis washughulike na uhalifu uliodhahiri na sio kukamata wapinzani wa ccm.
 
Hakuna hoja ya msingi

Nahodha kamkabidhi Chombo day worker Waziri anahusikaje?
Hata Yeye Zitto Basi angejiuzulu Kwa Matokeo ya chama chake 2015

Ina maana waziri alikuwa hajui kivuko kilikuwa kinakusanya pato kubwa kuliko abiria 101 per trip? Hivi serekali inaona kabisa hela inaongia nyingi kuliko inavyopaswa haijiulizi tu na kuchukus hatua? Hapa serekali inachomokaje kwa mfano?
 
Wanapata mapato makubwa kuliko ukubwa wa kivuko miaka yote wapo kimya imetokea ajali eti serikali nayo inastuka ni waongo wakubwa Mungu anawaona kwa mnayotenda,Mbunge kaongea mbele ya Spika,Waziri Mkuu,Waziri wa mambo ya ndani wote hawakuchukua hatua leo mnajifanya kusikitika nasi wakati ninyi ndio mngeweza kuzuia kwa kupeleka kivuko kipya au kufanya matengenezo ya ukweli sio kupitisha tuu...
 
Hii ni personal attack akili mufilisi .badala ya kujadili hoja iliyo tolewa na Zito .hivi mtu utakufa ukijibu hoja kwa hoja !!?? Yaani sijui shetani gani katujazia ghafla malembukeni tz [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Moto watu waliokolewa mapema ataa waliokufa ni uzembe wao .na pili kuzidisha abiria wizi mkubwa na mbaya zaidi meli ya serikali inafananaje na moto !!???
 
Wewe umebuni nn au ni understanding 17
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…