Ajali ya MV Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe bado Mawaziri?

Ajali ya MV Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe bado Mawaziri?

Mwenyezi Mungu ndiye atamchagulia cha kumfanya yule kiumbe.......ila kiukweli zoezi la uokoaji lina mapungufu mengi mno.Siku serikali itapokuja kukubali makosa yao na mapungufu yao hadharani na kuyafanyia kazi au hata kuonyesha mwanga kama hawana uwezo kwa muda huo,hiyo ndio itakuwa mwisho wa upinzani au watapunguza sana ukali wa upinzani.....Ila kama wataendelea kuficha ficha mambo ambayo hayaitaji usiri wowote lazma tuwe na shaka nao sana.....UNAWEZA UKAWA UNAKULA CHAKULA GIZANI KILA SIKU NA KUIDHULUMU FAMILIA YAKO HASA WATOTO ILA IPO SIKU YATAKUKUTA YA KUKABWA NA MWIBA WA SAMAKI USIKU WA MANANE TENA GIZA,NA HAPO NYUMBANI UNAWAGENI WAKWE NA WAJOMBA ZAKO....
 
ulifanya nini kudhibiti ajali isitokee mbona unakimbilia kufungua account,jiandae kutumbuliwa hamna jinsi

1537710382187.png
 
Watu wasiojulikana watakua wanamnyemelea.
Mwambieni awe makini
 
Tatizo malengo ya ufunguzi wa hizo acc hauendani na wayayofanya wakishapata hizo pesa.
 
Back
Top Bottom