Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyezi Mungu ndiye atamchagulia cha kumfanya yule kiumbe.......ila kiukweli zoezi la uokoaji lina mapungufu mengi mno.Siku serikali itapokuja kukubali makosa yao na mapungufu yao hadharani na kuyafanyia kazi au hata kuonyesha mwanga kama hawana uwezo kwa muda huo,hiyo ndio itakuwa mwisho wa upinzani au watapunguza sana ukali wa upinzani.....Ila kama wataendelea kuficha ficha mambo ambayo hayaitaji usiri wowote lazma tuwe na shaka nao sana.....UNAWEZA UKAWA UNAKULA CHAKULA GIZANI KILA SIKU NA KUIDHULUMU FAMILIA YAKO HASA WATOTO ILA IPO SIKU YATAKUKUTA YA KUKABWA NA MWIBA WA SAMAKI USIKU WA MANANE TENA GIZA,NA HAPO NYUMBANI UNAWAGENI WAKWE NA WAJOMBA ZAKO....uwezo
Alisema baada ya masaa 24 kuanzia siku ile asilaumiwe maana yake inaweza kuwa siku 2,mwezi,miez nk....na sio "ndani ya masaa 24 siku ile"Zitto amefel Sana tokea pale alipompa Musiba masaa 24 na bado nothing happened
2020 atarudi kulima Mawese. Mark my words!Zitto amefel Sana tokea pale alipompa Musiba masaa 24 na bado nothing happened
Urafiki wako na musiba utakuja kukuponzaZitto amefel Sana tokea pale alipompa Musiba masaa 24 na bado nothing happened
Kisha wewe kipato chako kitaongezeka kwenye familia yako?2020 atarudi kulima Mawese. Mark my words!
Kwani hayo matusi yake kwa Rais yanamuongezea kipato huyo ZZK? Nimetumia uhuru wangu wa maoni dont panic.Kisha wewe wewe kipato chako kitaongezeka kwenye familia yako?