Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Zitto, you are doing a great job!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe bado ni mbunge wakati Halmashauri yako mwaka huu ilipata hati chafu??Ajali ya Mv Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe Bado mawaziri?
Ni masikitiko makubwa kwamba, Serikali ya wanyonge imeokoa mtu mmoja, wakati wananchi wenyewe wameweza kuokoa watu 40..... hii ni aibu kubwa sana. Watu 225 wamepoteza maisha sababu ya uzembe.
Tuache kujidanganya na mapenzi ya Mungu. Mungu katupa akili, namna ya kuzitumia ni sisi wenyewe. Huwezi kupata Habari ya ajali saa nane mchana halafu ukaitisha Kamati ya Usalama mkoa saa 11 jioni ( yaani mwendo wa Dreamliner Dar-Mwanza mara 4 ). Rais naye hakuitisha Cabinet ya dharura wala Baraza la Ulinzi na Usalama Taifa kuratibu uokoaji. Uokoaji unasitishwa sababu ya GIZA? Tukihoji mnasema tunaleta Siasa? Nonsense!
Kwa nchi zilizoendelea Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Waziri wa Ujenzi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu walitakiwa wawe wamekwishafutwa kazi au wamejiuzulu wenyewe.
Miaka 57 baada ya uhuru...Jeshi la uokozi linapoishia kuwa jeshi la UOPOZI, ni wakati wa rafiki nyangu Kangi Lugola kupumzika. Waziri Kamwelwe, Jenista na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wanapaswa kufukuzwa kazi mara moja. Bahati mbaya sana Rais amechoka na hivyo hajali tena. Wazembe Ndio wameongoza mazishi ya ndugu zetu leo.
kwa hiyo mm kama ni mwalimu na ww ni daktari wote tumeajiriwa na serikali. tuseme mm sikufundisha vizur, wanafunz wakifeli mtihani tutalaumiwa wote mimi na wewe kwa kuwa tunatumia kodi za wananchi?Hakuna hoja fikirishi hapa zaidi ya kutugeuza sisi wajinga, Huyu "Mpelesi" ni Mbunge, Kiongozi kila kitu anachofanya ni kwa Kodi yetu hata hii posti aliyotuma ametumia Kodi zetu, narudia Zitto ni Kiongozi Kama walivyo hao anaowataka wajiuzuru, ni ujinga kutuaminisha eti they are not part of this simply because they are from opposition, ukweli unabaki wote ni viongozi, Kama ni serikali imekwama yeye hawezi kujiondoa, unless otherwise aje hapa atueleze kwanini analipwa mshahara na Serikali!
Wakikusikia wazee wa KigomaNaona zitto unataka wakulissu.
Maana mwenzako alikua na kiherehere Kama chako.
Ngoja tutazame mwisho wako utakuaje maana hutulii
Heri kufa na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizokufa.Naona zitto unataka wakulissu.
Maana mwenzako alikua na kiherehere Kama chako.
Ngoja tutazame mwisho wako utakuaje maana hutulii
It is real pain!
Acha ujinga wewe.Zitto amefel Sana tokea pale alipompa Musiba masaa 24 na bado nothing happened