Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu miaka 20 sasa (1998-mv bukoba), na zingine nyingi hapa kati tuendelee kupeana tu pole bila kuambiana ukweli?. Lazima tuache ujinga wa kujisifia kuwa tuna uwezo wakati vitu vya msingi kama uhai wa RAIA wetu ni shida!1, Na swali ile ajari ya Moto iliyotokea kwenye ile nnchi ya ulaya mawazili walijiuzuru? Au mamlaka husika inayosimamia?
2, Jitaidi utumie ujana wako kama kweli unawapenda Watanzania vijana waweze kupata fursa za ajira au buni kitu cha msingi umekaa attention mda wote kukosoa ni sawa na unajikita kutafuta mabaya ya mwenzio kwa staili hii tutafika? Ndo maana wabongo wamtoendelea
3, waliosababisha ajali ni Mawazili? au mamlaka husika ndo washughulikiwe?Aseee kuwa Makini
Hizo ni siasa tu,hamna kitu
Ona hizi akili, kwahiyo Kama vijana wenzake wakifanya upuuzi na yeye afanye upuuzi!Na vijana wa rika lake waliopo serikalini wanajaza matumbo yao huku wanyonge wakiangamia na kufa maji, Bora yeye angalau anaona mbali kuliko hayo ambayo hata kushughulisha ubongo imekuwa ngumu.. ...Usitishe uokoaji kisa Giza . . .haiingii akilini, vuta picha angekwepo mama ake, au ndugu yake jee angesema tukalale paka kesho kukiwa na mwanga
Pongezi ziwaendee wale wavuvi. Wamefanya kazi kubwa sana. Mitumbwi ya wavuvi ndio ilikuwa mingi eneo la tukio kuliko boti za jeshi letu la NAVY.
Huenda ni kiashiria kwenye mipaka ya maji kiulinzi hatuko vizuri
Unafikiri jeshi huwa linaenda tuu kufanya shughuli hizo za uokoaji, kuna taratibu zake kakaPongezi ziwaendee wale wavuvi. Wamefanya kazi kubwa sana. Mitumbwi ya wavuvi ndio ilikuwa mingi eneo la tukio kuliko boti za jeshi letu la NAVY.
Huenda ni kiashiria kwenye mipaka ya maji kiulinzi hatuko vizuri
Nasikitika sana kiongozi mkubwa kama wewe huna ufahamu jinsi gani Kamati za maafa zinavyofanya kazi au labda unaenjoy kukashifu Serikali na kuichonganisha Serikali na wananchi.Ajali ya Mv Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe Bado mawaziri?
Ni masikitiko makubwa kwamba, Serikali ya wanyonge imeokoa mtu mmoja, wakati wananchi wenyewe wameweza kuokoa watu 40..... hii ni aibu kubwa sana. Watu 225 wamepoteza maisha sababu ya uzembe.
Tuache kujidanganya na mapenzi ya Mungu. Mungu katupa akili, namna ya kuzitumia ni sisi wenyewe. Huwezi kupata Habari ya ajali saa nane mchana halafu ukaitisha Kamati ya Usalama mkoa saa 11 jioni ( yaani mwendo wa Dreamliner Dar-Mwanza mara 4 ). Rais naye hakuitisha Cabinet ya dharura wala Baraza la Ulinzi na Usalama Taifa kuratibu uokoaji. Uokoaji unasitishwa sababu ya GIZA? Tukihoji mnasema tunaleta Siasa? Nonsense!
Kwa nchi zilizoendelea Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Waziri wa Ujenzi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu walitakiwa wawe wamekwishafutwa kazi au wamejiuzulu wenyewe.
Miaka 57 baada ya uhuru...Jeshi la uokozi linapoishia kuwa jeshi la UOPOZI, ni wakati wa rafiki nyangu Kangi Lugola kupumzika. Waziri Kamwelwe, Jenista na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wanapaswa kufukuzwa kazi mara moja. Bahati mbaya sana Rais amechoka na hivyo hajali tena. Wazembe Ndio wameongoza mazishi ya ndugu zetu leo.
Ngoja tununue dreamliner kwanza hizo amphibious msubiri kidogoMpaka sasa sijaona hata zile Amphibious Boats wanazotumia wenzetu kwenye majanga kama haya, inawezekana hatujawa na uwezo wa kuzinunua?
Dont attack personality.Hakuna hoja ya msingi
Nahodha kamkabidhi Chombo day worker Waziri anahusikaje?
Hata Yeye Zitto Basi angejiuzulu Kwa Matokeo ya chama chake 2015
Dont attack personality.
Discuss the topic. ZITTO YUPO SAHIHI KABISA. VERY CRITICAL.
Lakini ana hoja ya msingi! Huko Ulaya unapozungumzia wewe ingetokea ajali kama hii alafu watu wamekufa kizembe hivi sidhani kama kungekalika.Hakuna wa kumzuru huyu, lakini anachokifanya ni kutumia huu msiba kuiprovoke Serikali ili aakamatwe and it is for his own gain, political stunts, and nothing else, vijana wa umri wake Europe wapo busy kubuni vitu vya msingi kwa ajiri ya Nchi zao, yeye yupo busy kuitumia elimu yake na akili yake kupigania Maslahi ya tumbo lake!
Mfano wako ni wa kijinga Sana, Zitto Kabwe ni Kiongozi wa Serikali Kama hao anaowataka wajiuzuru, aanze yeye kujiuzuru kwa sababu Kama serikali imefeli kwa Hili na yeye ni sehemu ya serikali, Zitto no Kiongozi kwenye level ya decision makers Hana tofauti na hao anaotaka wajiuzuru!kwa hiyo mm kama ni mwalimu na ww ni daktari wote tumeajiriwa na serikali. tuseme mm sikufundisha vizur, wanafunz wakifeli mtihani tutalaumiwa wote mimi na wewe kwa kuwa tunatumia kodi za wananchi?
Ajali ya Mv Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe Bado mawaziri?
Ni masikitiko makubwa kwamba, Serikali ya wanyonge imeokoa mtu mmoja, wakati wananchi wenyewe wameweza kuokoa watu 40..... hii ni aibu kubwa sana. Watu 225 wamepoteza maisha sababu ya uzembe.
Tuache kujidanganya na mapenzi ya Mungu. Mungu katupa akili, namna ya kuzitumia ni sisi wenyewe. Huwezi kupata Habari ya ajali saa nane mchana halafu ukaitisha Kamati ya Usalama mkoa saa 11 jioni ( yaani mwendo wa Dreamliner Dar-Mwanza mara 4 ). Rais naye hakuitisha Cabinet ya dharura wala Baraza la Ulinzi na Usalama Taifa kuratibu uokoaji. Uokoaji unasitishwa sababu ya GIZA? Tukihoji mnasema tunaleta Siasa? Nonsense!
Kwa nchi zilizoendelea Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Waziri wa Ujenzi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu walitakiwa wawe wamekwishafutwa kazi au wamejiuzulu wenyewe.
Miaka 57 baada ya uhuru...Jeshi la uokozi linapoishia kuwa jeshi la UOPOZI, ni wakati wa rafiki nyangu Kangi Lugola kupumzika. Waziri Kamwelwe, Jenista na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wanapaswa kufukuzwa kazi mara moja. Bahati mbaya sana Rais amechoka na hivyo hajali tena. Wazembe Ndio wameongoza mazishi ya ndugu zetu leo.
Hakuna wa kumzuru huyu, lakini anachokifanya ni kutumia huu msiba kuiprovoke Serikali ili aakamatwe and it is for his own gain, political stunts, and nothing else, vijana wa umri wake Europe wapo busy kubuni vitu vya msingi kwa ajiri ya Nchi zao, yeye yupo busy kuitumia elimu yake na akili yake kupigania Maslahi ya tumbo lake!