Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Thubuuutuuuu hawamuwezi huyo
Mkuu nakuonea huruma
Maana jamaa hawana huruma
Naona umechoka kula migebuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nakuonea huruma
Maana jamaa hawana huruma
Naona umechoka kula migebuka
Mbunge ni mjumbe katika vikao na kamati za halmashauri hana mamlaka yeyote ya kiutendaji.Na wewe bado ni mbunge wakati Halmashauri yako mwaka huu ilipata hati chafu??
Zitto yupo serikalini mwaka wa 12 sasa, Kama anadhani hao wanapaswa kuwajibika ajue na yeye hamna namna anaweza kukwepa, wasifanye sisi wajinga, awe opposition awe wapi, he is a Leader na anapaswa pia kuwajibika kwa matatizo ya Nchi hi, asijifiche kwenye kivuli Cha upinzani!Wewe ulitaka asifie tu?kwanini msiheshimu mawazo yanayokinzana na mawazo yenu?
This is nonsense
[emoji23][emoji23][emoji23]Uma na kupuliza View attachment 875562
Rais huyu huyu wa ibara ileee
Mengine yote yanakubalika lakini hoja ya kusitisha zoezi la uokoaji kwa kigezo cha kutokuwepo taa ni nyepesi mnoooo...
........Jenista hawezi kutumbuliwa ni binamu wa bi Kisarawe
Katika alichosema hapo uongo uko wapi? Mbona neno kukamatwa siku hizi mmeliweka kama ndio kinga yenu kuficha uzembe?Hakuna wa kumzuru huyu, lakini anachokifanya ni kutumia huu msiba kuiprovoke Serikali ili aakamatwe and it is for his own gain, political stunts, and nothing else, vijana wa umri wake Europe wapo busy kubuni vitu vya msingi kwa ajiri ya Nchi zao, yeye yupo busy kuitumia elimu yake na akili yake kupigania Maslahi ya tumbo lake!
Uchaguzi mkuu 2015, ACT mbunge mmoja. Zitto bado kiongozi tu?
.....Zitto ana hoja ya msingi. sidhani kama hawa mawairi watajiuzulu. naona kangi anahangaika kunyamazisha wanaokosoa juu ya ajali hii.
Masa 24 yalikuwa ya kuomba radhi siyo ya reactionZitto amefel Sana tokea pale alipompa Musiba masaa 24 na bado nothing happened
Naona mmeamua kupinga kollabo, hayo aliyoyaandika Zitto yalitakiwa yasemwe na raia wa kawaida ila siyo yeye, Zitto ni Kiongozi hapaswi kujiondoa au kutaka asiwe sehemu ya matatizo yanayoikabili Nchi hi, sasa anapowahadaa Mbulula Kama wewe eti viongozi wenzake wajiuzuru huu ndo ujinga Mimi nisiokubaliana nao, Zitto ni Kiongozi, ndiyo maana anahudumiwa na Kodi za Watanzania, sisi kwa sababu ana sura ya mabakamabaka, Bali kwakuwa watanzania Wanataka awasaidie kutatua matatatizo yao na si kupinga tu Domo!Katika alichosema hapo uongo uko wapi? Mbona neno kukamatwa siku hizi mmeliweka kama ndio kinga yenu kuficha uzembe?
Badala ya kujibu hoja unaleta mzaha kwenye maisha ya WatanzaniaNa wewe bado ni mbunge wakati Halmashauri yako mwaka huu ilipata hati chafu??
Mkuu wa kituo cha polisi Shinyanga alipo weka watu wengi lockup wakakosa hewa na kufa na Waziri Ali Hassan Mwinyi akajiuzulu kwani alikuwepo Shinyanga?Hakuna hoja ya msingi
Nahodha kamkabidhi Chombo day worker Waziri anahusikaje?
Hata Yeye Zitto Basi angejiuzulu Kwa Matokeo ya chama chake 2015
Wewe umejibu hoja gani hapa sasa??Badala ya kujibu hoja unaleta mzaha kwenye maisha ya Watanzania