Ajali ya MV Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe bado Mawaziri?

Ajali ya MV Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe bado Mawaziri?

Hakuna wa kumzuru huyu, lakini anachokifanya ni kutumia huu msiba kuiprovoke Serikali ili aakamatwe and it is for his own gain, political stunts, and nothing else, vijana wa umri wake Europe wapo busy kubuni vitu vya msingi kwa ajiri ya Nchi zao, yeye yupo busy kuitumia elimu yake na akili yake kupigania Maslahi ya tumbo lake!
Na vijana wa rika lake waliopo serikalini wanajaza matumbo yao huku wanyonge wakiangamia na kufa maji, Bora yeye angalau anaona mbali kuliko hayo ambayo hata kushughulisha ubongo imekuwa ngumu.. ...Usitishe uokoaji kisa Giza . . .haiingii akilini, vuta picha angekwepo mama ake, au ndugu yake jee angesema tukalale paka kesho kukiwa na mwanga
 
Nchi ya kusahau hii

Watu walikula lambi lambi mara mbili leo tena tuchangie

Halafu wabongo wataenda kujipanga tena kuchangia

Zipigwe na mkuu wa mkoa na vitengo hewa vya maafa.

Nchi ya kusahau na kupotezea sensitive issues

this is Nonsense.
 
Kinachonishangaza wakati wa maadhimisho ya sikukuu za kitaifa askari wetu huwa wanakuwa na maonyesho ya "Show of Force" kiasi sisi wanyonge huwa tunakuwa na imani kuwa janga lolote likitokea "we are safe"!
Show off zenyewe za kubamizana mibao ya migongo na kuvuta malori. Hovyo tu.
 
Unachokisema Zitto hata mi nimekiwaza hivi inakuja akilini kweli ajali itokee saa 8 harafu nyie muende kuokoa watu saa 11 mnashindwa kumtoa mtu yeyote aliye hai ndani ya masaa 2 mnaondoka sababu ya giza? Nimewaza tu leo nikawaambia jamaa zangu kundini hii nchi hasa sisi tunaoishi huku ziwani tutakuja kuisha
 
Hawana lolote hawa ni wa kulinda viongozi na sio raia ndio maana wakimaliza chaguzi wanaenda nengua na wanasiasa lakini usiwategemee wataokoa raia.
Kinachonishangaza wakati wa maadhimisho ya sikukuu za kitaifa askari wetu huwa wanakuwa na maonyesho ya "Show of Force" kiasi sisi wanyonge huwa tunakuwa na imani kuwa janga lolote likitokea "we are safe"!
 
Hakuna wa kumzuru huyu, lakini anachokifanya ni kutumia huu msiba kuiprovoke Serikali ili aakamatwe and it is for his own gain, political stunts, and nothing else, vijana wa umri wake Europe wapo busy kubuni vitu vya msingi kwa ajiri ya Nchi zao, yeye yupo busy kuitumia elimu yake na akili yake kupigania Maslahi ya tumbo lake!
Umeona eeeh!,comment yako ni bora kabisa siku ya leo kwangu,you made my day
 
Hakuna hoja fikirishi hapa zaidi ya kutugeuza sisi wajinga, Huyu "Mpelesi" ni Mbunge, Kiongozi kila kitu anachofanya ni kwa Kodi yetu hata hii posti aliyotuma ametumia Kodi zetu, narudia Zitto ni Kiongozi Kama walivyo hao anaowataka wajiuzuru, ni ujinga kutuaminisha eti they are not part of this simply because they are from opposition, ukweli unabaki wote ni viongozi, Kama ni serikali imekwama yeye hawezi kujiondoa, unless otherwise aje hapa atueleze kwanini analipwa mshahara na Serikali!
Tuko pamoja sana mkuu
 
Rais kaambulia kuvunja bodi ya TEMESA tu anasubiria michango ya wadau ajenge ukuta na zikibaki utasikia anasema walizitumia kunyanyulia kivuko
 
1, Na swali ile ajari ya Moto iliyotokea kwenye ile nnchi ya ulaya mawazili walijiuzuru? Au mamlaka husika inayosimamia?
2, Jitaidi utumie ujana wako kama kweli unawapenda Watanzania vijana waweze kupata fursa za ajira au buni kitu cha msingi umekaa attention mda wote kukosoa ni sawa na unajikita kutafuta mabaya ya mwenzio kwa staili hii tutafika? Ndo maana wabongo wamtoendelea
3, waliosababisha ajali ni Mawazili? au mamlaka husika ndo washughulikiwe?Aseee kuwa Makini
Hizo ni siasa tu,hamna kitu
Safi sana
 
Huju
It is real pain!
Kivuko kimezama, watu wamefunikwa ndani, hakuna haraka yeyote as if waliofunikwa ni samaki wanao uwezo wa kupumua ndani ya maji!!

Watu wakisema, wanaita kiki za kisiasa.
Hujui chochote, shutup your hallucinations. Kivuko ni kama bakuli, likimwaga wote mnamwagika. Kasoro walioko chooni . usitegemee kuokoa walionasa . Plan kuokoa wanao tapatapa ziwani.
 
Wakati wakiendelea kumshambulia, dakika kama 3 zilizopita, Zitto kawapa ukweli watawala na kawatuhumu kwa uzembe kuanzia mkulu na wasaiidi wake wote wanaohusika.

Kaanza kumlaunu RC kwa kuitisha kikao cha kamati ya ulinzi na usalama saa 11 jioni huku ajali imetokea saa nane kamili mchana.

Pia, kamlaumu mkulu kwa kutoitisha kikao cha dharura cha ulinzi na usalama kuhusiana na tukio hilo.

Kataja na orodha ya mawaziri wanaopaswa kufukuzwa mpaka sasa.

Zitto hakuishia hapo tu, bali ameishangaa serikali kwa kuokoa mtu mmoja huku wananchi wakiokoa watu arobaini.

Kwa hakika Zitto harudi nyuma.

Kazi mnayo.

Chanzo:Ukurasa wake wa facebook.
Anawasumbua sana.
 
Uma na kupuliza
20180923_154451.jpeg

Rais huyu huyu wa ibara ileee
 
Zitto ametoa changamoto,wewe unamrukia,jibu hoja
Changamoto ipi aliyotoa?,ni kashifa tu na ujuaji,kama kila tukio watu wajiuzuru mbona yeye 2015 akiwa mkuu wa ACT alifanya kampeni nchi nzima akaambulia mbunge mmoja ambaye ni yeye ,kwa nini hakujiuzuru kwa matokeo hayo?
 
Nyinyi ndio mnatakiwa kunyongwa hadi kufa.
Sijui watu kama nyinyi mmeachiwa pumzi ya nini!
Wapi zito kamtukana huyo magunyofo wako?Eleza ni wapi sitaki povu.
Sasa hutaki povu wakati wewe mwenyewe sabuni imekujaa mdomoni.. tukutane 2020.
 
Back
Top Bottom