Ajali ya Mwendokasi yaua eneo la Urafiki

sitaisahau siku ile mchana wa saa saba maeneo ya BIAFRA KINONDONI. Niliposhuhudia BODABODA akipora uhai wa mama lishe aliyekuwa amebeba jagi la juice katikakati ya barabara ya mwendo kasi na kisha akakimbia
 
Kuuwa bila kukusudia (ajali).
 
Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri
Mstari huu tu na mimi nikawaza kama wewe Mungu atuvushe salama, Mbagala asee , subahan Allah

Ingawa kuna watu hawazingatii sheria kama taa lakini madereva wa mwendo kasi hawa fare driving
 
Wenye magari wengi kwa Sasa ni fahari kwao kusimulia namna wanawagonga boda boda na kuwasababishia madhara😥
Yani shida tupu hata wenye bodaboda nao hujivuna kwa wanyonge wao (pedestrians)
 
Mstari huu tu na mimi nikawaza kama wewe Mungu atuvushe salama, Mbagala asee , subahan Allah

Ingawa kuna watu hawazingatii sheria kama taa lakini madereva wa mwendo kasi hawa fare driving
Kwanini Mbagala?
 
Kwanza kabisa natoa pole kwa waliofikwa na msiba huu wa mpendwa wao, ila shida ni moja taa ya kijani inaweza kuwa imewaka kuruhusu magari mfano taa za yrafiki hapo then hapo usawa wa kilimanjaro bus watu wanavuka bila kuchukua taadhari kuwa taa zimeruhusu magari kupita likitokea la kutokea lawama kwa madereva japokuwa siwatetei sana maana nao kwa kuvunja sheria hawajambo ila watumiaji wote wa barabara tukizingatia sheria tutapunguza haya madhara na hata vifo.
 
Kwanini Mbagala?
Geography ilivyo watu wengi kuvuka Yani Mbagala hasa rangi 3 inataka kufanana na kariakoo, changamoto ni kuwa Mbagala ni makazi hivyo wanaovuka ikiwemo watoto ni wengi
 
Uzio wa nini? Watu wanapita kwenye flyover hapa Ubungo wakitokea University Rd waamie upande wa pili na kuna uzio. Tunahitaji elimu na kustaarabika tu.
Tena waling'oa hapo, kama buguruni wanavopita katikati ya vile vyuma
 
Geography ilivyo watu wengi kuvuka Yani Mbagala hasa rangi 3 inataka kufanana na kariakoo, changamoto ni kuwa Mbagala ni makazi hivyo wanaovuka ikiwemo watoto ni wengi
Ruti Mbagala sehemu yenye watu wengi ndio hio rangi tatu na ni mwisho wa ruti hivyo hayo mabasi hayatakuwa na speed kubwa. Kuanzia Gerezani,Kivukoni mpaka Saba saba hakuna watu wa kuvuka barabarani isipokuwa wachache sana ni maeneo ya viwanda. Kuanzia kwa Azizi Ali ndio kuko busy na hapakaribii Rangi Tatu. Ila hio njia ya Kimara kuanzia Mbezi hadi Fire kuko busy watu wengi sana wanavuka hio barabara. Kwa kifupi hio ya Kimara ni hatari kuliko ya Mbagala.
 
Unakuta raia anajiamni kabisa anasimama kwenye kingo za vitofali vinavyotofautisha mwendo kasi na barabara ya kawaida kitu ambacho ni hatari sana
 
Kwanini isitolewe elimu tu badala ya kuingia gharama ya kutengeneza vituko.

Hivi maeneo kama Makongo kuna uzio kwenye bustani?, mbona watu wana adabu. Au huku kwingine ni kiburi, ujuaji na mazoea.
Mifumo na mamlaka vimepigwa na stroke
 
Umeandika vyema sana mkuu.
Hakaka mwenye kuelewa na aelewe
 
Dogo mwenyewe huyu bado ni Kijana mdogo alikua anapambana na duka lake la vifaa vya mabasi haya ya mikoani pale BM inasikitisha taifa likipoteza nguvukazi kama hii inayoanza kuibukia
 

Attachments

  • Screenshot_20240611-230332_WhatsAppBusiness.jpg
    570.5 KB · Views: 2
Hata mwendokasi ya Gongo la mboto itakapoanza itakua vilio na kusaga meno maana Raia hawachukui tahadhali ni kuvuka vuka tu kwa haraka ya kukimbilia magari
Maendeleo yana gharama zake! Elimu itolewe kwa mapana zaidi!!
 
NI kweli hata sisi tulipita pale tukiwa ndani ya bajaji tukaona umati wa watu na mwili ukiwa umelala pale!
Mungu atusaidie! Siku ya kufa ni kama mtego tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…