Ajali ya Mwendokasi yaua eneo la Urafiki

Ajali ya Mwendokasi yaua eneo la Urafiki

Wanasema wamezoea magari.Wanachoogopa Dar es salaam ni panyaroad na mvua tu.Magari wao Wala hawajali.Jana Pugu Kona Lori ilitaka kupitia na Boda Boda ikiwa na abiria nyuma Tena ni mwanamke.
Pale Pugu Kona napo pana hatari. Ule mlima na malori ya mchanga yanayotokea na kwenda Chanika-Homboza
 
Kuna siku ñimetoroka chuo mkoani nikaenda dar kufika ubungo nikaona na ushamba wangu nikipanda gari kwenda kariakoo naeza potea nikaona option rahis nipande boda ile tume tembea tembea jamaa akachomekea kwe barabara ya mwendo kasi ile ata mita mia azijaisha nageuka nyuma naona dubwana hili apa....
Bwana wee niliishiwa nguvu ile namshtua boda mzigo hu apa unatufikia akafanikiwa kuchepuka kutoka kwenye hio njia ikawa ndo pona yetu....

Ushauri... ata kama boda boda ni wakaidi kueni na huruma na abiria alopakizwa asiejua chochote
 
Muda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka njia yake na kupita barabara ya kawaida. Tumeenda mbele tunaona kuna umati ktk brbr ya mwendokasi usawa wa depo ya Kilimanjaro Express. Katikati umelala mwili wa binadamu mwenzetu. (RIP)

Tulipokuwa tunakatizi hapo, washuhuda wa ajali wanasema marehemu amegongwa na mwendokasi alipokuwa anavuka. Wanaenda mbali zaidi kumfokea dereva wetu kuwa wamezoea kuua watembea kwa miguu hivyo nao watajitwalia sheria mkononi.

Kwa kumsitiri marehemu, sikupiga picha ya ajali hiyo. Team Picha mtanisamehe


MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.

Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri

Ee Mungu tusaidie
Madereva wa mwendokasi ni wehu
 
Muda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka njia yake na kupita barabara ya kawaida. Tumeenda mbele tunaona kuna umati ktk brbr ya mwendokasi usawa wa depo ya Kilimanjaro Express. Katikati umelala mwili wa binadamu mwenzetu. (RIP)

Tulipokuwa tunakatizi hapo, washuhuda wa ajali wanasema marehemu amegongwa na mwendokasi alipokuwa anavuka. Wanaenda mbali zaidi kumfokea dereva wetu kuwa wamezoea kuua watembea kwa miguu hivyo nao watajitwalia sheria mkononi.

Kwa kumsitiri marehemu, sikupiga picha ya ajali hiyo. Team Picha mtanisamehe


MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.

Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri

Ee Mungu tusaidie
Yangejengwa mahandaki ya kuvukia waenda kwa miguu
 
Sio sahihi kuandika ahera badala ya akhera labda kama wewe ni Msukuma
Mimi ni Msukuma kweli
Screenshot_20240611_112602_Google.jpg
 
Back
Top Bottom