min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mwisho ni mwisho tu hakuna mwema au mbaya kufa ni kufa haijalishi utakufanye.Mungu atupe mwisho mwema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho ni mwisho tu hakuna mwema au mbaya kufa ni kufa haijalishi utakufanye.Mungu atupe mwisho mwema.
Duh....ndomana mradi ulikuwa haujakamilika 100%Mkuu dollars millions 600 zilikopwa kwenye huo mradi ni usd 250 millions ndio ilitumika. Wajanja wakakunja 350 millions. Na sisi tunawasaidia kulipa mkopo
Sasa si tayari inaitwa mwendokasi mkuu?Madereva wa mwendokasi wannaendesha sana kwa kasi ya 5G mungu awaponye waliopata matatiizo kwenye ajali hapo
Pm nimefunga.Wewe umefunga PM yako au mi ndio sijui kuingia PM?
Mungu atujalie mwisho mwema. Amina
Basi acha wafe kama wameamua hivyo.Hiyo elimu inafuatwa vizuri na watoto wa shule za msingi ila hawa watu wazima ni changamoto
Sasa itakuajePm nimefunga.
Kwa barabara gani? Barabara hazisupport huo mwendokasi mfano msimbazi pale gari lipite kwa mwendokasi watu nyomi barabara finyu vyombo vya moto kama vyoteSasa si tayari inaitwa mwendokasi mkuu?
Mambo yote jukwaaniSasa itakuaje
Hujui ulisemaloMwisho ni mwisho tu hakuna mwema au mbaya kufa ni kufa haijalishi utakufanye.
Tunapenda kulea ujinga. Watu wanaamua kuvuka hovyo kama mbuzi tunalaumu madereva. Manzese wameweka uzio sehemu nyingine wamevunja uzio ili wavuke kisa zebra iko 300m away. Mwendokasi akigonga mtu kwenye zebra sheria imshughulikie lakini sehemu nyingine ni ajali kama magari mengine yanavyogonga watu, Akiyumba kumkwepa huyo mtu kuna kingo za barabara akiigusa tu hio linabinuka na watu zaidi ya 100 maisha yao yatakuwa hatarini.Sawa, ila kwanini mtu upite sehemu usiyoruhusiwa?. Muda mwingi waenda kwa miguu huwa ndio tatizo.
Hivi unafahamu kuwa madereva wa bongo hawaheshimu zebra crossing?watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing.
Ndio umweleze bwana wako Mr mwashambwa apunguze kusifia na kuabudu 😁😁Kwa barabara gani? Barabara hazisupport huo mwendokasi mfano msimbazi pale gari lipite kwa mwendokasi watu nyomi barabara finyu vyombo vya moto kama vyote
Kwa hiyo mimi ndio mjinga umenipa cheo😅Hujui ulisemalo
Kuna mbuzi wanavuka kwenye zebra, binadamu huwezi kuvuka sehemu maalum mpaka uwekewe uzio? Umekuwa ng'ombe? Tuwe responsible.Hiyo njiaa ilitakiwa iwekwe uzio koteee,kuzuia wavukaji wanajivukia sehemu holela
Mradi huo kuna mambo kibao bado yalikuwa hajakamilika
Ova
Yanini kufaidisha kila mtu.? HAYA mimi nimeishia hapa ila najua mafisi washakutibua na ndio wanatuharibia.Mambo yote jukwaani
Unawajuwa wanadam tena,wa kibongo...wenyewe wanakuambia zebra ziko mbali 😄Kuna mbuzi wanavuka kwenye zebra, binadamu huwezi kuvuka sehemu maalum mpaka uwekewe uzio? Umekuwa ng'ombe? Tuwe responsible.
Yule kashindikanaNdio umweleze bwana wako Mr mwashambwa apunguze kusifia na kuabudu 😁😁
Hapana! Hapa tunaeleweshana tuKwa hiyo mimi ndio mjinga umenipa cheo😅
Sio kama nafurahia haya mauaji,lkn waswahili tunapenda sana shortcut hata kama inahatarisha maisha yetu,pale Mbezi mwisho umewekwa uzio ili watu wapite kule juu darajani lkn wameukata ili wapite pale ambapo sasa hivi hakuna zebra.tutagongwa sana kwa uswahili wetu huu.Hiyo njiaa ilitakiwa iwekwe uzio koteee,kuzuia wavukaji wanajivukia sehemu holela
Mradi huo kuna mambo kibao bado yalikuwa hajakamilika
Ova
Manzese kuna daraja la juu na raia wanagongwa chini hawataki kupanda juu mbali. Juu wanapanda wanaopiga picha na wanaogeuza kijiwe.Absolutely.
Vivuko vya watembea kwa miguu au mapikipiki vingekuwa vya juu (bypass or over-head bridges) au vivuko vya chini ya Ardhi (underpass).