Ajali ya Mwendokasi yaua eneo la Urafiki

Ajali ya Mwendokasi yaua eneo la Urafiki

Ki uhalisia eneo hilo lina pilika nyingi sana za waenda kwa miguu, bajaji, maguta... yaani tafrani kuanzia alfajiri hadi mchana kunatulia kidogo then jioni hadi usiku wa saa 4 ni bizeee road. watu wana stress za kuwatosha. dereva yoyote makini lazima apunguze mwendo kwa lengo la usalama bila kujali sheria inamlinda. Kuna wakati baadhi ya madereva wa mwendokasi utazani wanavuta bangi..... maana mabreki huwa yanafungwa hadi abiria mnakoma. wanajionaga wao tu ndio wana haki ya kikimbia watakavyo..... hebu waangalie na utu pia.
 
Muda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka njia yake na kupita barabara ya kawaida. Tumeenda mbele tunaona kuna umati ktk brbr ya mwendokasi usawa wa depo ya Kilimanjaro Express. Katikati umelala mwili wa binadamu mwenzetu. (RIP)

Tulipokuwa tunakatizi hapo, washuhuda wa ajali wanasema marehemu amegongwa na mwendokasi alipokuwa anavuka. Wanaenda mbali zaidi kumfokea dereva wetu kuwa wamezoea kuua watembea kwa miguu hivyo nao watajitwalia sheria mkononi.

Kwa kumsitiri marehemu, sikupiga picha ya ajali hiyo. Team Picha mtanisamehe


MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.

Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri

Ee Mungu tusaidie
Hata watembea kwa miguu sharti wafuate sheria za barabarani
 
Mimi naamini hizi sheria za barabarani zipo katika kutulinda raia wote kuanzia mwenye chombo cha moto mpaka mtembea kwa miguu.

Kupunguza hiki kwanza siwezi kumlaumu moja kwa moja dereva wa mwendo kasi wakati sisi pia raia kwa namna moja ama nyingine tunachangia, kwa mfano; unaiona zebra ya kuvuka imechorwa lakini unaachana nayo unajitafutia sehemu nyingine ili mradi umeona zebra ipo mbali na wewe. Mbona kipande cha Mwenge kuelekea daraja la Kawe watu hawakatishi hovyo sehemu isiyo rasmi?

Maoni yangu na sisi raia watuwekee sheria na faini kama utavuka mahali hakuna zebra. Tunataka nchi ya watu waliostaharabika na sio kisa mtembea kwa miguu basi ujivukie kila sehemu hata isipostahili. Kwa kuanzia faini ikiwa 5,000/= au kifungo kisichozidi miezi mitatu jela itapendeza.
20240530_080810.jpg


Mwisho RIP kwa raia mwenzetu.
 
Ki uhalisia eneo hilo lina pilika nyingi sana za waenda kwa miguu, bajaji, maguta... yaani tafrani kuanzia alfajiri hadi mchana kunatulia kidogo then jioni hadi usiku wa saa 4 ni bizeee road. watu wana stress za kuwatosha. dereva yoyote makini lazima apunguze mwendo kwa lengo la usalama bila kujali sheria inamlinda. Kuna wakati baadhi ya madereva wa mwendokasi utazani wanavuta bangi..... maana mabreki huwa yanafungwa hadi abiria mnakoma. wanajionaga wao tu ndio wana haki ya kikimbia watakavyo..... hebu waangalie na utu pia.
Wapuuzi sana, wanajiona kama wanaendesha treni vile,kuna haja ya kuchukuliwa hatua kwa kutochukua tahadhari
 
Muda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka njia yake na kupita barabara ya kawaida. Tumeenda mbele tunaona kuna umati ktk brbr ya mwendokasi usawa wa depo ya Kilimanjaro Express. Katikati umelala mwili wa binadamu mwenzetu. (RIP)

Tulipokuwa tunakatizi hapo, washuhuda wa ajali wanasema marehemu amegongwa na mwendokasi alipokuwa anavuka. Wanaenda mbali zaidi kumfokea dereva wetu kuwa wamezoea kuua watembea kwa miguu hivyo nao watajitwalia sheria mkononi.

Kwa kumsitiri marehemu, sikupiga picha ya ajali hiyo. Team Picha mtanisamehe


MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.

Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri

Ee Mungu tusaidie
Jf watafuta huu uzi
 
Uzio wa nini? Watu wanapita kwenye flyover hapa Ubungo wakitokea University Rd waamie upande wa pili na kuna uzio. Tunahitaji elimu na kustaarabika tu.
Pamoja na kua dereva wa mwendokasi anaweza kua na makosa ila na watembea kwa miguu hua ni viburi sana sometimes.

Mtu anavuka kwa madoido as if ana ubia za vyombo vya moto, hata kama upo kwenye zebra we chapa raba chap uvuke, hawa bodaboda na madereva wengi hawajielewi.
Mbaya zaidi hizi boda hazieleweki zinatokea upande gani, zinashusha au zinapanda zenyewe kotekote.

Unavuka kimadoido unashangaa chuma imekuvaa.

Ni kheri uwe chap kidogo kwenye kuvuka, vukia kwenye alama sahihi za kuvuka, usitegemee mataa na zebra ndo zikisimamishie magari. Usiache kuangalia kulia na kushoto na kuchukua tahadhari wakati wote ukiwa inavuka.
 
Kuna watu huvuka sehemu hatari; unakuta kingo za barabara ni nyembamba kiasi kwamba nafasi ya kusimama ni finyu.

Kama inajulikana kwamba mwendo kasi ni gari za mwendo mkali, basi ni jukumu la raia kuchukua tahadhari pindi wanapovuka barabara za mwendokasi.
 
Ki uhalisia eneo hilo lina pilika nyingi sana za waenda kwa miguu, bajaji, maguta... yaani tafrani kuanzia alfajiri hadi mchana kunatulia kidogo then jioni hadi usiku wa saa 4 ni bizeee road. watu wana stress za kuwatosha. dereva yoyote makini lazima apunguze mwendo kwa lengo la usalama bila kujali sheria inamlinda. Kuna wakati baadhi ya madereva wa mwendokasi utazani wanavuta bangi..... maana mabreki huwa yanafungwa hadi abiria mnakoma. wanajionaga wao tu ndio wana haki ya kikimbia watakavyo..... hebu waangalie na utu pia.
Mpango ulikuwepo pia wa kuweka uzio njia yote ya mwendo kasi
Kwenye huo mradi,ile budget ya kuweka uzio naona ilipigwa

Ova
 
Pamoja na kua dereva wa mwendokasi anaweza kua na makosa ila na watembea kwa miguu hua ni viburi sana sometimes.

Mtu anavuka kwa madoido as if ana ubia za vyombo vya moto, hata kama upo kwenye zebra we chapa raba chap uvuke, hawa bodaboda na madereva wengi hawajielewi.
Mbaya zaidi hizi boda hazieleweki zinatokea upande gani, zinashusha au zinapanda zenyewe kotekote.

Unavuka kimadoido unashangaa chuma imekuvaa.

Ni kheri uwe chap kidogo kwenye kuvuka, vukia kwenye alama sahihi za kuvuka, usitegemee mataa na zebra ndo zikisimamishie magari. Usiache kuangalia kulia na kushoto na kuchukua tahadhari wakati wote ukiwa inavuka.

Pia ukiwa dereva utakutana na hii kero.

Unakuta dereva amesimama kupisha watu wavuke lakini kuna mtu anavuka kwa kunyata ama anaandika sms.

Kuna wavukaji wanakera sana.
 
Back
Top Bottom