Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo inawezekana endapo kama tutaamua kwa dhati kabisa ya mioyo yetu. Tatizo lililopo ni kwamba Serikali imejikita katika kufanya mambo ya hovyo yasiyokuwa na UMUHIMU huku ikiyapuuza yale mambo ya msingi kama vile kujenga miundombinu Bora ya mitandao ya barabara.Kwa nchi hii?
Au anapiga selfie 😄Pia ukiwa dereva utakutana na hii kero.
Unakuta dereva amesimama kupisha watu wavuke lakini kuna mtu anavuka kwa kunyata ama anaandika sms.
Kuna wavukaji wanakera sana.
Dar watembea kwa miguu wanaogopa MVUA tuuPamoja na kua dereva wa mwendokasi anaweza kua na makosa ila na watembea kwa miguu hua ni viburi sana sometimes.
Mtu anavuka kwa madoido as if ana ubia za vyombo vya moto, hata kama upo kwenye zebra we chapa raba chap uvuke, hawa bodaboda na madereva wengi hawajielewi.
Mbaya zaidi hizi boda hazieleweki zinatokea upande gani, zinashusha au zinapanda zenyewe kotekote.
Unavuka kimadoido unashangaa chuma imekuvaa.
Ni kheri uwe chap kidogo kwenye kuvuka, vukia kwenye alama sahihi za kuvuka, usitegemee mataa na zebra ndo zikisimamishie magari. Usiache kuangalia kulia na kushoto na kuchukua tahadhari wakati wote ukiwa inavuka.
Ndo ivo mkuu hata tusio na magari tunayaona haya tukiwa kwenye daladala mbele pale.Pia ukiwa dereva utakutana na hii kero.
Unakuta dereva amesimama kupisha watu wavuke lakini kuna mtu anavuka kwa kunyata ama anaandika sms.
Kuna wavukaji wanakera sana.
Nina uhakika alipogongewa huyu mtu ni sehemu yenye kingo nyembamba na haina zebra.Sawa, ila kwanini mtu upite sehemu usiyoruhusiwa?. Muda mwingi waenda kwa miguu huwa ndio tatizo.
Hiyo elimu inafuatwa vizuri na watoto wa shule za msingi ila hawa watu wazima ni changamotoDar watembea kwa miguu wanaogopa MVUA tuu
Mvua ikinyesha huoni mtu njian.
Viburi ndivyo vinachangia vifo na uzembe ulopitiliza pia na ulevi.
Kwan ilr elimu ya kuvuka barabara si ile ile ya
UNAANGALIA KUSHOTO
UNAANGALIA KULIA
UNAMALIZIA KUSHOTO ALAFU KAMA NI SALAMA NDO UNAVUKA?
Bodaboda wanatafuta nini kwenye barabara ya mwendokasi?Dreva mmoja wa mwendokasi wiki jana alinieleza wao hua wanaua makusudi iwe bodaboda au watembea Kwa mguu maana iwezekano wa kupunguza upo lakini wanafanya makusudi
Kutafutiana kesi tuAu anapiga selfie 😄
Ova
Wanasema wamezoea magari.Wanachoogopa Dar es salaam ni panyaroad na mvua tu.Magari wao Wala hawajali.Jana Pugu Kona Lori ilitaka kupitia na Boda Boda ikiwa na abiria nyuma Tena ni mwanamke.Hata mwendokasi ya Gongo la mboto itakapoanza itakua vilio na kusaga meno maana Raia hawachukui tahadhali ni kuvuka vuka tu kwa haraka ya kukimbilia magari
Haraka + mawazo, Allah amsamehe zambi zake aliyetangulia!Muda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka njia yake na kupita barabara ya kawaida. Tumeenda mbele tunaona kuna umati ktk brbr ya mwendokasi usawa wa depo ya Kilimanjaro Express. Katikati umelala mwili wa binadamu mwenzetu. (RIP)
Tulipokuwa tunakatizi hapo, washuhuda wa ajali wanasema marehemu amegongwa na mwendokasi alipokuwa anavuka. Wanaenda mbali zaidi kumfokea dereva wetu kuwa wamezoea kuua watembea kwa miguu hivyo nao watajitwalia sheria mkononi.
Kwa kumsitiri marehemu, sikupiga picha ya ajali hiyo. Team Picha mtanisamehe
MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.
Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri
Ee Mungu tusaidie
kwa kweli ni wapuuzi na hawana elimu ya kutosha kuendesha magari ya mwendokasi. Kuendesha mwendokasi haina maana utimue maspeed tuu bila kujali watumiaji wengine wa barabara. Lazima uzingatie maeneo ya watumiaji wengi wa barabara.Wapuuzi sana, wanajiona kama wanaendesha treni vile,kuna haja ya kuchukuliwa hatua kwa kutochukua tahadhari
huu ni usemi wa wasiojitambua. ukiwachunguza stress zimewajaa hadi zinawakimbiaWanasema wamezoea magari.Wanachoogopa Dar es salaam ni panyaroad na mvua tu.Magari wao Wala hawajali.Jana Pugu Kona Lori ilitaka kupitia na Boda Boda ikiwa na abiria nyuma Tena ni mwanamke.
Sema kama kagongwa nje ya kivuko basi hapo hakuna kesiKutafutiana kesi tu
Mkuu dollars millions 600 zilikopwa kwenye huo mradi ni usd 250 millions ndio ilitumika. Wajanja wakakunja 350 millions. Na sisi tunawasaidia kulipa mkopoMpango ulikuwepo pia wa kuweka uzio njia yote ya mwendo kasi
Kwenye huo mradi,ile budget ya kuweka uzio naona ilipigwa
Ova
Tena pale kko kuanzia msimbaziWanasema wamezoea magari.Wanachoogopa Dar es salaam ni panyaroad na mvua tu.Magari wao Wala hawajali.Jana Pugu Kona Lori ilitaka kupitia na Boda Boda ikiwa na abiria nyuma Tena ni mwanamke.
Wewe umefunga PM yako au mi ndio sijui kuingia PM?Mungu atupe mwisho mwema.