RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kama zebra iko mbali, ahera itakuwa karibu.Unawajuwa wanadam tena,wa kibongo...wenyewe wanakuambia zebra ziko mbali 😄
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama zebra iko mbali, ahera itakuwa karibu.Unawajuwa wanadam tena,wa kibongo...wenyewe wanakuambia zebra ziko mbali 😄
Ova
Amin🤲Mungu atupe mwisho mwema.
SGR inawekewa fence mwanzo mwisho.Hata hii Sgt tunayoitegemea Haina fense tutegemee vifo vya wanadamu na mifugo hasa Kwa sie wagogo lkn ni muhimu watu lazima wafe ili wengine wajifunze maendeleo yoyote Yana changamoto mfano uingiaji wa pikipiki za kichina vifo vimekuwa vingi mnoooo lkn kabla ya kuwepo Kwa pikipiki hizo vifo kama Israel alikuwa likizo
Haha 😄....Kama zebra iko mbali, ahera itakuwa karibu.
natoa pole kwa ndugu na jamaa, kisha nataka nikazie hapo kwenye hiyo "My Take" yako, sisi wakazi wa hapa dar kuna muda huwa tunazingua sana kufata taratibu, zebra inaweza ikawepo kwenye watu 10, wakapita watu 4 tu huju watu 6bwakajigawa nusu kulia mwa zebra nusu kushoto mwa zebra, hao madereva nao wengi hawaheshimu hiyo zebra.MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.
Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri
Ee Mungu tusaidie
Aaah we rudi tu huko kwenye mada. Mi nishatokaKumbe unajua😂
Aya turudi kwenye mada
'Ajali ya Mwendokasi yaua eneo la Urafiki'
Nawatetea ,huwa napenda kuacha mtu aseme apendavyo , mda mwingne mtu husema tu ili kuondoa sumu mwilini au njia ya kujitibu sononaYule kashindikana
Hapana! Hapa tunaeleweshana tu
Mjinga mpe cheo ni kwa watu wanaopenda 'personal attack'
Personal attack zipo za aina 2 hii ni mada ya siku nyingine, Bye🤸Nawatetea ,huwa napenda kuacha mtu aseme apendavyo , mda mwingne mtu husema tu ili kuondoa sumu mwilini au njia ya kujitibu sonona
Bodaboda ni kugongwa tuu.Wenye magari wengi kwa Sasa ni fahari kwao kusimulia namna wanawagonga boda boda na kuwasababishia madhara😥
NAKAZIAUzio wa nini? Watu wanapita kwenye flyover hapa Ubungo wakitokea University Rd waamie upande wa pili na kuna uzio. Tunahitaji elimu na kustaarabika tu.
Uzio wa nini? Watu wanapita kwenye flyover hapa Ubungo wakitokea University Rd waamie upande wa pili na kuna uzio. Tunahitaji elimu na kustaarabika tu.
Umetumiq vipimo gan kufikia hatam ya aina hii?Hata mwendokasi ya Gongo la mboto itakapoanza itakua vilio na kusaga meno maana Raia hawachukui tahadhali ni kuvuka vuka tu kwa haraka ya kukimbilia magari
Karma will hunt youBodaboda ni kugongwa tuu.
Fuatilia lile tangazo la voda bima la yule boda alivyokurupuka
Pole kwa wafiwa, suluhisho haliwezi kuwa ni kujenga ukuta, hii itakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Elimu inapaswa kuendelea kutolewa kuhusu matumizi ya vitu mbalimbali kama barabara na religion.Muda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka njia yake na kupita barabara ya kawaida. Tumeenda mbele tunaona kuna umati ktk brbr ya mwendokasi usawa wa depo ya Kilimanjaro Express. Katikati umelala mwili wa binadamu mwenzetu. (RIP)
Tulipokuwa tunakatizi hapo, washuhuda wa ajali wanasema marehemu amegongwa na mwendokasi alipokuwa anavuka. Wanaenda mbali zaidi kumfokea dereva wetu kuwa wamezoea kuua watembea kwa miguu hivyo nao watajitwalia sheria mkononi.
Kwa kumsitiri marehemu, sikupiga picha ya ajali hiyo. Team Picha mtanisamehe
MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.
Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri
Ee Mungu tusaidie
Jaribu kupita maeneo yenye shule za kayumba. Hivi vitoto vinavuka kwenye zebra tu. Na madereva wengi si wastaarabu wanapita tu lakini hivi vitoto vinasubiri tu hadi gari itakayoamua kusimama ndio wanavuka.Pole kwa wakiwa, suluhisho haliwezi kuwa ni kujenga ukuta, hii itakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Elimu inapaswa kuendelea kutolewa kuhusu matumizi ya vitu mbalimbali kama barabara na religion.
Ukiwa kama nani? Au nawewe ni bodaboda? Sasa endelea kutofuata Sheria na alama za barabarani ukutane na Mimi uone kama nitakucha salamaKarma will hunt you
Kibri chako kitakoma mda si mrefu
Kilio Kiko mlangoni kwako na huzuni inapiga hodi maumivu makali yatakufunika kabla hujatubu na kuacha kibri ulichopewa na roho ya mautiUkiwa kama nani? Au nawewe ni bodaboda? Sasa endelea kutofuata Sheria na alama za barabarani ukutane na Mimi uone kama nitakucha salama