Ajali ya Mwendokasi yaua eneo la Urafiki

Ajali ya Mwendokasi yaua eneo la Urafiki

Hata hii Sgt tunayoitegemea Haina fense tutegemee vifo vya wanadamu na mifugo hasa Kwa sie wagogo lkn ni muhimu watu lazima wafe ili wengine wajifunze maendeleo yoyote Yana changamoto mfano uingiaji wa pikipiki za kichina vifo vimekuwa vingi mnoooo lkn kabla ya kuwepo Kwa pikipiki hizo vifo kama Israel alikuwa likizo
SGR inawekewa fence mwanzo mwisho.
 
MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.

Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri

Ee Mungu tusaidie
natoa pole kwa ndugu na jamaa, kisha nataka nikazie hapo kwenye hiyo "My Take" yako, sisi wakazi wa hapa dar kuna muda huwa tunazingua sana kufata taratibu, zebra inaweza ikawepo kwenye watu 10, wakapita watu 4 tu huju watu 6bwakajigawa nusu kulia mwa zebra nusu kushoto mwa zebra, hao madereva nao wengi hawaheshimu hiyo zebra.
 
Uzio wa nini? Watu wanapita kwenye flyover hapa Ubungo wakitokea University Rd waamie upande wa pili na kuna uzio. Tunahitaji elimu na kustaarabika tu.
NAKAZIA
Uzio wa nini? Watu wanapita kwenye flyover hapa Ubungo wakitokea University Rd waamie upande wa pili na kuna uzio. Tunahitaji elimu na kustaarabika tu.
 
Elimu ya ustaarqbu na kujijali vinahitajika.

Watu wa dar hatuogopi magari, tunavuka bila tahadhari ndio maana tunagongwa na magari kila siku.

Idadi kubwa ya magari hayana services za uhakika, watu wanaweka oil kwa kuungaunga, sembuse services kubwa watafanya?

Tusipokuwa wastaarabu tutaendelea kufa.
 
Muda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka njia yake na kupita barabara ya kawaida. Tumeenda mbele tunaona kuna umati ktk brbr ya mwendokasi usawa wa depo ya Kilimanjaro Express. Katikati umelala mwili wa binadamu mwenzetu. (RIP)

Tulipokuwa tunakatizi hapo, washuhuda wa ajali wanasema marehemu amegongwa na mwendokasi alipokuwa anavuka. Wanaenda mbali zaidi kumfokea dereva wetu kuwa wamezoea kuua watembea kwa miguu hivyo nao watajitwalia sheria mkononi.

Kwa kumsitiri marehemu, sikupiga picha ya ajali hiyo. Team Picha mtanisamehe


MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.

Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri

Ee Mungu tusaidie
Pole kwa wafiwa, suluhisho haliwezi kuwa ni kujenga ukuta, hii itakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Elimu inapaswa kuendelea kutolewa kuhusu matumizi ya vitu mbalimbali kama barabara na religion.
 
Pole kwa wakiwa, suluhisho haliwezi kuwa ni kujenga ukuta, hii itakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Elimu inapaswa kuendelea kutolewa kuhusu matumizi ya vitu mbalimbali kama barabara na religion.
Jaribu kupita maeneo yenye shule za kayumba. Hivi vitoto vinavuka kwenye zebra tu. Na madereva wengi si wastaarabu wanapita tu lakini hivi vitoto vinasubiri tu hadi gari itakayoamua kusimama ndio wanavuka.
Sasa hawA watu wazima wanaoamua kwa akili zao kuvuka kama mbuzi wacha wapambane na hali yao. Na mwendokasi kila mara linagonga watu wazima,bodaboda na magari unafikiri halipiti maeneo ya shule?
 
Ni huzuni Kwa kweli! Familia wanajua umeenda kutafuta maskini ya Mungu umelala na hauamki tena, Bwana Yesu nipe kushuhudia wajukuu wangu na vitunguu vyangu kama bibi yangu anavyoshuhudia,
Apumzike Kwa amani!
 
Ukiwa kama nani? Au nawewe ni bodaboda? Sasa endelea kutofuata Sheria na alama za barabarani ukutane na Mimi uone kama nitakucha salama
Kilio Kiko mlangoni kwako na huzuni inapiga hodi maumivu makali yatakufunika kabla hujatubu na kuacha kibri ulichopewa na roho ya mauti
 
Back
Top Bottom