Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Kitu anbacho sijasikia ni nafasi ya Air Traffic Controllers. Ninachojua ( niko tayari kusahihishwa) ni kuwa hawa ndio wanaotoa kibali kwa rubani kutua au kupaa kwenye uwanja wa ndege.
Hawa wanatikiwa kujua kinachoendelea kwenye kiwanja hata kama wako Mwanza maana teknoloji za siku hizi kuona kutokea mbali sio tatizo.
Aidha, nadhani kuna taa na transmitter ambazo huwa zinawekwa kwenye runway ili kuiongoza ndege kama haionekani.
Amandla...
Hawa wanatikiwa kujua kinachoendelea kwenye kiwanja hata kama wako Mwanza maana teknoloji za siku hizi kuona kutokea mbali sio tatizo.
Aidha, nadhani kuna taa na transmitter ambazo huwa zinawekwa kwenye runway ili kuiongoza ndege kama haionekani.
Amandla...