Ajali ya ndege Bukoba ni matokeo ya uzembe na kufanya kazi kwa mazoea.Tuwajibishane ili tusirudie makosa

Ajali ya ndege Bukoba ni matokeo ya uzembe na kufanya kazi kwa mazoea.Tuwajibishane ili tusirudie makosa

Wacha kujitoa akili boss nimekuuliza amefanya kosa gani au kipi kimetokea akashindwa kukisimamia Kama Waziri mkuu kwenye hyo ajali ya ndege
PM ni mkuu wa kitengo cha uokoaji, that bucket stop at its door, ndege kuvutwa na kamba, no life saving boats, kutoa kauli za uongo including nani hasa alifungua ule mlango wa ndege etc etc
 
You have analyzed beyond reasonable doubt. Wale wanasiasa wa kwenda na upepo na wale waandishi wa habari wajinga wanaoenda kwenye press ya waziri na kuanza kuuliza nani alifungua mlango badala ya kuulizia chanzo cha ajali natamani wangeisoma hii.
Hatuna waadishi tuna wanaharakati
 
PM ni mkuu wa kitengo cha uokoaji, that bucket stop at its door, ndege kuvutwa na kamba, no life saving boats, kutoa kauli za uongo including nani hasa alifungua ule mlango wa ndege etc etc
Kitengo cha maafa siyo uokoaji
 
Yataka pia ifahamike abiria wengi waliokaa mbele walikufa on impact na wengine walikufa maji,, means,, walikua bado wamefunga mikanda tayari kwa kutua,, ndani ya sekunde kadhaa wamejikuta ndani ya maji, yaani wamezama ndani, hapo huwezi kujifungua mkanda huku pia uko majini, hupati pumzi,, kifo kilikua within one minute to three kwa maoni yangu,
Waliopona ni wale wa mkiani, maana huko ndege haikuwa imezama, japo maji yalikua yanajaa kwa speed,
Hao ndio walifanikiwa kutoka wakiwa hai,,
Ukifuatilia utaona waliopona wote walikaa seat za nyuma,,
Wavuvi walifika area within five minutes, means kama wa mbele wangekua bado hai, wangeweza kuokolewa, chumba cha rubani kilichelewa kujaa maji japo kilikuwa kimezama pia,, ndio maana rubani walichelewa kupoteza uhai kwa dakika kadhaa,,
Spot on; na ndege haikutua ilianguka ziwani
 
Hii ishu si ya kumuwajibisha mtu mmoja hii ni ishu ya uzembe wa watu wengi sana.
Kumuwajibisha waziri mkuu peke yake hali ya kuwa watendaji husika waliozembea kwenye kazi yao kuendelea kuwepo kwenye kazi zao haitasaidia kitu bado wataendelea kufanya kazi kwa mazoea.
Ingekuwa tupo kwenye nchi iliyo serious ilitakiwa kuanzia Meneja wa uwanja wa ndege mpaka watendaji wote wanaohusika na mambo ya usalama pamoja na flight controllers wasimamishwe kazi ili wengine watakaobaki wawe makini na kazi yao.
Ila kwa vile nchi yetu haiko serious bado wanapiga blah blah na kuweka tume na vikao vya kutafuna posho.
Mbona hatumgusi mmiliki wa ndege
 
Heshima kwako kaka, nilikusubiri sana ili nikusome na kujifunza, hivyo nashukuru sana.

Umeshusha Madini mengi sana ila kwa makusudi umeamua kumfagilia na kumpamba huyo dogo Majaliwa kwa sababu unazozijua mwenyewe.

Dogo Majaliwa alieleza kuwa akitumia kasia lake na kuugonga mlango wa ndege mpaka kuuvunja japo wewe umetueleza njia tofauti ya matumizi ya kasia katika mlango wa ndege ili kutimiza agenda yako.

Hakuna asiyekubali msaada mkubwa uliofanywa na wavuvi (Majaliwa akiwa mmoja wao), kinachopingwa ni kutangaza Majaliwa ndiye shujaa na ukichukuza kuna wavuvi wengi waliofanya kazi ya uokoaji mpaka kumuokoa Majaliwa mwenyewe.

Ila nikushukuru kwa kuja humu Jf sababu wengine walishasema #Barafu ni miongoni mwa Marubani waliopoteza maisha katika ajali hiyo.

Nikutakie maisha marefu
Kwani majaliwa asiwe shujaa wakati ndiye aliyekalisha uokozi? Au kwako ushujaa tuwape waliowakatia tiketi abiria walifariki?
 
PM ni mkuu wa kitengo cha uokoaji, that bucket stop at its door, ndege kuvutwa na kamba, no life saving boats, kutoa kauli za uongo including nani hasa alifungua ule mlango wa ndege etc etc
Huenda shida yako ikawa n uelewa Mdogo juu ya haya Mambo.

1. Waziri mkuu n msimamizi wa mfuko wa maaafa yaan wanufaika na janga Kama njaa, mafuriko, tetemeko, gonjwa kubwa mpaka kuwa janga lakini sio ajali ya ndege, meli au basi. Hvyo hao wanaotakiwa kufidiwa Basi ofisi ya Waziri mkuu inausika.

2. Uokoaji Kuna jeshi lipo la uokozi na kila mkoa na sehemu zenye viwanja vinavypokea ndege na meli walau Mara kadhaa kwasiku basi hao watu wapo hapo Hawa hawapo chini ya ofisi ya Waziri mkuu Bali wapo wizara ya Mambo ya ndani Kuna muda wanapelekwa Ile wizara ya jafo nakuwa wanawajibika kwenye halmashauri.

3. Ndege kuvutwa na kamba sio kosa la PM hilo swala soon Kama n shida kuvutwa na kamba sa sijui ulitaka ivutwe na nn?

4. Wizara ya uchukuzi ndio ya kuhakisha usalama wa abiria unaxingatiwa kabla na baada ya safari kupitia taasisi zake Kama ilivyoamua Sasa hapo anaesimamia uwanjani wa bukoba anastahili kuwajibishwa anaesimamia kutoa vibali vya kurusha ndege nae Anawajibika.

5. Precision Anawajibika kwa kutumia mazoea kutua uwanjani huku akiwa na abiria.

6. Huyo dogo alivyizimia na kupelekwa hospital na kufahamika kuwa n mmoja wa waokozi kulinganisha na umri na jina pia ongeza na nyota sikuhyo ilkua yake.

Tanzania Kuna kitu kinaitwa

1. Uwezo Mdogo wa kufikiri
2. Uwezo Mdogo wa kung'amua jambo
3. Uwezo Mdogo wa kujenga hoja
4. Uvivu
5. Wivu
6. Roho ya kwanini
7. Kutafuta kasababu ka kijinga na kufanya ndio hoja kuu.
8. Chuki zisizo na msingi Yan unaa unaa tuu.



Waziri Mkuu au Rais Anawajibika endapo

1. Serikali kupitia wananchi imekosa usalama
2. Serikali kupitia wananchiimekubwa na njaa
3. Serikali inamigogoro isiyoeleweka iwe ya ndan au nje
4. Serikali imeshindwa kutoa huduma muhimu Kama afya na elimu
5. Matumizi mabaya ya ofisi
6. Serikali imeshindwa kulipa mishahara watumishi
7. Serikali imeshindwa kudhibiti mfumuko wa Bei
8. Serikali kukosa/kushindwa kupata ushawishi bungeni.

Hapo ndo Rais au Waziri mkuu anatakiwa aachie ofisi au alazimishwe kuachia ofisi


Naomba niishie hapo
 
Back
Top Bottom