Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majeshi yetu ni ya kupita mbele ya rais na kumfanyia michezo ya kuigiza kama vile walivyokuwa porini wiki iliyopita. Ila katika uhalisia wa matukio, ni watupu.Polisi wa doria ziwa Victoria kazi yao ni nini sasa
Jwtz - Navy kazi yao ni nini sasa
Tanzania yangu ina safari ndefu sana haki tena [emoji174][emoji174][emoji706][emoji706]
Nothing at all!!It's as if we are GOOD FOR NOTHING !!!
Toka enzi za MV Bukoba hatujawahi kua na boti/meli ya uokoaji kweli? Labda hii kitu itabadilisha mtazamo wa umuhimu wakua nayo maana dah aise hapana. Mungu atupe busara kama nchi kuzingatia hivi vitu kabla hayajatokea.View attachment 2408785
Wakuu kwa mara nyingine tena nitoe pole sana kwa waliopatwa na ajali ya Ndege leo huko Bukoba baada ndege ya Shirika la Precision Air kupata hitilafu wakati wa kutua na kuingia Victoria pia wale waliopoteza maisha basi Mwenyezi Mungu awarehemu na kuzipumzisha nafsi zao pema peponi.
Kusema ukweli nashindwa kuelewa ni jambo lipi sisi kama taifa tunaweza kujivunia kulifanya kwa ukamilifu, nakosa majibu jamani. Hivi uwezo wetu wa kukabili majanga uko kwa namna ipi? hakuna siku limetokea janga nchi hii vyombo byetu vikafanikiwa kudhibiti kwa 100%. Kila wakati lazima madhara makubwa yatokee.
Leo tumeshuhudia mambo ya ajabu sana kama nchi utadhani tuko miaka 40 huko, Ndege imekaa kwenye maji zaidi ya lisaa hakuna hata helicopter ya uokoaji au boti za kuvuta ndege za kisasa zilizofika eneo la tukio matokeo yake ndege inavutwa kwa kamba na wananchi, mambo ya ajabu kuwahi kutokea.
Nashindwa kuelewa serikali inajali kweli maisha ya wananchi wake? ni mpaka afe nani ndio nchi hii itashtuka kuwa tunatakiwa kuwa tayari kukabili majanga badala ya kuripoti madhara? Inakera na inaumiza sana, narejea kukumbusha matukio makubwa ya yaliyochukua maisha ya watu wetu wengi, ni watu tu hawakuwajibika ipasavyo na kusababisha maisha ya watu kupotea.
Hii nchi inahitaji mageuzi makubwa sana ya kimfumo, viongozi wetu hawajali maisha ya wananchi, wamekuwa wabinafsi na wasio wabunifu kukabiliana na matatizo.
Leo tumeonesha dunia ni kiasi gani hatuna uwezo wowote wa kujiokoa wenyewe, hatuna vifaa, hatuna wataalamu mpaka napata shida kuwaza ni kiasi gani hii nchi iko salama kiulinzi? mbona kama siku tukikumbwa na mafuriko ya mwezi mmoja watu wote tutaelea kwenye maji jamani?
Hwa watu hawatujali jamani, hawana muda na sisi.
Nashindwa kuelewa serikali inajali kweli maisha ya wananchi wake? ni mpaka afe nani ndio nchi hii itashtuka kuwa tunatakiwa kuwa tayari kukabili majanga badala ya kuripoti madhara? Inakera na inaumiza sana, narejea kukumbusha matukio makubwa ya yaliyochukua maisha ya watu wetu wengi, ni watu tu hawakuwajibika ipasavyo na kusababisha maisha ya watu kupotea.View attachment 2408785
Wakuu kwa mara nyingine tena nitoe pole sana kwa waliopatwa na ajali ya Ndege leo huko Bukoba baada ndege ya Shirika la Precision Air kupata hitilafu wakati wa kutua na kuingia Victoria pia wale waliopoteza maisha basi Mwenyezi Mungu awarehemu na kuzipumzisha nafsi zao pema peponi.
Kusema ukweli nashindwa kuelewa ni jambo lipi sisi kama taifa tunaweza kujivunia kulifanya kwa ukamilifu, nakosa majibu jamani. Hivi uwezo wetu wa kukabili majanga uko kwa namna ipi? hakuna siku limetokea janga nchi hii vyombo byetu vikafanikiwa kudhibiti kwa 100%. Kila wakati lazima madhara makubwa yatokee.
Leo tumeshuhudia mambo ya ajabu sana kama nchi utadhani tuko miaka 40 huko, Ndege imekaa kwenye maji zaidi ya lisaa hakuna hata helicopter ya uokoaji au boti za kuvuta ndege za kisasa zilizofika eneo la tukio matokeo yake ndege inavutwa kwa kamba na wananchi, mambo ya ajabu kuwahi kutokea.
Nashindwa kuelewa serikali inajali kweli maisha ya wananchi wake? ni mpaka afe nani ndio nchi hii itashtuka kuwa tunatakiwa kuwa tayari kukabili majanga badala ya kuripoti madhara? Inakera na inaumiza sana, narejea kukumbusha matukio makubwa ya yaliyochukua maisha ya watu wetu wengi, ni watu tu hawakuwajibika ipasavyo na kusababisha maisha ya watu kupotea.
Hii nchi inahitaji mageuzi makubwa sana ya kimfumo, viongozi wetu hawajali maisha ya wananchi, wamekuwa wabinafsi na wasio wabunifu kukabiliana na matatizo.
Leo tumeonesha dunia ni kiasi gani hatuna uwezo wowote wa kujiokoa wenyewe, hatuna vifaa, hatuna wataalamu mpaka napata shida kuwaza ni kiasi gani hii nchi iko salama kiulinzi? mbona kama siku tukikumbwa na mafuriko ya mwezi mmoja watu wote tutaelea kwenye maji jamani?
Hwa watu hawatujali jamani, hawana muda na sisi.
Navy wapo busy kgamboni uko wanasimamia LONGONI BEACHPolisi wa doria ziwa Victoria kazi yao ni nini sasa
Jwtz - Navy kazi yao ni nini sasa
Tanzania yangu ina safari ndefu sana haki tena [emoji174][emoji174][emoji706][emoji706]
Acha tu serikali ni jauInasikitisha sanaa
Ili kumfurahisha mgeni rasmi, wageni na wananchi waliojitokeza. Ili kijiweni wanapopata kahawa, mihogo na chai wakasema Tz ina makomando wengi sana ipo vizuri ni ya 3 kwa ujasusi duniani.Sasa yale mazoezi ambayo vyombo vya usalama hufanya kuonesha utayari wa kukabiliana na dharula yana maana gani ikiwa hayana msaada kwenye kukabili majanga ya ndani zikiwemo ajali?
Unatambua chanzo cha tatizo. Asante sana. Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kuwa ''hawa watu'' hawana habari na sisi na wala hawana mpango wa wowote na sisi. Uzembe ni wetu. Tunawalazia damu.Hwa watu hawatujali jamani, hawana muda na sisi.
🤔🤔🤔🤔
Ujasusi wa 💩💩💩Ili kumfurahisha mgeni rasmi, wageni na wananchi waliojitokeza. Ili kijiweni wanapopata kahawa, mihogo na chai wakasema Tz ina makomando wengi sana ipo vizuri ni ya 3 kwa ujasusi duniani.