Ajali ya Ndege ya Precision Air imetuvua nguo wazi wazi

Kwa kuwa dogo majaliwa ameajiriwa acha akawafundishe watu Kaz na utu
 
Mkuu inasikitisha sana mpka unajiuliza zile helicopter au huwa ni za kupepea mabango siku ya sherehe za uhuru au sherehe ya sensa.?.? Au zile fiber ziwa victoria ni za kukimbiza tu wavuvi kuwanyang’anya nyavu au vip..? Maana hii aibu kweli
 
...Sielewi Kwa Nini SISI tunaendelea kuwajali na Kuwaimbia Pambio kuwa Waupiga Mwingi!! UPI??? [emoji35][emoji35][emoji35]
 
Mimi hii habari niliipata kupitia BBC na baadaye jf.
TBC wapo kila mkoa lakini nadhani asubuhi walikua kwenye supu ya utumbo.
...Halafu yule Dr Wao Uchwara anakuja anatulaumu kuwa Kila Mtu kwenye Mitandao ya Kijamii anajifamya Mjuaji wa Mambo ya Ndege!
Pambaf!
Hasemi lolote kuhusu Ucheleweshaji wa Uokozi wa Serikali
Hasemi chochote habari za kwanza za Ajali hiyo tumazipata kutoka kituo Binafsi Cha Ayo na Mashirika ya Nje wakati TBC kituo Cha Taifa anachokiongoza siku nzima kinasubiri mwongozo kutoka Serikali kitangaze Nini!
 
...Ndugu yangu wee! Walikuwa Watu 800 tukisubiri Waokoaji kutoka Afrika ya KUSINI, na hatukujifunza Kitu!
Marehemu 19 TU tutajifunza Kitu????[emoji35]
Hii Nchi ni Uozo.
 
Kwa Tanzania hakuna sehemu ambayo pako safi.kila sehemu ukienda lazima utakuta madudu tu.
 
Hapo hatukuvuliwa nguo, mkuu. Nguo zenyewe tumezivaa, basi? Ajali hii imetumulika na kuonesha tuko uchi na tupu 100%!!!
 
Mengine ni makafara ya viongozi wa sirikali wandugu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…