Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Sasa kama uchunguzi unaendelea kulikuwa na haraka gan YA kuitoa hiyo report?Hii ni report ya awali...ile ya black box itakuja baadae na chanzo halisi na mapendekezo...Ukiisoma hii ripoti imesema uchunguzi wa chanzo is ongoing.