Ajali ya Precision Air: Ripoti yabaini hakuna Control Tower, Boti za Uokozi zilichelewa, Mhudumu na Abiria ndio waliofungua mlango

Ajali ya Precision Air: Ripoti yabaini hakuna Control Tower, Boti za Uokozi zilichelewa, Mhudumu na Abiria ndio waliofungua mlango

Hii ni report ya awali...ile ya black box itakuja baadae na chanzo halisi na mapendekezo...Ukiisoma hii ripoti imesema uchunguzi wa chanzo is ongoing.
Sasa kama uchunguzi unaendelea kulikuwa na haraka gan YA kuitoa hiyo report?
 
Kampuni ya precision bangiii ,wale I tu eti wanamlaumu majaliwa kwani majaliwa anahusikaje na ujinga wao ??

Hawana akili hao wao ndio walipaswa kuweka mambo Yao sawa wameua watu watu Kisa uzembe wanasingizia serikali wapuuzi labda ingekuwa air Tanzania maana ndio ya serikali wameniboa au walitaka kutoa wenzao sadaka wapate wateja wengi
Elewa hiyo ripoti haijatolewa na Shirika la ndege la Precision bali ni ripoti ya serikali

Huo ni uchunguzi wa awali wa serikali kuhusiana ajali ya ndege ya Precision Air.
 
kwa hio kitalaam Majaliwa tunamwitaje ?

tatizo Tanzania siasa mpaka kwenye maisha ya watu
Tukubaliane tu lisha tokea tugange yajayo,haina haja ya kumtafuta mchawi, wahusika watimize majukumu yao,na hakuna haja ya kuwafatilia wao ni watu wazima!!!
 
Ina maana Rubani hakuwatangazia abiria kuwa emergency landing ili wavae vesti zao.

Inanamaa alishusha landing gear na akatua kwenye shalow waters kitu kilichomsababishia drag na Ndege kuchotwa na kupoteza muelekeo iwapo asingeshusha landing gear Ndege ingeslide hadi Nchi kavu.
Hakukuwa na vest mkuu,nchi hii ina uzembe sana
 
Kampuni ya precision bangiii ,wale I tu eti wanamlaumu majaliwa kwani majaliwa anahusikaje na ujinga wao ??

Hawana akili hao wao ndio walipaswa kuweka mambo Yao sawa wameua watu watu Kisa uzembe wanasingizia serikali wapuuzi labda ingekuwa air Tanzania maana ndio ya serikali wameniboa au walitaka kutoa wenzao sadaka wapate wateja wengi
Kwani hii ni ripoti ya precision au ya wizara?
 
Haina rivasi hio bahati yake

QUOTE="dronedrake, post: 44403897, member: 191330"]
6m anarudisha au?
[/QUOTE]
 
Ww unayeelewa tujuze
Umenena vyema...
Ripoti hizi zinatolewa kwa mujibu wa sheria ambapo preliminary report inatolewa siku 14 baada ya ajali. Hii preliminary report ndio hii ambayo imetolewa jana.

Comprehensive report inatolewa baada ya miezi 12. Hii inakuwa imesheheni kina cha ajali kwa undani na mapendekezo ili kuzuia ajali nyingine.

Kwa kifupi uchunguzi wa kina bado unaendelea.
 
Kabla ya Ndege kuruka mnatangaziwa kama kuna dharura vest ziko chini ya viti.
TAARIFA BADO
Screenshot_20221123-200151_Instagram%20Lite.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa walifungua... walichukua muda gani kuufungua? Kwa kawaida inahitajika muda kiasi gani kwa mtu kufungua mlango wa ndege? Majaliwa alikuwa umbali gani wakati ajali inatokea? alichukua muda gani kufika kwenye eneo la tukio? Maswali ni mengi majibu ni machache.
Majaliwa sio mvuvi, hakuwa hata na mtumbwi isipokuwa alipanda moja ya mitumbwi ilikuwa ikielekea kuokoa, mtumbwi wa kwanza ulifika pale dak 5 baada ya abiria wengi kuwa weshatoka wako majini wanangoja kuokolewa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Huyu dogo Majaliwa kweli ana tabia typical za kihaya za kujimwambafai na utapeli, yaani mlango wa ndege unaofunguka kwa nje yeye anasema ndiye aliufungua kwa kasia la mtumbwi wake.
Wamelishwa matango pori na zito..report ya serikali haijatoka..ufipa na wajinga wenzao wameingia kichwa kichwa.lini report ikazungumzia ubishi wa nani alifungua mlango.

Yaani hii nchi ina wanasiasa wajinga kupita maelezo
 
Umenena vyema...
Ripoti hizi zinatolewa kwa mujibu wa sheria ambapo preliminary report inatolewa siku 14 baada ya ajali. Hii preliminary report ndio hii ambayo imetolewa jana.
Comprehensive report inatolewa baada ya miezi 12. Hii inakuwa imesheheni kina cha ajali kwa undani na mapendekezo ili kuzuia ajali nyingine.
Kwa kifupi uchunguzi wa kina bado unaendelea.
Unavyoshupaa kama wewe ndio umeitoa hio report.serikali imekanusha haijatoa report..hayo ni Matango pori ya zito na tweet zake
 
Majaliwa sio mvuvi, hakuwa hata na mtumbwi isipokuwa alipanda moja ya mitumbwi ilikuwa ikielekea kuokoa, mtumbwi wa kwanza ulifika pale dak 5 baada ya abiria wengi kuwa weshatoka wako majini wanangoja kuokolewa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Unaishi nae chumbani kwake?
Maana unajifanya unamjua sana
 
Umenena vyema...
Ripoti hizi zinatolewa kwa mujibu wa sheria ambapo preliminary report inatolewa siku 14 baada ya ajali. Hii preliminary report ndio hii ambayo imetolewa jana.
Comprehensive report inatolewa baada ya miezi 12. Hii inakuwa imesheheni kina cha ajali kwa undani na mapendekezo ili kuzuia ajali nyingine.
Kwa kifupi uchunguzi wa kina bado unaendelea.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom