Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Sasa kama uchunguzi unaendelea kulikuwa na haraka gan YA kuitoa hiyo report?Hii ni report ya awali...ile ya black box itakuja baadae na chanzo halisi na mapendekezo...Ukiisoma hii ripoti imesema uchunguzi wa chanzo is ongoing.
Kama unaelewa taratibu za air accident investigation huwezi kuuliza hili swaliSasa kama uchunguzi unaendelea kulikuwa na haraka gan YA kuitoa hiyo report?
Ww unayeelewa tujuzeKama unaelewa taratibu za air accident investigation huwezi kuuliza hili swali
Elewa hiyo ripoti haijatolewa na Shirika la ndege la Precision bali ni ripoti ya serikaliKampuni ya precision bangiii ,wale I tu eti wanamlaumu majaliwa kwani majaliwa anahusikaje na ujinga wao ??
Hawana akili hao wao ndio walipaswa kuweka mambo Yao sawa wameua watu watu Kisa uzembe wanasingizia serikali wapuuzi labda ingekuwa air Tanzania maana ndio ya serikali wameniboa au walitaka kutoa wenzao sadaka wapate wateja wengi
Tukubaliane tu lisha tokea tugange yajayo,haina haja ya kumtafuta mchawi, wahusika watimize majukumu yao,na hakuna haja ya kuwafatilia wao ni watu wazima!!!kwa hio kitalaam Majaliwa tunamwitaje ?
tatizo Tanzania siasa mpaka kwenye maisha ya watu
Majaaliwa keshakula ruzuku yake mtajuana wenyewe kama aliokoa au hakuokoa.
Hakukuwa na vest mkuu,nchi hii ina uzembe sanaIna maana Rubani hakuwatangazia abiria kuwa emergency landing ili wavae vesti zao.
Inanamaa alishusha landing gear na akatua kwenye shalow waters kitu kilichomsababishia drag na Ndege kuchotwa na kupoteza muelekeo iwapo asingeshusha landing gear Ndege ingeslide hadi Nchi kavu.
Kwani hii ni ripoti ya precision au ya wizara?Kampuni ya precision bangiii ,wale I tu eti wanamlaumu majaliwa kwani majaliwa anahusikaje na ujinga wao ??
Hawana akili hao wao ndio walipaswa kuweka mambo Yao sawa wameua watu watu Kisa uzembe wanasingizia serikali wapuuzi labda ingekuwa air Tanzania maana ndio ya serikali wameniboa au walitaka kutoa wenzao sadaka wapate wateja wengi
Umenena vyema...Ww unayeelewa tujuze
Kabla ya Ndege kuruka mnatangaziwa kama kuna dharura vest ziko chini ya viti.Hakukuwa na vest mkuu,nchi hii ina uzembe sana
TAARIFA BADOKabla ya Ndege kuruka mnatangaziwa kama kuna dharura vest ziko chini ya viti.
ππππππNchi ngumu sana hii!
Haahahaahaa..Part ya Majaliwa inaweza kuwa mbele mbele huko[emoji16]
Majaliwa sio mvuvi, hakuwa hata na mtumbwi isipokuwa alipanda moja ya mitumbwi ilikuwa ikielekea kuokoa, mtumbwi wa kwanza ulifika pale dak 5 baada ya abiria wengi kuwa weshatoka wako majini wanangoja kuokolewaSawa walifungua... walichukua muda gani kuufungua? Kwa kawaida inahitajika muda kiasi gani kwa mtu kufungua mlango wa ndege? Majaliwa alikuwa umbali gani wakati ajali inatokea? alichukua muda gani kufika kwenye eneo la tukio? Maswali ni mengi majibu ni machache.
Wamelishwa matango pori na zito..report ya serikali haijatoka..ufipa na wajinga wenzao wameingia kichwa kichwa.lini report ikazungumzia ubishi wa nani alifungua mlango.Huyu dogo Majaliwa kweli ana tabia typical za kihaya za kujimwambafai na utapeli, yaani mlango wa ndege unaofunguka kwa nje yeye anasema ndiye aliufungua kwa kasia la mtumbwi wake.
Unavyoshupaa kama wewe ndio umeitoa hio report.serikali imekanusha haijatoa report..hayo ni Matango pori ya zito na tweet zakeUmenena vyema...
Ripoti hizi zinatolewa kwa mujibu wa sheria ambapo preliminary report inatolewa siku 14 baada ya ajali. Hii preliminary report ndio hii ambayo imetolewa jana.
Comprehensive report inatolewa baada ya miezi 12. Hii inakuwa imesheheni kina cha ajali kwa undani na mapendekezo ili kuzuia ajali nyingine.
Kwa kifupi uchunguzi wa kina bado unaendelea.
Unaishi nae chumbani kwake?Majaliwa sio mvuvi, hakuwa hata na mtumbwi isipokuwa alipanda moja ya mitumbwi ilikuwa ikielekea kuokoa, mtumbwi wa kwanza ulifika pale dak 5 baada ya abiria wengi kuwa weshatoka wako majini wanangoja kuokolewa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sawa mkuuUmenena vyema...
Ripoti hizi zinatolewa kwa mujibu wa sheria ambapo preliminary report inatolewa siku 14 baada ya ajali. Hii preliminary report ndio hii ambayo imetolewa jana.
Comprehensive report inatolewa baada ya miezi 12. Hii inakuwa imesheheni kina cha ajali kwa undani na mapendekezo ili kuzuia ajali nyingine.
Kwa kifupi uchunguzi wa kina bado unaendelea.