Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Kwa Sheria za Tanroads lazima watawalipisha faini mzee.Angekuwa Magu angemwambia hapo anatakiwa ajenge mpk iyo sinyenge aliyopitajayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Sheria za Tanroads lazima watawalipisha faini mzee.Angekuwa Magu angemwambia hapo anatakiwa ajenge mpk iyo sinyenge aliyopitajayo
Huenda breki ziligoma ikabidi alazimishe Kona..Labda mzigo ulipangwa vibaya
BimaKwa Sheria za Tanroads lazima watawalipisha faini mzee.
Ndio inavotakiwa, anapigiwa hesabu ya hii hasara ya uharibifu wa miundombinu aliyoisababisha.Angekuwa Magu angemwambia hapo anatakiwa ajenge mpk iyo sinyenge aliyopitajayo
Roli=Lori?Alikuwa amebeba mbao.
Inasemekana dereva gari ilimshinda ndio mwisho wa siku trailer likakatika kutoka kwenye kichwa na kuanguka.
View attachment 2064815
Aiseee Ni Lori bhana...Roli=Lori?
Alikuwa amebeba mbao.
Inasemekana dereva gari ilimshinda ndio mwisho wa siku trailer likakatika kutoka kwenye kichwa na kuanguka.
View attachment 2064815
Aiseee nadhani almost alikuwa ameshafika.Huyu jamaaa nmepishana nae iringaa alikuwaa motoo sana nazan ni jana jioni nmeikumbuka hiyo horse..anyway pole ruban
Na alikuwaa anatanua balaa alikuwaa ni kjn mdogo nadhani hafiki 30 yrs ..na alikuwaaa ana haraka sana sio kwa gia zile..kumkariri ali overtake sehem yenye mlima wakat mm nashusha soo ikabd nitoke road apite huku kushoto kulikuwaa na msururu wa malori yapo slow..Aiseee nadhani almost alikuwa ameshafika.
Yaani amekwepa sehemu za hatari hatari ila amekuja kuanguka hapo kizembe.Na alikuwaa anatanua balaa alikuwaa ni kjn mdogo nadhani hafiki 30 yrs ..na alikuwaaa ana haraka sana sio kwa gia zile..kumkariri ali overtake sehem yenye mlima wakat mm nashusha soo ikabd nitoke road apite huku kushoto kulikuwaa na msururu wa malori yapo slow..
Madogo wanakuaga na saikolojia ya kitoto sana kwamba madereva wengine sio wajanja. Wanadhani wanaendesha Subaru. Ndio maana ule utaratibu wa kwenye mabasi kwamba dereva awe mtu mzima inamaana kubwa sana.Na alikuwaa anatanua balaa alikuwaa ni kjn mdogo nadhani hafiki 30 yrs ..na alikuwaaa ana haraka sana sio kwa gia zile..kumkariri ali overtake sehem yenye mlima wakat mm nashusha soo ikabd nitoke road apite huku kushoto kulikuwaa na msururu wa malori yapo slow..
Upande wa abiria sawa acha wazee /watu wazima waendeshe!Madogo wanakuaga na saikolojia ya kitoto sana kwamba madereva wengine sio wajanja. Wanadhani wanaendesha Subaru. Ndio maana ule utaratibu wa kwenye mabasi kwamba dereva awe mtu mzima inamaana kubwa sana.