Ajali zinaepukika tukiacha siasa

Ajali zinaepukika tukiacha siasa

Naamini leseni haina uhusiano sana na kuepusha ajali, chanzo kikubwa cha ajali huwa ni sisi waendesha vyombo vya moto, umakini unakuwa mdogo sana, speed nk mtu anaweza akaendesha chombo cha moto kwa muda mrefu bila kuwa na leseni na bila kusababisha ajali kama anajitambua.

Nchi nyingine dereva wa Malori, Mabusi ya mikoani lazima wasimame na kupumzika kwa nusu saa baada ya masaa manne / matano au wanabadilisha dereva. Hapa kwetu mtu anaendesha masaa 8, 12. Uchovu unaweleza pia unachangia mabus ya abiria kupata ajali.
 
Komesha Bodaboda kuingia maeneo ya mijini.

Tufanye maamuzi magumu bila kuingiza siasa ndani yake.
 
Reli zijengwe zigufuliwe zisafirishe na mizigo malori yatoke marabarani.
Kuwe treni za mizigo maalum mbali na abiria
 
Inatakiwa tuwe na mjadala wa kitaifa na siyo kusubiri wanasisa tutaendelea kuumizwa na kufa kwa ajali, kuwaachia wanasiasa mambo ya msingi ni hatari, wanasia maamuzi yao yana pande mbili chanya na hasi
Mjadala utafanya halafu? Tatizo utekelezeaji uko kwa wana siasa ambao wameshindwa kila kitu na ukiwaambia wameshindwa wanakuua. Ukiwakosoa hawataki na hawataki kufanya chochote. Dawa ni kuingia barabarani na kuwang'oa kwa nguvu lakini wananchi wamelala fofofo
 
Mjadala utafanya halafu? Tatizo utekelezeaji uko kwa wana siasa ambao wameshindwa kila kitu na ukiwaambia wameshindwa wanakuua. Ukiwakosoa hawataki na hawataki kufanya chochote. Dawa ni kuingia barabarani na kuwang'oa kwa nguvu lakini wananchi wamelala fofofo
Kuingia barabarani siyo suluhisho ndiyo maana tunaongelea kuhusu jamii, swali fikirishi atakaye andamana ni nani, mwanadiasa vs jamii
 
Ni suluhisho(note spelling). Na ndiyo njia pekee ya kuondoa serikali iliyoshindwa kazi.
But you will need a support from the so called wananchi, (jamii), please take note of why silence surrenders public responsibilities.

Mimi nazifuatilia jamii zetu za kiafrica bado mafuvu hayajarudishiwa akili, ni jamii za bora liende ama kanyaga twende, (jamii za kuburutwa)
 
Back
Top Bottom