MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Viongozi wa dini mkoani Mbeya, kwa kushirikiana na serikali, wamefanya ibada maalum katika mteremko mkali wa Inyala, kuomba Mungu aepushe ajali ambazo zimekuwa zikitokea mara kwa mara katika eneo hilo na kusababisha maafa.
ITV
===
Acheni tu wazungu watudharau 24/7.
ITV
===
Acheni tu wazungu watudharau 24/7.