Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kuna ajali zinasababishwa na chombo chenyewe, kuna ajali zinasababishwa na uzembe wa dereva na pia zipo ajali ambazo chanzo chake ni maroho machafu, yanataka damu.
Hao watu walifanya ibada kukabiliana na ajali zinazisababishwa na maroho machafu, wachawi, majini etc
Hao watu walifanya ibada kukabiliana na ajali zinazisababishwa na maroho machafu, wachawi, majini etc