MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Tuna uninga mwingi sana.itvtz
Viongozi wa dini mkoani Mbeya, kwa kushirikiana na serikali, wamefanya ibada maalum katika mteremko mkali wa Inyala, kuomba Mungu aepushe ajali ambazo zimekuwa zikitokea mara kwa mara katika eneo hilo na kusababisha maafa.
Acheni tu wazungu watudharau 24/7.
Mjadala ufungweWakati Mwingine ajali zinasababishwa na ulimwengu wa kiroho so wameanza kwa kuomba kinga ya kiroho. Na kufanya hivyo haizuii kuchukua hatua nyingine
Achana na Inyala,Mbeya.Viongozi wa dini mkoani Mbeya, kwa kushirikiana na serikali, wamefanya ibada maalum katika mteremko mkali wa Inyala, kuomba Mungu aepushe ajali ambazo zimekuwa zikitokea mara kwa mara katika eneo hilo na kusababisha maafa.
ITV
===
Acheni tu wazungu watudharau 24/7.
Wazungu hawana huu UJUHA ( STUPIDITY ) tulionao / tuliyonao Waafrika ( hasa Waswahili ) wengi sawa?Hata Wazungu humtegemea Mungu pia labda kama haujasafiri kwenye Christian Countries, wakijenga Madaraja wanaweka sanamu ya Bikira Maria juu ya Daraja, Highways nyingi kwa Wazungu kwenye Christian countries zina mpaka chapel au Kanisa dogo la kusalia ukiwa njiani.
Labda kama haujaelewa Christianity, huwezi kumtenganisha Mungu na maisha yako ya kila siku kama wewe ni Christian, hivyo kama ni Wakristu hakuna shida yoyote kuombea barabara.
Shida kubwa, Wazungu hamuwaelewi ingawaje mnajifanya Wazungu!
Wazungu hawana huu UJUHA ( STUPIDITY ) tulionao Waafrika ( hasa Waswahili ) wengi sawa?
Kwahiyo huniamini na huwaamini ITV kama Source ya hii Taarifa / Habari Ndugu?Kama ni kweli basi nchi hii ina safari ndefu sana
Umeuanzisha Wewe? Hopeless...!!!!!!!!Mjadala ufungwe
Ungekuwa unaendesha gari mara kwa mara kwenda mikoani ungeeelewa ukweli wa kuwa sio kila ajali inatokana na uzembe.Kuna maeneo kabla hujaingia unamwaga chumvi na ukimaliza hicho kipande unamwaga chumvi vinginevyo hutoki salama. Ushajiuliza why is that? Ni kwa sababu kuna nguvu za kiroho zinazorun maeneo hayo na kwa mtu mwenye ufahamu mzuri hakuna njia bora zaidi ya kudeal na nguvu za kiroho kama ya kumshirikisha Mungu.Viongozi wa dini mkoani Mbeya, kwa kushirikiana na serikali, wamefanya ibada maalum katika mteremko mkali wa Inyala, kuomba Mungu aepushe ajali ambazo zimekuwa zikitokea mara kwa mara katika eneo hilo na kusababisha maafa.
ITV
===
Acheni tu wazungu watudharau 24/7.
Vipi zile ibada za mteremko wa Mbalizi zilizaa matunda?Viongozi wa dini mkoani Mbeya, kwa kushirikiana na serikali, wamefanya ibada maalum katika mteremko mkali wa Inyala, kuomba Mungu aepushe ajali ambazo zimekuwa zikitokea mara kwa mara katika eneo hilo na kusababisha maafa.
ITV
===
Acheni tu wazungu watudharau 24/7.